MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuna baadhi ya watu wanaotaka kugombea ubunge wameanza kunyemelea majimbo kwa kuvunja maadili.
Wasira ameeleza hayo Machi 25, 2025 wilayani Ngara mkoani Kagera alipokuwa akizungumza na wana CCM pamoja na...