tundu lissu

  1. GE2025 Tundu Lissu aendelea kumbana maswali magumu Afande George katika kesi ya Uhaini dhidi yake na Jamhuri

    Part 74 Mhe. Lissu: Je unafahamu December 2020 mshitakiwa alipata tuzo inayoitwa BushThetcher Award for freedom kwasababau ya kupigania haki za binadamu? George: Sifahamu Mhe. Lissu : Je unajua mwaka jana TLS walimtunukia tuzo kwa utumishi wake ndani ya Chama cha Mawakili Tanganyika...
  2. Kupitia TUNDU LISSU, Shahidi George akiri yale Mauaji ya Kibiti yalitokea sababu ya uwepo wa anachodai Makosa ya Kigaidi , RCO akiwa Mafwele

    Mkuu TUNDU LISSU anatusaidia kupata Ushahidi zaidi wa baadae kuwashughulikia Hawa Wauaji. Ni kwamba, Kumbe yale mauaji ya watu wengi yalotokea Kibiti, ni Kwa sababu RCO Mafwele na Msaidizi wake George waliyaongoza wao wenyewe Kwa kisingizio Cha Kupambana na Ugaidi. Unaniuliza, kama tatizo ni...
  3. GE2025 Lissu: Nina kesi ya kunyongwa, sina cha kupoteza; nipo tayari kufa lakini nitakuwa na amani ya kusema ukweli

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa, Tundu Lissu Waheshimiwa Majaji jana mliotoa order ya watu kuingia mahakamani kama sheria inavyosema na kama mlivyoelekeza. Mimi nilileta majina na mmoja wa watu wanaotakiwa kuingia ni mgeni wangu kutoka nje. Naambiwa amezuiliwa na uhamiaji hapa mlango wa mahakama...
  4. R

    POTOSHI Tundu Lissu alisema 'Chama chetu tunafuata maelekezo na agenda kutoka ulaya'

    Wakuu, Tupeni uhakiki hapa, naamini Mwenyekiti Kamanda Tundu Lissu hawezi kuruhusu huu ukoloni
  5. Kauli ya Lissu akiwa Kizimbani: Nipo imara, enyi wa imani ndogo acheni uwoga

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akiwa kizimbani leo amesema kwa kujiamini "Nipo Imara, enyi wa imani ndogo acheni uwoga," kauli ikionyesha msimamo wake thabiti na imani ya kutoyumba licha ya changamoto zinazomkabili.
  6. GE2025 CHADEMA: Wananchi 16 wajeruhiwa kwa vipigo vya Polisi wakifuatilia kesi ya Tundu Lissu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Wanachama wake kadhaa leo wamepigwa na Polisi wakati walipofika Mahakama kuu asubuhi ili kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu. Pia Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika...
  7. Tundu Lissu ashangaa kuwa kuna kikao kimekaa na kupanga hukumu yake kuwa 12/11. Awataka majaji waeleze limetoka wapi hilo na kwa sheria gani..

    Kama tunavyojua leo tarehe 6/10/2025 kesi ya uhaini ya Tundu Lissu inaanza kusikilizwa mfululizo kwa jamhuri kuanza kuwasilisha ushahidi wa mashikata yao.. Mara baada ya mahakama kuanza, Tundu Lissu ameibua hoja tatu za kisheria ambazo imewalazimu majaji kuahirisha mahakama kwa dakika 30 ili...
  8. Tundu Lissu afikishwa mahakamani kuendelea na kesi ya uhaini

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, amefikishwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ambapo kesi yake ya uhaini inayomkabili itaanza usikilizwaji kamili wa kesi hiyo. Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika...
  9. GE2025 Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi Mahakama Kuu, Kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

    Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, katika viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, wakati kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu kusikilizwa leo. Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika Mahakamani kufuatilia Kesi ya uhaini ya...
  10. GE2025 Wawakilishi wa Marekani na New Zealand wazuiliwa kuingia kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Leo Oktoba 6, 2025 katika mwendelezo wa usikilizaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limewazuia, Mwakilishi wa Balozi wa Marekani na Mwakilishi kutoka Newsland kuingia ndani ya mahakama kwenye kesi ya Mh. Tundu Lissu. Soma CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi...
  11. N

    GE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu kuendelea leo kwa kusikilizwa mfululizo hadi Oktoba 24, 2025

    Kesi ya uhaini, Jamhuri dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu A. Lissu inatarajiwa kusikilizwa mfululizo kuanzia Jumatatu, saa 4 asubuhi 06.10.2025 hadi 24.10.2025 na kuendelea kuanzia 03.11.2025 hadi 12.11.2025. Kesi itasikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam...
  12. Tundu Lissu wamuachie huru, na mambo mengine ya kushughulika na wahuni yaendelee

    Mmefanya hila dhidi yake na kumuweka ndani kwa mambo ya kubumba bumba. Pasipo kujua au kujua kuendelea mshikiloa mnazidisha moto na ghadhabu, ilahali na nyie mda wenu wa kukaa ndani unajongea na ikiwezekana kunyongwa kabisa
  13. Mastaa Lukamba, Rose Ndauka watamani kuachiwa kwa Tundu Lissu

    Mwigizaji Rose Ndauka na Msanii Lukamba wameeleza matamanio yao ya kumuona Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Lissu akiachiwa na kushiriki shughuli za kisiasa kama ilivyokuwa hapo awali. Kupitia mtandao wa Instagram Lukamba amechapisha picha ya Lissu akiambatanisha na maneno...
  14. GE2025 Hamisi Kigwangalla ashauri kesi ya Tundu Lissu ifutwe

    Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini (CCM) Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri kutafutwa kwa namna itakayowezesha kufutwa kwa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu Katika machapisho yake ya septemba 30.2025 aliyoweka kwenye mtandao wa...
  15. R

    GE2025 Albert Msando: Tundu Lissu anajitetea mwenyewe, Je, Mahinyila alikamatwa pale kama Wakili au Mwenyekiti wa BAVICHA?

    Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza suala la Wakili Mahinyila kukamatwa katika eneo la Mahakama “Sote tunajua kuwa Tundu Lissu anajitetea mwenyewe mahakamani, lazima...
  16. POTOSHI Huu ni mkutano wa kwanza baada ya Lissu kuachiwa huru

  17. W

    GE2025 Bwege: Hakuna mpinzani wa kweli anayetaka mabadiliko zaidi ya Lissu, walimuhonga wakashindwa, walitaka kumuua wakashindwa

    Wakuu Mzee Bwege katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni amekiri kuwa hakuna mpinzani wa kweli kwa sasa nchini anayetaka mabadiliko zaidi ya Lissu na ndiyo maana walijaribu kumuhona wakashindwa, wakataka kumuua wakashindwa kwa sasa wamemuweka ndani napo watishindwa. Soma pia >> GE2025 -...
  18. S

    Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini vinavyotaka kutumika kumtia hatiani Tundu Lissu?

    Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa CHADEMA, nimebaki najiuliza swali hili: Watu hawa(Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi)...
  19. GE2025 USHAURI: Tundu Lissu akubali kusimamiwa na Wakili kama ambavyo George Bizos alivyomuokoa Nelson Mandela dhidi ya adhabu ya kifo

    George Bizos alikuwa wakili muhimu wa Nelson Mandela na wenzie waliokuwa wanashtakiwa pamoja naye wakati wa Kesi ya Rivonia 1963-74. Anakumbukwa kwa kumshauri Mandela kuongeza neno "ikiwa ni lazima" kwenye hotuba yake ya kesi, nyongeza ya kimkakati ambayo inadaiwa kumsaidia kuepuka hukumu ya...
  20. GE2025 Tundu Lissu anateseka gerezani

    Huyu jamaa ndio msema kweli, tena wazi wazi bila kujali kesho yake. ila nyie Watanzania mnaenda mahakamani na kuchukulia poa Hayo maaandamo bila ya Lissu ni siasa tu na hamtofanikiwa. Bila Lissu chama pinzani hamna. Napenda sana mabadiliko ila kwa hila.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…