Hii ni kauli ya Lissu kwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, Mhe. David Maraga mahakamani Kisutu leo hii.
Ni maneno machache lakini yenye kuonyesha IQ kubwa ya Mhe. Lissu.
Mtu mwingine wangeweza tu kusalimiana na kuendelea na mazungumzo mengine.
Pia, kauli hii ya Lissu ni aibu na fedheha kwa serikali.