Dr. Mollel amemsifia Tundu Lissu au amemkejeli?

Dr. Mollel amemsifia Tundu Lissu au amemkejeli?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,646
Reaction score
10,860
Dr. Mollel anadai kwamba Tundu Lissu:
1. Ana IQ ndogo sana
2. Ubongo wake unaweza kubeba GB chache tu
3. Kinachomfanya awe muongeaji mzuri ni bidii yake katika kusoma Vitabu!

Hizo ni sifa au kejeli?
 

Attachments

  • 6055010-31f42d3449596de37e284d48267ceb92.mp4
    4.4 MB
Dr. Mollel anadai kwamba Tundu Lissu:
1. Ana IQ ndogo sana
2. Ubongo wake unaweza kubeba GB chache tu
3. Kinachomfanya awe muongeaji mzuri ni bidii yake katika kusoma Vitabu!

Hizo ni sifa au kejeli?

Kwani hajasikia huyu nduguye katika imani anasema je?

 
kheri ubongo wenye gb 3 ila una fanya kazi kikamilifu na uadilifu.

kuliko kichwa cha tb 3 chenye kuleta uharibifu, na kugeuka mbwa mwitu.
 
Yaani kile kijuso cha Dr Molel aongelee IQ ya lissu? Ule uso anaonekana kabisa ni Mongolian idiot

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Hata ukiangalia tu sura. Mollel na Lissu nani mwenye IQ ndogo?
Sasa njoo kwenye maneno waliyokwisha kutamka nani ana akili?
 
Back
Top Bottom