TAARIFA KWA UMMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuujulisha umma kuwa kimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa zinazodai kuwa Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kuna mipango ya kuwekewa sumu akiwa kizuizini.
Taarifa hizi zimetolewa usiku huu wa leo, tarehe 02...
Huu ni ushahidi ufike kwa Shekhe Mziwanda, na Shekhe Jongo.
Msikilizeni Tundu Lissu akitetea Mashekhe wa Uamsho, na Answar Sunna.
Je, ni uungwana Mziwanda, Jongo, na Mwaipopo, kumshambulia Tundu Lissu?
https://www.youtube.com/watch?v=WcWTRjKreWc
https://www.youtube.com/watch?v=0WazpC_VdZE
Hamjambo!
Unaweza ukawa na pesa lakini umefubaa. Yaani mtu akikuona hivi huna Nuru.
Unaweza ukawa na cheo kikubwa lakini ukawa mtumwa, umechoka, umefubaa.
Uliwahi kumwona mtu anacheo kikubwa, mshahara mnene, ulinzi kama wote. Hapigwi na jua Muda wote Kiyoyozi. Anakula anachotaka. Lakini...
WanaJF Mungu akawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake na imekua.
Wakuu leo Mmememuona Tundu Lissu , afanyacho katika kesi yake ya mchongo ya uhaini, kweli amejua namna ya kutumia vyema vyombo vya dola vya serikali kuweka mambo sawa .
Anasema kama ushahidi upo twende mbele ,kama haupo kesi...
Kiukweli mtu aliyechungulia kaburi kama huyu Tundu Lisu kuwa na Ujasiri wa kiwango hiki ni jambo la aina yake
Fikiria alipopigwa risasi alikumbuka matukio yote hadi wale waliombeba kwenye machela na kumpandisha ndani ya ndege
Leo tena yeye alikuwa kama Prof mbobevu wa Sheria pale mahakamani...
Wadau mbalimbali huko mtandaoni wanasema akili ya Lissu ingepaswa kutumika kwenye mkataba ya kimataifa, ingetumika kwenye mambo ya ya diplomasia ingeleta tija kwa Taifa kuliko kuiweka ndani kwa sababu zozote zile.
Wamekwenda mbali na kusema kitendo cha kuiweka ndani akili kama ile ni utahira...
Kesi inayomkabili Mheshimiwa Tundu Lissu kwa mara nyingine tena mbele ya Mahakama ya Tanzania inazua hoja nzito kuhusu matumizi ya sheria kwa malengo ya kisiasa badala ya haki. Hii ni kwa sababu msingi wa mashitaka yanayomwandama unaakisi mtindo wa kurudiarudia mashitaka yenye muktadha wa...
Wakuu,
https://www.youtube.com/watch?v=6TwpERK4wFA
Shauri Na. 8606/2025 la uchochezi na kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa YouTube linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Lissu imeahirishwa mpaka pale mahakama kuu itakapotoa majibu hivyo shauri limeahirishwa kwa muda...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema "Itakua kesi ya kwanza katika historia ya dunia hii kwamba mtu mmoja pekee yake ndio anafanya uhaini"
"Ni mara ya kwanza katika historia ya nchi kuona kesi kubwa katika sheria za Tanzania kesi ya UHAINI...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema baada ya madai yake Mahakamani juu ya kunyimwa Haki zake za msingi akiwa sero aliletewa Padre kwenye Sero yake na kupata hudama ya kiroho.
Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15...
Imagine, aliyekuwa MKURUGENZI wa Usimamizi wa UCHAGUZI kumbe ni kada wa CCM, all those days anasimamia uchaguzi mkuu in favor of CCM , and curently amechukua fomu to affirm.
Imagine, aliyekuwa Mkuu wa jeshi la polisi ambae tunaamini anapaswa kuwa independent entity anakula teuzi kuwa mkuu wa...
Maalim Seif alipewa kipaji cha kukubalika na kuaminika Unguja na Pemba kuliko mwanasiasa mwengine yoyote kutokea katika miaka hii 60 - 70 iliopita.
Tundu Lissu amepewa kipaji cha kuwa binaadam mwenye akili sana Tanzania, asiweza kukata tamaa na
Licha ya madhila makubwa aliokumbana nayo ni mtu...
Juzi nimefika Zanzibar nimeshangaa maendeleo ya kasi uwanja wa Ndege wa kisasa na nasikia terminal 2 na terminal 3 zaja.
Hali kadhalika juzijuzi kumefanyika mkutano wa wawezekaji katika sekta ya Utalii na siku zijazo ndege za kutoka Ulaya na kwingine zitakuwa zikitua Zanzibar zikileta watalii...
Ukiangalia kwenye jicho la tatu bunge kuvunjwa August 3 mwaka huu
Misimamo yako isiyoyumba Sasa imeanza kuzaa matunda
Mwanzo tuliwaambia wakashupaza shingo
Sasa naona no reform no Election imewaingia na wametupa taulo.
Ni matunda ya Tundu Lissu kusimama kidete, kukubali kuteseka kwa sababu...
Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi yake dhidi ya Jamhuri.
Lissu amefungua kesi hiyo namba 14496/2025 akiomba marejeo ya mahakama kuhusu uamuzi uliotolewa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi yake ya uchochezi ambayo...
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.
Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu...
Taarifa ya Chademo iliyosambazwa kote Duniani hii hapa
Swali: Ujanja ujanja kwenye Ushahidi wa kunyonga mtu unatoka wapi tena, Wekeni mashahidi wenu hadharani Dunia iwaone, Mbona yule Askari wa Doria mitandaoni mlimuanika?
Kuna wakati baadhi ya Watanzania hasa wenye mrengo wa Upinzani walishindwa kumwelewa Rais Samia hasa aliposema yeye ni mtu safi na ni mtu anayemtegemea Mungu hivyo hawezi kufanya jambo lolote baya kwa mpinzani wake yeyote kwa namna yeyote.
Mtakumbuka mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA...
Ujumbe kutoka Tundu Lissu
"Baada ya kuzungumza Mahakamani juu ya ukiukwaji wa haki zangu kama mfungwa gerezani;
Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha,
Sasa naruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mpira kama wafungwa wengine na
Sasa naweza kupata huduma ya kiroho siku...