tundu lissu

  1. GE2025 Tundu Lissu: Nimechoka na ombi la ahirisho mara kwa mara, niko gerezani leo siku ya 97

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Tundu Lissu, amesema "Leo ni siku ya 97 niko Mahabusu na wafungwa waliohukumiwa Kifo nimechoka na hizi habari" wakati akijitetea mwenyewe kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili muda mfupi baada ya Mawakili upande wa Jamhuri walipoomba...
  2. GE2025 Tundu Lissu: Ulimwengu unajua hakuna Kesi bali ni Siasa, nimepewa Kesi ili wasisumbuliwe na No Reforms, No Election

    Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amesema "Mahakama yako vilevile iko kwenye Mahakama ya Umma, iko kwenye Kizimba cha Umma" "Watu wa Taifa hili wanajua na Ulimwengu unajua hakuna Kesi hapa bali ni Siasa, ni mwaka wa Uchaguzi, na mwaka wa Uchaguzi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Upinzani...
  3. GE2025 Kesi ya Uhaini ya Lissu yaahirishwa tena Mahakama ya Kisutu, hadi Julai 30, 2025

    Wakuu! Mwenyekiti CHADEMA Taifa Tundu Lissu kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kwa ajili kesi ya Uhaini inayomhusu. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu Lissu anajitetea mwenyewe. Je, leo mwamba anaachiwa au atarudishwa tena 'kukamilisha na kumalizia...
  4. Ushauri kwa Mahakama kuhusu Kesi ya Tundu Lissu

    USHAURI WANGU KWA MAHAKAMA JUU YA KESI YA MHESHIMIWA TUNDU LISSU Mimi kama raia wa Tanzania ninayependa haki, amani, na utawala wa sheria, napenda kutoa ushauri wangu kwa heshima kwa Mahakama inayosikiliza kesi ya Mheshimiwa Tundu Antiphas Lissu. Kama raia, natambua mamlaka ya Mahakama kama...
  5. Lissu ni mwepesi sana kuingia kwenye mtego wa kisiasa, hafai kuwa kiongozi

    Ebu angalia wakati yeye anaangaika mahakamani na kesi zake , uku maandalizi ya uchaguzi yanaendelea kama yalivyopagwa, Kiongozi wa ACT ameusoma udhaifu wa LISSU, kama mnafutilia siasa mtakubaliana na mimi kua ZITO ameona fursa ya chama chake kua chama kikuu cha upinzani, LISSU mnampa tu...
  6. Sijawahi kuona watu waoga kama Watanzania, wamemshika Tundu Lissu mwezi wa 3 huu mmekaa ndani

    Hivi tanzania Kuna wanaume kweli wameshika tundu lissu anaewapigania mwezi wa tatu mumekaa ndani wanawaletea muchezo ya tauni na nyie munakubali Kila siku munatawaliwa na wanawake munabaki kuongelea mitandaoni tundu lissu kakonda Kwa ajili yenu watanzania eti munasema Muna amani amani Gani...
  7. Tundu Lissu akinukisha Mahakamani, Mvutano mkali na Askari Magereza waibuka, adai kuzuiwa kuongea na Mawakili

    Wakuu! Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akiwa kizimbani Mahakamani, aliingia kwenye mvutano mkali na Askari Magereza wakati anajadiliana jambo na Mawakili wake ambao inadaiwa kuwa alizuiliwa kuongea nao Mahakamani hapo. Leo Julai 11, 2025, Lissu alifika Mahakamani hapo kwa ajili ya...
  8. Taifa ambalo watu kama Tundu Lissu na Prof. Assad wanafanyiwa fitna ili wasiongoze Taasisi na Watu haliwezi pata Maendeleo ya kweli kamwe.

    Kama wewe ni binadamu na unafikiri vizuri. Fikiria namna Prof. Assad alivyo na madini ya maana kichwani kwake, alafu fikiria kuwa mtu wa namna ile alifanyiwa fitna na kuondolewa kwenye Cheo cha Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ili asiiambie ukweli Serikali mabaya yake kuhusu matumizi yasiyo...
  9. Tundu Lissu akiwa Mahakamani: Jamani huko Uraiani kukoje?

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Taifa, Antiphas Mughwai Lissu Mahakamani leo Julai 11, 2025. == Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amefikishwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 11, 2025 ambapo Mahakama kuu inatarajia kutoa uamuzi wa...
  10. Jumuiya ya kimataifa inajua opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee

    Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee. Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba. Je ni...
  11. SI KWELI PreGE2025 Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus na Mjumbe wa EU, arefusha ziara yake ili audhurie kesi ya Lissu

    Waziri wa mambo ya nje wa Cyprus bwana Constantinos Kombos, alitumwa kumwakilisha kamishina wa wambo ya nje katika umoja wa ulaya kuja Tanzania. Moja ya Marengo ya ziara hiyo ilikuwa ni kuangalia jinsi uchaguzi mkuu utakavyofanyika. Ratiba ya awali ilionesha bwana Kombos angeondoka July 10...
  12. Nani Atamwokoa Tundu Lissu, Mwanaume Anayeota Tanzania Tofauti?

    Inamhusu Tundu Lissu, kiongozi wa upinzani Tanzania aliyenusurika jaribio la mauaji 2017 (risasi 16). Akiwa uhamishoni Belgium, anawania urais 2025, akisukuma demokrasia, kupambana na ufisadi na mageuzi ya haki za binadamu. Inatoa wito wa msaada kimataifa kumkinga na vitisho. Kutoka kikundi...
  13. PreGE2025 POTOSHI Tundu Lissu aliwahi kusema chama chake ni CCM

  14. Uhai wa TUNDU LISSU uko hatarini, Maneno ya Sheikh ya 'Kukata Kichwa MTU mmoja' Kwa kisingizii Cha Amani ni Taa Nyekundu !!

    Ninawaonya Ninawaonya Ninawaonya, TUNDU LISSU mlimpiga Risasi 16 Mwilin mwake ili kumuua.. HAKUFA . Majuzi, Viongozi mbalimbali Nje na Ndani ya Nchi, wameelezea Taarifa nyeti juu ya Mpango wa KUMUUA TUNDU LISSU KWA SUMU. Msivyokua na Akili, Leo mnatumia Sheikh wenu mpuuzi katika kusanyiko la...
  15. Huyu jamaa ni nani? Alikuwepo kwa Tundu Lissu na sasa yupo kwa IGP Wambura?

    Nipo kijijini napita pita mtandaoni, naona picha za wakuu wakiwa kanisani kwa Mwamposa. Picha moja wapo iliyonishtua ni jamaa flani ambaye wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 alikuwa kwenye msafara wa Tundu Lissu. Leo jamaa yule yule yupo kwenye msafara wa IGP Wambura. Je huyu ni nani...
  16. GE2025 Sheikh aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu kanisani kwa Mwamposa. Asema 'Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?'

    Shekhe aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la kanisa la Mwamposa. "Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?" anaeleza Shekhe Mohammed Mawinda
  17. Update : Lissu siyo Mgonjwa, Taarifa ya muda huu jion hii

    Tundu Lissu yuko Imara na SALAMA na anawakumbusha akitoka ni mchaka mchaka Nimewasiliana na mtu wa karibu sana wa kwake aloenda kupata taarifa baada ya Uzushi Anasisitiza yeye si mtu wa nusu mkate wala kuhongwa yeye ni mtu wa kusimamia anachoamini kitaleta manufaa kwa nchi Britanicca
  18. Serikali yakanusha tuhuma za mpango wa kumwekea Sumu Tundu Lissu

    Serikali ya Tanzania inakanusha tuhuma zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zikiihusisha Serikali na kinachodaiwa kuwa ni kuwepo mpango wa kumwekea sumu mshtakiwa Tundu Antipas Lissu. Serikali inawaomba wananchi kupuuza taarifa hizo kwa kuwa hazina ukweli wowote. Tundu Antipas Lissu...
  19. Je, Mpango wa Kumuua Tundu Lissu kwa Sumu Ukiwa Kizuizini Ni Dalili ya Taifa Lenye Hofu ya Ukweli na Kukwama Kisaikolojia Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025?

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya CHADEMA, kuna taarifa za kijasusi zinazoibua hofu kuhusu mpango wa kumuwekea sumu Tundu Lissu akiwa kizuizini. Swali kuu ni: tunapoingia uchaguzi mkuu wa 2025, je, hii ndiyo lugha ya kisiasa tunayoruhusu kama taifa? Kama msomi wa saikolojia ya siasa, jaribio la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…