tundu lissu

  1. JamiiForums Tanzania Je tunamhitaji Tundu Lissu kwenye siasa za Tanzania au Hatumuhitaji?

    Nianze kwa kumpongeza Mh Rais Samia kwa utekelezaji na ukamilifu wa ujenzi wa bwana la Umeme la Julius Nyerere,pia nauzingatia mchango wa Hayati Rais John Magufuli kama mwanzilishi wa utekelezaji wa ndoto za Hayati Baba wa Taifa,Julius Nyerere kuwa Stigglers Gorge Rufiji liwe bwawa la...
  2. JamiiForums Tanzania Heche: Nimeongea na Mwenyekiti Lissu kaniambia hakuna kupiga magoti endelea kupeleka moto

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche, akihutubia wanachama katika mkutano wa chama hicho, amezungumzia Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, ambaye amemwambia kuwa aendelee kupeleka moto Heche alieleza kuwa msimamo uliowekwa na uongozi wa juu ni wa kutokurudi nyuma wala kupiga magoti dhidi...
  3. JamiiForums Tanzania Tundu Lissu tafakari kwa umakini, kesi haina droo/sare ni kufungwa au kuachiwa

    Tundu Lissu Misimamo yako iangalie kwa jicho la tatu kipi bora utoke uendelee na mishe zako? Au ubakie gerezani? Mpaka hapo Ulipo kesi imekuelemea na Chances za wewe kushinda are slim, Nakutashauri umwandikie barua DPP iwe unaomba radhi kwa kilichotokea kilikua driven na hisia na wala haukua...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Usimtukane Mh. Rais Samia. Usimtukane Mh. Tundu Lissu. Kiongozi yoyote yule anakosolewa ila hatukanwi

    NB: Nina Akili Ndogo Sana Binadamu au kiongozi yeyote yule hapaswi kutukanwa (Hata kama ni wa CHAMA "BA" AU chama "A au B" Binadamu anapaswa kukosolewa "in a constructive manner" na sio kumdhalilisha.
  5. JamiiForums Tanzania Kwanini Yeriko Nyerere ana chuki ya kiwango cha juu dhidi ya Tundu Lissu?

    ".....Aisee niseme ukweli wa moyo wangu, tangu jana ninafuraha isiyoelezeka aisee, Huyu msenge alijeruhi sana moyo wangu, kisha yeye na wasenge wake wakaendeleza vita usiku na mchana, Kimsingi siafiki anyongwe lakini aione dunia ilivyo duara. Jana Mizimu imenijibia😂. Haki itendeke!.."...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali inatumia nguvu kubwa dhidi ya Tundu Lissu?

    Binafsi sio mshabiki wa Chadema Wala Chama chochote cha kisiasa ila nimekuwa nikijiuliza hili swali Ebu jaribu kuondoa ushabiki wa kisiasa tuuvae ubinadamu jamaa kapitia changamoto kubwa sana imagine kapigwa risasi kumi na 6 na zote zimeingia mwilini tena eneo kapigiwa ni la wazi lakini cha...
  7. JamiiForums Tanzania Lissu ni kama Mandela. Watu wa hivi hawaamini katika Mali bali katika kile wanachokipigania

    Hamna namna yoyote Serikali ya Samia na CCM na Magenge yao yote wanaweza kumpigisha Lissu Magoti. Huyu Lissu huyu mnayehangaika naye Alishakionja KIFO, kwake Kuishi ni Kristo Yesu ,Hana anachoogopa, Hana anachoofia!. Kwa Lissu kupiga Magoti ni usaliti Mkubwa wa Nafsi yake na uwezo wake wa...
  8. JamiiForums Tanzania Unatafutwa muungano wa maneno ya Lissu na matukio ya 29 October, na wameshaupata

    Nilichokiona haraka baada ya Lissu kuambiwa anakesi ya kujibu ni utafutwaji wa muunganoko wa matukio ya tarehe 29/10/2025 na KAULI ya no reform na no election dhen aambiwe yeye ndo alisababisha watu waingie mtaani. Hoja itakuja yeye sawa alishawishi je hao walioandamana walistailo walichopata...
  9. JamiiForums Tanzania Lissu ninayemfahamu mimi kama wanadhani 'Prima Facie' itamnyenyekeza, wanakosea

    Wanabodi Utangulizi Kuhusu Mashuhuri na Maarufu Mtu mashuhuri nambari moja, kwenye nchi yoyote ni mkuu wa nchi, rais, ila kunaweza kuwa na mtu mwingine ambaye sio mashuhuri, na akawa ni maarufu kuliko mkuu wa nchi!. Kwenye Uzinduzi wa TASAF II Uwanja wa Jamhuri Dodoma, mgeni rasmi ni Rais JK...
  10. JamiiForums Tanzania Hakuna namna Lissu anaweza kushinda kesi inayomkabili, labda baada ya kuhukumiwa anaweza kupata huruma kutoka juu

    My friendes, ladies and gentleman in politics, I can confirm to you without fear of contradictions that, muungwana anaesota korokoroni, kwa hakika kabisa ametenda makosa yanayomsotesha korokoroni mpaka sasa na kila mTanzania aliona na alisikia kwa masikio yake mwenyewe, nia, madhumuni na...
  11. JamiiForums Tanzania Heche: Samia alivunja utaratibu kuanzia ndani ya CCM "Haikutosha akamuweka Lissu ndani ili ajiweke madarakani"

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche leo Agosti 21, 2026 amesema Rais Samia Suluhu amejiweka madarakani kwamba hakuchaguliwa na Wananchi na alianzia ndani ya chama chake kwa kujiteuwa mapema kabisa bila hata bunge kuvunjwa, "amemuweka Lissu ndani ili ajiweke madarakani" Soma Pia...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Hii vita tumejiandaa kuipigana Samia anachotaka kufanya na serikali yake, Hatuko tayari kupiga magoti

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche, leo Agosti 21, 2026, amezungumza na waandishi wa habari na kutoa msimamo mkali wa chama hicho kufuatia hatua ya kuzuiliwa na kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chama Taifa, Tundu Lissu. Heche amesisitiza...
  13. JamiiForums Tanzania As it Stands Tundu Lissu aombe MSAMAHA na MSAADA kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    Tundu Lissu AOMBE MSAMAHA na MSAADA kwa Rais Dkt Samia. Kesi AMESHASHINDWA. Kosa analo na anajua kosa alilifanya kwa makusudi. CHADEMA na walio karibu nae, WAMSHAURI aache kibri, jeuri na ujuaji hewa. Kama ataendelea kushupaza shingo, UHAI WAKE WA KISIASA UTAFIKA TAMATI DAIMA siyo aibu bali ni...
  14. JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa shahidi wangu apelekewe barua ya wito

    Baada ya Mahakama kutoa uamuzi kwamba mshtakiwa Tundu Lissu ana Kesi ya kujibu, Lissu amesema kwamba atakuwa na mashahidi 11 ikiwemo yeye mwenyewe kujitetea, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mstaafu Dkt. Mpango, Waziri Mkuu mstaafu...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Tundu Lissu inaiweka Serikali katika mtego wa mambo haya

    Kuna mambo yanaweza kuwaweka Serikali kwenye mtego kwa kila maamuzi yatakayofanyika kwenye kesi ya Tundu Lissu. Kama Serikali itamfunga Tundu Lissu haya ndio yanaweza kukutana nayo: 1. External pressure, nchi za Ulaya zitazidi kuweka vikwazo kwa Serikali ya Tanzania kwa uzito mkubwa sana...
  16. JamiiForums Tanzania Leo ndio leo! Je, Tundu Lissu ana kesi ya kujibu? Niliwahi shuhudia Miraji akimkwida Kikwete!

    Nina mengi ya kuandika kabla ya saa 3 asubuh ya Leo ili andiko langu liingie kwenye rekodi. Mtoto wa raisi ana nguvu Gani kwa kesi ya Lissu? Je Lissu kuwa huru Kuna madhala Gani kwake? Mbona ridhiwani kikwete hakuwai kuwa mwiba kwa Dr slaa alivyokuwa akimtaja majukwaani live dhidi UTAWALA wa...
  17. JamiiForums Tanzania Pascal Mayala leo ameongea jambo la msingi. Watanzania wakatae haki za kuhurumiwa kama Tundu Lissu alivyokataa

    Kama una makosa basi uhukumiwe kwa kosa lako. Kusema kukinukisha ni uhaini? Hata hata ule uhaini wa wale wanajeshi waliompinga hayati Nyerere hawakupindua kwa maneno kama haya. Walipanga kutumia vifaru na kuiteka Rtd
  18. I

    JamiiForums Tanzania THRDC: Tangia Lissu akamatwe na kufunguliwa kesi ya uhaini, tumeshuhudia matukio ya ukiuwaji wa haki kutokana na shauri lake

    Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kwamba tokea Tundu Antiphas Lissu alipokamatwa kumekuwepo na vitendo ambavyo vimeambatana na mazingira ya ukiukwaji wa haki, ikiwemo matukio ya waandishi wa habari kupigwa, vizuizi kwa mawakili upande wa Lissu pamoja na mambo...
  19. JamiiForums Tanzania PostGE2025 THRDC: Tunaishauri CHADEMA na Tundu Lissu kutafuta suluhu kwa njia ya mazungumzo

    Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umeishauri CHADEMA kutafuta suluhu ya kudumu ya changamoto zao ikiwemo shauri la mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kwa njia ya mazungumzo yenye maslahi mapana kwa umma. Aidha, THRDC imewashauri wanasiasa wote kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa ajili...
  20. JamiiForums Tanzania THRDC: Mchakato wa haki ulianza kuvurugwa tangu Tundu Lissu alipokamatwa

    Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kubaini kasoro na changamoto mbalimbali za kisheria zilizojitokeza wakati wa kukamatwa, kufikishwa mahakamani na kuwekwa mahabusu kwa kiongozi wa chama cha upinzani, Tundu Lissu. Akiwasilisha taarifa ya ufuatiliaji wa shauri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…