tume ya uchunguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Message za tume ya uchunguzi wa mauwaji ya 29/10/2025 - 3/11/2025

    Nimepokea messages kwa namba zote ninazotumia Wanataka nitoe/tutoe maelezo au ushauri, juu ya kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi, kuisaidia tume. Sina tatizo na massages hizo. Shida yangu, ni,, je wako tayari kuupokea ukweli na watauandika ulivyo, watauwakilisha ulivyo na...
  2. ChekoFagia

    PostGE2025 Wakili Mwasipu: Ombi la kufungua maombi ya msingi yamekubaliwa, maombi ya tume ya uchunguzi kusitisha shughuli zake yamekataliwa

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam imewaruhusu waleta maombi kufungua kesi ya msingi, katika shauri namba 30210/2025 linalohusu kupinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua Tume Huru ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani nchini yaliyotokea Oktoba 29...
  3. Dam55

    PostGE2025 Kwa Kauli zilizotelewa leo na Rais Samia, Tume ya uchunguzi ya 29 Oktoba ivunjwe mara moja haina maana tena kuwepo

    Kwa matamshi yake ya leo ni dhahiri mambo yote yalio tokea 29 Oktoba yalikuwa na baraka zote kutoka kwa Rais na watendaji wake. Hivyo basi tume iliyoundwa kamwe haiwezi kuwa na majibu yenye kuleta furaha na matumaini kwa raia kwamba wahusika wa mauaji ya 29 October watakamatwa. Tume ivunjwe...
  4. DuaZaMama

    PostGE2025 Padre Kitima: Sisi tunamiliki Hospitali, waliletwa majeruhi, wakasema wasitibiwe tunataka kuwaona Mochwari

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, amesema kuwa wakati wa maandamano kuliletwa majeruhi waliokuwa wameumia, lakini baadhi ya askari walizuia wapewe matibabu wakidai “tunataka kuwaona mochwari.” Ameeleza kuwa, kwa kuwa Kanisa Katoliki linamiliki hospitali...
  5. Kurunzi

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi isiache kuhoji waliosimamia Uchaguzi. Waliosimamia wapo tayari kutoa ushirikiano

    Moja ya Kundi ambalo linatakiwa kuhijiwa ni walisimamia uchaguzi, huku mtaani walimu Wengi wanaduku lao kusema yaliojiro kwenye vituo vya kupigia kura.
  6. M

    PostGE2025 Watinga Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga Tume iliyoteuliwa na Samia kufanya Uchunguzi wa ‘Matukio ya Uhalifu wakati wa Uchaguzi’

    Mawakili wetu na wanaharakati hawajapoa. Wameenda Mahakama Kuu kupinga Tume iliyoteuliwa na Rais Samia kufanya Uchunguzi wa Matukio. Wananchi watatu wakiongozwa na dada Rose Mwakitwange na Mawakili wao wameamua kuingilia kati suala hili. =============== Kesi hii inapinga uamuzi wa Rais kuunda...
  7. Genius Man

    Mchunguzi anayekuja kuchunguza Tanzania sio mashirika ya kimataifa wala nani bali ni ICC pekee. Huyu atachunguza mpaka tume ya uchunguzi

    Mchunguzi anayekuja kuchunguza Tanzania sio mashirika ya kimataifa wala nani bali ni ICC pekee huyu atachunguza mpaka hiyo tume ya uchunguzi ya Samia Huyu mchunguzi na yeye anakuja na satellite, mtasikia mengi zaidi akiianza kazi, huenda kuna makaburi mengi zaidi ya halaiki Huyu atachunguza...
  8. BigTall

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Rais Samia: Sababu za mashaka na maswali mtambuka —Je, itavuka kiunzi au itakwaa kisiki?

    Baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, mjadala kuhusu mwenendo na matukio yaliyohusisha uvunjifu wa haki za binadamu umeendelea kushika kasi ndani na nje ya Tanzania. Malalamiko kutoka kwa wadau wa ndani, asasi za kiraia, pamoja na Jumuiya za Kimataifa yaliibua hitaji la uchunguzi...
  9. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu: Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 ni Tume ya Watanzania

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema uundwaji wa tume ya kuchunguza matukio yaliyotokea siku na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ni hatua muhimu ya kitaifa, akisisitiza kuwa tume hiyo ni ya Watanzania na imeundwa kwa masilahi ya nchi, si kwa malengo ya kisiasa. Ametoa...
  10. Doctor Mama Amon

    Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Haki na Amani Katika Wiki ya Uchaguzi Mkuu 2025: Naomba Nakala ya Tangazo Husika Katika Gazeti la Serikali

    Wadau, Kwa mujibu wa kifungu cha 20 cha Sheria ya Tume za Uchunguzi (Commissions of Inquiry Act), Sura ya 32, Toleo la 2023, Rais anapounda Tume ya Uchunguzi husika, Tume hiyo inapaswa kuanza kazi baada ya Uamuzi wa Rais kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali . Taarifa ya gazetini inapaswa...
  11. Idugunde

    PostGE2025 Kuhusu kiongozi wa CHADEMA kudai atakinukisha suala lipo Mahakamani. Je, tume ya uchunguzi inachuguzaje suala hili?

    Tutakinukisha. Hii kauli ndio msingi wa kesi ya uhaini inayomhusu Lissu. Mahakama ni chombo huru. Tume itapoingilia suala hili na kuanza kuchunguza ni kuingilia kesi iliyopo mahakamani. Kama ndio hivyo Lissu aachiwe huru alafu Tume ichunguze alivyokinukisha. My take, mpaka sasa hivi Lissu...
  12. B

    Katiba Mpya itamke, pale ambapo senti ya serikali imetumika kwenye Tume ya Uchunguzi, ripoti lazima iwekwe wazi

    Ya Mzee Kibao ilisemaje? Huyu Jaji Othman ashaandika ripoti ngapi kwa mfano? Ziko wapi? Au huyo Balozi Ombeni Sefue, mshamsikia kwenye matume mangapi ? Ziko wapi ripoti alizoshiriki? Kwa nn huwa hawadai ripoti zao zifanyiwe kazi kama ambavyo Jaji Warioba anaishi akihubiri rasimu ya Katiba...
  13. Nipe Maji

    SI KWELI Lema na Sugu wamepongeza tume ya uchunguzi

    LEMA, SUGU WAMPONGEZA DKT. SAMIA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA UVUNJIFU WA AMANI Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu wamempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio...
  14. Cute Wife

    PostGE2025 Malisa: Hakuna Mtu au Taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. Kama ilifanyika Vyombo vya Ulinzi ni DHAIFU

    Anandika Godlisten Malisa... "Mimi binafsi siamini kama vijana walihongwa. Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. "Na kama ilifanyika hivyo basi vyombo vya ulinzi ni dhaifu. Kama yupo mtu anaweza kuhonga vijana nchi nzima na vyombo vya ulinzi visijue mpaka...
  15. MALCOM LUMUMBA

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    MOSI,Mahakama ya kimataifa ya uhalifu, almaarufu kama The International Criminal Court (ICC) imeanzishwa na MKATABA WA ROMA (THE ROME STATUTE), na huwa inafanya kazi chini ya kanuni iitwayo The Complementarity Principle. Kanuni hii (The Complentarity Principle) imetajwa kwenye aya ya kumi ya...
  16. Abraham Lincolnn

    Rais hawezi kujiundia tume ya uchunguzi wakati yeye na chama chake ndiyo chanzo cha yote

    Yaani wenzako wanasema mchezo huu hauko fair mabadiliko yafanyike, Mwamuzi, Linesmen, Wasimamizi na wadau wote wameteuliwa na timu mojawapo, Unakataa, Unawaua na kutumia Nguvu kubwa kuwadhibiti, Baada ya ushindi wa Damu unarudi kuuliza shida iko wapi? Are you serious? Shida ni wewe! Waliofanya...
  17. Yoda

    PostGE2025 CHADEMA iombe kukutana na tume ya uchunguzi ya Samia katika mkutano wa wazi

    Kwa kuwa CHADEMA imetajwa wakati wa uzinduzi wa tume ya kiserikali kuchunguza matukio ya October 29 Itakuwa ni vyema CHADEMA waombe kukutana na tume hiyo ya uchunguzi iliyoundwa na Samia kuchunguza kinachodaiwa ni vurugu za October 29 wawaeleze nini kilichosababisha maandamano hayo. Pia watake...
  18. Common Folk

    PostGE2025 Rais Samia: Tume ya Uchunguzi ndiyo italeta ajenda kwenye Tume ya Maridhiano

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tume ya uchunguzi ya Jaji Chande ndiyo itakayoleta ajenda ya tume ya Maridhiano. Pia Soma: Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025
  19. R

    PostGE2025 Heche: Tume iliyoundwa na Rais Samia kufanya uchunguzi ni wanachama wa CCM haki haiwezi kupatikana

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokradsi na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizunguma leo Novemba 19, 2025 amesema Tume ya kufanya uchunguzi wa uvunjifu wa amani wa vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 iliyoundwa na Rais Samia siyo chombo huru kwani wajumbe wengi wa Tume hiyo waliwahi kuwa...
  20. R

    PostGE2025 CUF yapinga Tume ya uchunguzi aliyoiteua Rais Samia, yadai kukosa uhuru na uaminifu

    THE CIVIC UNITED FRONT (CUF- Chama Cha Wananchi) MSIMAMO WA CUF JUU YA TUME YA UCHUNGUZI ILIYOTEULIWA NA DKT SAMIA SULUHU HASSAN: CUF- Chama Cha Wananchi kulikuwa Chama na Taasisi ya kwanza nchini kutoka hadharani na kutoa wito kwa Jumuiya za Kimataifa na za Kikanda kushiniza kufanyika kwa...
Back
Top Bottom