tume ya uchunguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. THE BIG SHOW

    PostGE2025 Ombi kwa Serikali; Baada ya majibu ya Tume ya Uchunguzi hiyo CHADEMA inayoshirikiana na TEC ifutiwe usajili wake

    Friends and Our Enemies hivi unadhani kutenda na kusimamia haki na sheria ni jambo la masikhara?Hata JF kuna rules and regulations,cha ajabu sasa tukianzisha bakora dhidi ya TEC zikiwachoma wanazifuta, ingekuaje mngekuwa mnaongoza dola mngekuwa na uvumilivu? "In life there are rules,and if not...
  2. Yoda

    Katiba mpya ya CCM itakuwa kama INEC na tume ya uchunguzi

    Kinchoitwa katiba mpya au mabadiliko ya katiba yaliyosemwa na CCM itakuwa kama tume ya uchaguzi ya Mwamengele na Kailima waliyoiongezea neno huru tu wakaanza kuiita INEC badala ya NEC kisha wakasema hiyo hiyo ni tume huru. Itakuwa pia kama tume iliyoundwa leo ya wao wanachoita uchunguzi wa...
  3. Penguinelli Cactussini

    PostGE2025 Rais anaunda tume kumchunguza nani ikiwa ushahidi wa video na picha na sauti uko wazi

    Kwa hiyo tume inachunguza nini wakati vitu viko hadharani? Yaani unachunguza nini wakati vitu vinaonekana? Tanzania tumekuwa tukipumbazwaara nyingi na hizi tume ambazo huwa zinaibuliwa mara baada ya tukio kubwa la kuhuzunisha kutokea. Sasa unaundaje tume wakati tumeona ni polisi ndio walikuwa...
  4. baz kaiza

    Mtuhumiwa pale anapounda Tume ya Uchunguzi ila Mnaona watu bado ni wa Zama zile?

    Kweli sikio la kufa haliwezi kuskia dawa aya maigizo yataishaia wapi na yatawasaandia nini? Tume ya mzee Ali kibao bado hatujapata matokeo yake leo unaunda tume nyingine ya Kujichunguza mwenyewe...
  5. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

    Uongozi uliopita uliokuwa unatuhumiwa kwa mambo kama ya sasa na kudhoofisha mifumo ya haki ndio waje kufanya uchunguzi wa mauji haya yaliyofanyika kwenye serikali ya sasa (yako)? Juma, Tax, Mwema ndio the best you could do kweli? Ripoti iliyotolewa na Jaji Chande juu ya ukatili wa polisi...
  6. baz kaiza

    Tume, tume, tume. Watanzania wa leo si wajinga. Kabla ya hizo tume unazotaka kuunda tupe mrejesho wa uchunguzi wa kifo cha mzee Ally Kibao

    Tume ya kuchunguza watu waliokufa alafu? Uliunda tume ya kuchunguza kifo cha mzee kibao alafu nini kilifuata baada ya tume? Tume ya Kujichunguza mwenyewe wananchi sio wajinga na hiyo tume ni ya nini na ulisema waliondamana ni...
  7. and 998 others

    PreGE2025 CHADEMA mtashiriki uchaguzi kwa tume Ile Ile?

    1. Nitashangaa ikiwa CHADEMA itashiriki Kwenye uchaguzi Mkuu 2025 kwa tume Ile Ile wanayoipinga. 2. Mkishinda (kiti kimoja cha ubunge wa Jimbo) mnaanza drama tena. Miaka mitano inapita kwa maandamano. Ila Mwenyekiti Yule Yule. NB: Kwann msitafute shughuli nyingine?
  8. Nyendo

    Kifo cha Nusura: Maswali ya kujiuliza kwenye Ripoti ya Tume ya Uchunguzi

    Ripoti ya THBUB inasema April 27 asubuhi Nusura alisafiri kwa basi la Manning Nice kutoka Dodoma hadi Babati. Kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari kwa basi la Ibra Line hadi Moshi. Lakini taarifa ya VC UDOM (Soma hapa Chuo Kikuu cha Dodoma chatoa taarifa kufuatia kifo...
  9. GENTAMYCINE

    Mbona hatujatangaziwa Tume ya Uchunguzi Kuungua kwa Al Moustafa Islamic Foundation Mbezi Beach Makonde?

    Endeleeni kudhani wenye Akili hatujui kwanini mmeuchuna wakati siyo Kawaida yenu Kuuchuna katika Matukio kama hata tena likihusisha Taasisi ya Kiimani. Halafu washaurini kama wataendelea kuwa hapo Makonde Wabadilike na kale 'Katabia Kero Kao' kwa Wanafunzi wa Kiume vinginevyo Moto wa Mwenyezi...
  10. Erythrocyte

    Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

    Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi. Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki...
  11. Suley2019

    Amos Makalla: Chanzo cha moto wa soko la Karume ni mshumaa uliowashwa na mateja

    SERIKALI YARUHUSU WAFANYABIASHARA KUREJEA KARUME KWA MPANGO MZURI. - Umati walipuka kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan. - RC Makalla apokea taarifa ya ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza Chanzo Cha Moto. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameruhusu...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwanini matokeo ya Tume ya Uchunguzi wa Kuungua Masoko huwa hayawekwi wazi?

    Limeungua soko la Kariakoo, waziri mkuu akaunda tume, hadi leo wahanga hawajulishwa, wala umma haujajulishwa ni nini kilichopo ndani ya ripoti hizo. Sio tu Kariakoo, bali masoko yote yaliyowahi kuungua hakujawahi kuwa na majibu ya wazi kwa ripoti za uchunguzi. Ukimya wa serikali unasababishwa...
  13. A

    Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

    Habari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma. Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio...
Back
Top Bottom