tuition

Tuition payments, usually known as tuition in American English and as tuition fees in Commonwealth English, are fees charged by education institutions for instruction or other services. Besides public spending (by governments and other public bodies), private spending via tuition payments are the largest revenue sources for education institutions in some countries. In most developed countries, especially countries in Scandinavia and Continental Europe, there are no or only nominal tuition fees for all forms of education, including university and other higher education.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    JamiiForums Tanzania Kupiga marufuku masomo ya ziada (tuition) ni sahihi ili kuwapunguzia mzigo wanafunzi na wazazi

    Masomo ya ziada ama tuition yamekuwa yakionekana kama kimbilio la wazazi na wanafunzi wengi, wakiamini kwamba njia hii inatoa fursa kubwa kwa mwanafunzi kufanya vizuri katika masomo yake na katika mitihani yake. Lakini kwa nchi nyingi za Afrika mara nyingi walimu wanaofundisha masomo ya ziada...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Utitiri wa shule za chekechea na Tuition wilayani Arumeru

    Wakuu narudia tena kuirudisha hii mada mpaka tupate majibu kutoka wizara husika. Kumekuwa na utitiri wa shule nyingi za chekechea na zingine zikiitwa Tuition zinazochukua watoto chini ya miaka mitano ambao hawajaanza shule. Katika safari zangu nilizotembea katika mji wa Arusha nimeona mjini...
  3. westandtogether

    JamiiForums Tanzania Tunatoa huduma ya Tuition kwa wanafunzi wa O Level na A Level

    Habari wanaJF, Tuition kwa wanafunzi wa sekondari O'level na A'level, nafundisha kwa wanafunzi watakaohitaji huduma Majumbani kwao na centre pia. Masomo yanayofundishwa ni: 1. Physics (O'level na a'level) 2. Chemistry (O'level na a'level) 3. Mathematics (O'level na a'level) Masomo haya...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku masomo ya ziada

    Serikali umepiga marufuku masomo ya ziada kwa shule za Serikali na hasa wakati wa likizo, kwa kubainisha kuwa yanaongeza gharama zisizo za lazima kwa wazazi na ni kinyume na waraka wa elimu namba tatu wa mwaka 2016,ambao unataka wanafunzi wapate likizo ama muda wa kupumzika. Hayo yamesemwa...
Back
Top Bottom