Haya magari yanatumiwa na viongozi wa wengi wa Serikali siyo salama.
Tusidhani wao Wajapan watafanya utafiti kuthibitisha hilo.
Ukiangali hizi gari zinapata ajali au kugongwa zinakuwa kama mtu kakunja makaratasi.
Uanzishwe uchunguzi wa kitaifa juu ya haya magari. Au tusubiri hadi limpate...
Mambo vipi. Kwa wajuvi wa mambo hebu tuelezeni mbona tukisoma taarifa nyingi za habari kuhusu wizi wa magari utakuta ni Toyota Noah zinaibea sana na zaidi hasa Kilimanjaro na pia Nairobi. Zina ni I hasa Hadi wezi waziibe sana?
Pia unafanyaje ili ulinde gari lako dhidi ya wezi wa namna hii?
Habari wakuu
Naomba ushauri nina-plan ya kununua Toyota land cruiser series ya 100 used hapa bongo ushauri wenu wakuu
Hii ndo my dream Car ila Sina uwezo wakuagiza from pajan
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida.
Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256
BEI: 9,500,000
Wakuu Mimi huvutiwa sana na muundo wa gari hii, inaurefu Fulani ata sisi tunaoishi mabonde Kwinama inaonekana kama inafaa hivi.
Sina utaalamu sana wa magari ila najiuliza kwanini gari hii sio nyingi sana barabarani wakati inaonekana kua gari nzuri kwa Mimi nisiyekua na ujuzi wa kutosha juu ya...
Heshima kwenu,
Naomba ushauri juu ya uchaguzi wa ununuzi wa Toyota Rush au IST, kiupekee napenda muundo wa Rush imekaa kama gari Fulani yenye hadhi ila sio mjuzi wa magari hata punje, nimeileta kwenu nisaidieni kufanya maamuzi kwa kuzingatia sifa za gari hizo.
Habari.
Jamani msaada kwenye tuta
Nina Toyota rush toka alhamis inaniletea ugonjwa pasua kichwa mno.
Ukiitembelea bila kuwasha ac unaweza kutembea hata siku nzima isisumbue gear box ina change fresh kabisa,lakini ukiwasha tu ac ndani ya dakika 5 au 10 basi over drive ina blink kwenye dashboard...
Mnunuzi anatafuta gari ya Toyota yenye sifa zifuatazo:
Uwezo wa Injini: 1500cc au chini.
Hali: Gari iwe katika hali nzuri, isiwe na matatizo makubwa.
Historia: Haijawahi kuhusika na ajali.
Bajeti: Hadi TZS 5,000,000 (Milioni 5).
Ikiwa una gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali...
Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001.
Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa.
Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena.
WhatsApp 0712 148001.
bajaj
benz
brevis
carina
fuso
ist
kilimanjaro porters assistance project
kushuka
land cruiser
magari
mama salma
mama samia
mazda cx-5
mazda demio
mazdacx5
milioni
mitano tena
noah
passo
pickup
pilau la mama samia
prado
range rover
raum
simba fc
suzuki escudo
suzuki swift
toyota
vitz
wadau wa biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.