Habari wakuu,
Nimekuwa nikipitia nyuzi nyingi kuhusu magari tofauti lakini sijabahatika kukutana na uzi ukijadili Toyota Altezza na Subaru Legacy ni gari ambazo natamani kununua.
Naomba kufahamishwa pros and cons zake, binafsi sina uzoefu au ujuzi wa magari, hivyo nategemea kupata maoni yenu...
Kampuni hiyo ya kuunda Magari imesema taarifa zilizovuja ni pamoja barua pepe 296,019, namba za wateja wanaotumia mfumo wa T-Connect na namba za simu zinazounganisha magari kupitia mtandao.
Wateja walioathiriwa na kuvuja kwa taarifa hizo ni kutoka duniani kote na hasa waliojiandikisha kwenye...
Tarehe 13 October 2022 nitakuwa na send off ya bint yangu. Mwenye gari la kukodisha aina hizo hapo juu na liwe rangi nyeusi tuwasiliane. Root itakuwa kutoa ukumbini (Baracuda Hall) Tabata Baracuda saa za asubuhi kwa ajili ya kupambwa gari.
Baadae jioni litamfuta Kimara Korogwe (salon) na...
Kama ambavyo imekua desturi sasa, Toyota ni mojawapo wa makampuni ambayo yamehama Urusi rasmi, nchi inaendelea kutumbukia kwenye shimo kiuchumi, huku Putin akikusanya wanywa gongo wakapambane pale wanajeshi rasmi wameshindwa.....
Amid Russia's ongoing war with Ukraine, Toyota announced it will...
Wasalaam wakuu,moja kwa moja kwenye mada.
Mimi Napenda Sana hili gari Aina ya Toyota ipsum old model,yaani hii gari ipo moyoni sio siri.
Naomba kujua bei yake kutoka Japan mpaka Dar au kama nikitaka kununua kwa mtu,inachezea bei gani?Ila iwe nzima plate namba walau iwe DS.
ONDOKA NA GARI KWA BEI NAFUU SANA KARIBU WHATSAPP KWA MAELEZO ZAIDI
1.TOYOTA SPACIO
ENGINE 1zz
Engine cc 1970
Full Ac
Full Document
Bei Mil 8.8
2.RAUM NEW MODEL 2004
REG #DE
Low Milleages.
Engine 1nz
CC 1490
Full Ac
Full Document
All duties and tax payed
Bei Mil 8.8
3.TOYOTA IST 2004
REG #DR...
Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rangi bajeti yangu 10.5M.
Sitaki iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali.
Habari nauza toyota Passo
Maelezo :
Toyota passo
Cc 990
Piston 3
Rangi Pearl
New tyres
Full ac
Iko kwenye hali nzuri kabisa ,Haina changamoto yeyote ,
Price : 6M
MAWASILIANO: 0754200363
Wahi chap
Karibu Automasi Company Limited uagize gari lenye ubora kwa gharama nafuu kabisa.
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
******************************************
🔅 CAR DETAILS 🔅
TOYOTA HIACE VAN
Year : 2007
Trans : AUTO
Fuel : DIESEL
Engine ...
Wakuu nadhani ni Tanzania pekee ukiwa na gari sio Toyota spare zake kupata ni mlolongo kidogo.
Nchini Kenya, Uganda au Rwanda gari yoyote una miliki na spare zipo ila Bongo ndo kipengele kingine.
Nimeanzisha uzi huu tupeane tarifa ni wapi (maduka yapi) kwa TZ Dar/Mwz/Arusha/Mbeya mtu anaweza...
Tunamalizia ushindi wa Simba na sherehe za 8-8 kwa kukuletea chuma kali kwa bei mtelezo
Toyota Chesa hyoo ipo posta DAR full Ac Tair Safi bei imepoa mil 3 top njoo chap 0713-096-076
Wahi chap tuache comments zisizo na mashiko.
•Registered Not…..DSU
•1KD-FTV 6 Cylinder 3.0CC Diesel Power
•2010 Model Year
•Metallic Blue Color
•Automatic Gear Transmission
•76k++ kilometer odometer readings
•Original Leather interior in a very Immaculate condition
PRICE IS 85 MILLION TSHS ABIT NEGOTIABLE
For more information and viewings...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.