toyota

  1. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Toyota VX,VXR n.k siyo Salama kwa viongozi. Serikali isitishe matumizi yake kwa viongozi wa Serikali

    Haya magari yanatumiwa na viongozi wa wengi wa Serikali siyo salama. Tusidhani wao Wajapan watafanya utafiti kuthibitisha hilo. Ukiangali hizi gari zinapata ajali au kugongwa zinakuwa kama mtu kakunja makaratasi. Uanzishwe uchunguzi wa kitaifa juu ya haya magari. Au tusubiri hadi limpate...
  2. 3

    JamiiForums Tanzania Magari aina ya Toyota Noah mbona yanaibwa sana

    Mambo vipi. Kwa wajuvi wa mambo hebu tuelezeni mbona tukisoma taarifa nyingi za habari kuhusu wizi wa magari utakuta ni Toyota Noah zinaibea sana na zaidi hasa Kilimanjaro na pia Nairobi. Zina ni I hasa Hadi wezi waziibe sana? Pia unafanyaje ili ulinde gari lako dhidi ya wezi wa namna hii?
  3. TEAM 666

    JamiiForums Tanzania Toyota land cruiser

    Habari wakuu Naomba ushauri nina-plan ya kununua Toyota land cruiser series ya 100 used hapa bongo ushauri wenu wakuu Hii ndo my dream Car ila Sina uwezo wakuagiza from pajan
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nauza Gari TOYOTA ISIS 2008 namba DMR

    Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana! Make: TOYOTA ISIS MWAKA: 2008 CC: 1798 SEATS: 7 DRIVE: AUTOMATIC, 2WD Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida. Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256 BEI: 9,500,000
  5. aliyetegwa

    JamiiForums Tanzania Natamani kununua Toyota Rush naomba ushauri wenu

    Wakuu Mimi huvutiwa sana na muundo wa gari hii, inaurefu Fulani ata sisi tunaoishi mabonde Kwinama inaonekana kama inafaa hivi. Sina utaalamu sana wa magari ila najiuliza kwanini gari hii sio nyingi sana barabarani wakati inaonekana kua gari nzuri kwa Mimi nisiyekua na ujuzi wa kutosha juu ya...
  6. aliyetegwa

    JamiiForums Tanzania Kati ya Toyota Wish na Toyota IST upi unyama?

    Heshima kwenu, Naomba ushauri juu ya uchaguzi wa ununuzi wa Toyota Rush au IST, kiupekee napenda muundo wa Rush imekaa kama gari Fulani yenye hadhi ila sio mjuzi wa magari hata punje, nimeileta kwenu nisaidieni kufanya maamuzi kwa kuzingatia sifa za gari hizo.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Pick Up (SINGLE CABIN)

    Wana JF, Nahitaji Toyota Pick Up iwe SINGLE CABIN, iwe katika hali nzuri, kama kuna mtu anayo ani-PM pamoja na Bei yake anayouza.
  8. Sauti ya amani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Probox used Nina 5.5M 0749442229

    Mwenye hyo gari nitafute ukiwa dar itapendeza zaidi
  9. Faana

    JamiiForums Tanzania Toyota waja na toleo jipya Landcruiser 300

    Landcruiser 300
  10. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Msaada Toyota rush inanipasua kichwa

    Habari. Jamani msaada kwenye tuta Nina Toyota rush toka alhamis inaniletea ugonjwa pasua kichwa mno. Ukiitembelea bila kuwasha ac unaweza kutembea hata siku nzima isisumbue gear box ina change fresh kabisa,lakini ukiwasha tu ac ndani ya dakika 5 au 10 basi over drive ina blink kwenye dashboard...
  11. kwezi magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota harrier inauzwa

    Toyota harrier Mwaka 2005 Kilometers elfu 83 Gari mpya Bei milioni 27.5 Maongezi baada YA kukaguwa gari
  12. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari ya toyota inahitajika!

    Mnunuzi anatafuta gari ya Toyota yenye sifa zifuatazo: Uwezo wa Injini: 1500cc au chini. Hali: Gari iwe katika hali nzuri, isiwe na matatizo makubwa. Historia: Haijawahi kuhusika na ajali. Bajeti: Hadi TZS 5,000,000 (Milioni 5). Ikiwa una gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali...
  13. robbinhood

    JamiiForums Tanzania Inaitajika Toyota Passo, vits au IST, Arusha

    Habari, inaitajika Toyota Passo, vitz au IST Bajeti: ni 5M - 6M Eneo: Arusha
  14. Tyrex

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota harrier for sale

    Harrier 2003 2360cc 4wd Haina kipengele chchte 21.7m 0743586474
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Toyota corola Axio ya 2009 imekaa mwake sana

    Toyota corola Axio Ina Nice design kwa kweli Sio vibaya watalaam watupatie moja mbili tatu zaidi kuhusu gari hili
  16. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Ractis (EFP) Inauzwa TZS. 15.9m

    YOM: 2011 Capacity: 1300cc Automatic Petrol From Japan . TZS. 15.9m . Call: 0717 650800
  17. FAJES

    JamiiForums Tanzania Ipi gari ya kuchukua hapa, Subaru Impreza, Mazda Verisa au Toyota Rumion?

    Wazee, Ushauri unahitajika. Karibuni. Nasikia Subaru Impreza zinasumbua engine, ni kweli?
  18. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

    Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001. Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa. Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena. WhatsApp 0712 148001.
  19. Jerry magere

    JamiiForums Tanzania Car4Sale NAUZA TOYOTA HARRIER CHASSIS 240G

    Make/Model:Toyota Harrier Fuel:Petrol Engine code:2AZ CC:2400 Color:Black Metallic Mileage:71,000kms New tyres✅ Sports Alloy Rims✅ Sunrooof✅ Yom:2003 Price: 37.5M +Free registration.
  20. B

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion inaweza kitumika kama gari ya bolt?

    Wakuu, nipeni ufafanuzi juu ya hii gari Kwa matumizi ya bolt inafaa?
Back
Top Bottom