toyota

  1. Jerry magere

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Toyota Alphard 2007/ chassis

    Price: 24,800,000 + Registration. Low Mileage: 63,000km Cc: 2360
  2. Nguvuyabwana

    JamiiForums Tanzania Msaada spea ya Toyota Alteza

    Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
  3. kingkimbe

    JamiiForums Tanzania Naitaji control box ya Toyota duet

    Wakuu habari zenu. Kama kichwa kinavyosema hapo juu naitaji control box ya Toyota duet engine ni EJ-DE piston tatu msaada wenu tafadhali
  4. incredible terminator

    JamiiForums Tanzania Wanaojua magari Naomba kujua changamoto za Toyota Sienta

    Wakuu, moja kwa moja kwenye mada nomba kujulishwa changamoto na ubora wa Toyota Sienta, Nataka kukanunua kwa ajili ya harakati zangu ndogo ndogo hasa biashara ya usambazaji bidhaa vijijini vip wataalam vigari hivi vina chngamoto gani na ubora gani? Hasa katika barabara za vijijini?
  5. Mbalizi feedstuff

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari Toyota Surf Inauzwa

    Gari: Toyota hilux surf Mahali: Morogoro mjini Bei ya kuanzia: Maeleweno yapo japo bei ya kuanzia ni Milioni 8 Gari lipo katika hali nzuri na linatembea lsipokuwa lina changamoto ya Cylinder head.Kama kuna yeyote yeyote yuko interested tunaweza kuwasiloana PM
  6. Makungu charles

    JamiiForums Tanzania "ijue Toyota Harrier E new modern"

    Toyota Harrier ni gari la kifahari linalozalishwa na Toyota na linajulikana kwa muundo wake mzuri, utendaji bora, na faraja. Toleo la Toyota Harrier lenye jina la "E New Moden" linajumuisha sifa mpya na teknolojia ya kisasa ambayo inaboresha uzoefu wa kuendesha gari. Sifa za Toyota Harrier (E...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Toyota Porte kwa taxi mtandaoni

    Ndugu zangu habari. Baada ya baadhi ya shughuli zangu kwenda mrama nimeamua kufanya kazi ya taxi mtandaoni maarufu uber. Sasa nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri kutokana na gari nitakalotumia. Gari langu ni toyota porte, namba DX cc 1490. Hii gari huwa naitumia kwa shughuli za hapa mjini na...
  8. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Toyota IST vs Toyota Aqua katika biashara ya Taxi

    Habari wakuu, Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee anunue gari ili awe anapiga mishe za taxi mtandao(Uber,bolt nk). Chaguo lake yeye lilikuwa ni...
  9. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale **FOR SALE: TOYOTA LANDCRUISER HZJ-79 SERIES. FOR DALE**

    Type: Pickup Double Cabin Model Year: 2017 Engine: 1HZ 12-Valve Black Top Cover Diesel Features: - Immaculate Interior 🔥 - Snorkel ✅ - New BF-Goodrich Tyres & Rims ✅ - Fully Serviced ✅ Price: 165 million TZS, includes free registration 💰🤝 For viewing, please call 0784225000.
  10. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Tanzania Hivi hiki Kiberiti Toyota Vits Engine 1 KR CC 990 vipi uimara wake kwa matumizi ya Mjini

    Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990. Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura huko beforward nimeona kukiagiza kanachezea millioni 8 na vichenchi kadhaa mpaka hapo Daslam...
  11. Kaudunde Kautwange

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya toyota allex kutowaka baada ya ingine kupata normal temperature

    Wakuu habari, Nina toyota Allex, changamoto yake ni kuwa, nikiwasha, engine ikipandisha temperature kwenye normal inakuwa fresh, sema ikitokea nimezima, aiseee.. kuwaka tena inakuwa na changamoto sana, yaani hadi niiache ipoe kabisaaa... changamoto inaweza kuwa nini!?
  12. Chaz Joe

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufahamu gharama za ushuru wa TOYOTA NOAH bandarini zikoje?

    Habari wapendwa, nahitaji kumiliki gari aina ya Toyota Noah. Naona ndiyo inayonifaa kwaajili ya kuendesha mishemishe zangu. Ningependa kwa yeyote ambae anafaham chochote kuhusu gharama za kuagiza hiyo gari na kodi zote tafadhali nijuze
  13. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota LANDCRUISER PRADO FOR SALE*

    * TRJ 150. Brown color. 2690cc.Petrol. Automatic. Number T...DDE. In good condition. Price 90mil Mawasiliano 0784225000
  14. geezerlad

    JamiiForums Tanzania Toyota Noah Si (new shape)

    Naomba kufahamu kuhusu Toyota Noah Si (new shape) Ubora wake na changamoto zake kwa aliyewahi itumia hii gari.
  15. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Huenda Dodoma kuna kiwanda cha Toyota /Nissan V8 na hatujui

    Dodoma haipit dakika 5 hujapishana na chuma V8 inakata mitaa, FULL AC. Kiwanda Kipo sehemu gani hapa Dodoma? *Tumeshindwa kabisa kuweka vipaumbele?
  16. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Rav 4 Inauzwa Dar

    Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Toyota wazindua IST ya umeme: Urban Cruise EV

    Wengi tukiongelea Toyota IST tunaongelea first gen na 2nd generation, ambazo nchi nyingine ikiwemo America na UK wanaziita Urban Cruise. Sasa leo, jamaa kutoka JP wamezindua generation nyingine ya Urban Cruise ambayo ni full EV. Inakuja na power options mbili, kubwa ni AWD, 182 hp dual motor...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Gari Toyota Spacio New Model kukosa nguvu pindi ninapokutana na mlima

    Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia inakuwa kama inamiss hivi sasa sijajua kama ni ishu ya Fuel Pump au maana hata nikijaribu piga ress...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Toyota cami

    Nina gari aina ya TOYOTA cami,gear box yake Ina shida,NAPATA WAPI gear box mpya na ni bei Gani?
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Toyota wamezindua EV sedan BZ7: Kwa msaada wa Mchina!

    Toyota, wakongwe kutoka Japan waliokataa kuingia EV miguu yote, wamezindua EV sedan inayoitwa BZ7. Tukumbuke BZ ni series ya EV kutoka Toyota ambazo amekua akishirikiana (co-develop) na Mchina. This time, BZ7 ameshirikiana na GAC na kutumia battery za BYD. Sida zaidi hatujapewa ila kwa...
Back
Top Bottom