2010 Toyota premio
Reference Number:24254119264
Make:TOYOTA
Model:pREMIO - ZRT260 / ZRT261 / ZRT265
Body Type:SEDAN
Year of Manufacture:2010
Country:JAPAN
Fuel Type:pETROL
Engine Capacity:1501 - 2000 CC
Price 30M
Hello ,
Nauza Toyota porte Bei ni Milioni 5.5
Sio dalali ni mmiliki so tunaweza zungumza kidogo kwenye bei
Location : DSM Msongola
Colour : Silver
Engine size : 1450 cc
Reg : DES
Engine ,gear box,Ac vyote vizima
Habari
Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kutangaza magari ya Toyota harrier models zote huku nikijunuisha na gharama zote kama vile Kodi za tra nk
Hii itamrahisishia mtu anayetaka kununua gari aina ya Toyota harrier aweze kuzijua gari hizi Vizur lkn pia ajue ni kiasi Gani kinahitajika ili aweze...
Habari za jioni wana magari,, naombeni mnipe experience kwa wale walio wahi kuendesha Toyota fortuner,, stability yake ikoje ikiwa kwenye speed 100 na kuendelea,,
Hatimaye Generation ya 6 ya Rav 4 imezinduliwa leo tar 21 May huko Japan, na imejumlisha re-design ya kuanzia muonekano wa nje na ndani, hadi performance.
Kuendana na kasi ya ukuaji wa magari ya umeme, generation hii ya Rav 4 itakuja kwa options mbili tu, either full EV (BEV) au Hybrid (PHEV)...
Wakubwa kama kichwa kinavyojielezea hapo nataka nipate diff ya noah two wheels maana iliyopo inapiga kelele sana aisee sasa nataka nibadilishe sasa naomba kujua gharama yake maana naona kabisa dalili za kupigwa hapa
Haya magari yanatumiwa na viongozi wa wengi wa Serikali siyo salama.
Tusidhani wao Wajapan watafanya utafiti kuthibitisha hilo.
Ukiangali hizi gari zinapata ajali au kugongwa zinakuwa kama mtu kakunja makaratasi.
Uanzishwe uchunguzi wa kitaifa juu ya haya magari. Au tusubiri hadi limpate...
Mambo vipi. Kwa wajuvi wa mambo hebu tuelezeni mbona tukisoma taarifa nyingi za habari kuhusu wizi wa magari utakuta ni Toyota Noah zinaibea sana na zaidi hasa Kilimanjaro na pia Nairobi. Zina ni I hasa Hadi wezi waziibe sana?
Pia unafanyaje ili ulinde gari lako dhidi ya wezi wa namna hii?
Habari wakuu
Naomba ushauri nina-plan ya kununua Toyota land cruiser series ya 100 used hapa bongo ushauri wenu wakuu
Hii ndo my dream Car ila Sina uwezo wakuagiza from pajan
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida.
Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256
BEI: 9,500,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.