toyota

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ni engine gani nzuri kwa Toyota Hilux Double Cabin

    Wakuu nataka kununua Toyota Hilux Double Cabin, ila changamoto ni kujua engine gani hazina usumbufu katika gari hiyo.
  2. English Learner

    JamiiForums Tanzania Natafuta Toyota Noah SR40 ya Kununua

    Wadau, Poleni na kazi za kutafuta mkate wa kila leo. Baada ya kukosa Toyota Noah ya kukodi nimeamua kujimwambafy kwa kutafuta ya kununua. Nahitaji Toyota Noah SR 40 ambayo haina zaidi ya miezi mitano (5) toka isajiliwe nchini Tanzania. Gari iwe inatembea, isiwe na tatizo lolote, iwe na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Toyota Avensis 2.0 D-4-D

    Habari, Nataka kununua gari aina ya Toyota Avensis 2.0 D-4-D, hii gari inatumia mafuta ya Diesel. Kuna mtu ana uzoefu na hizi gari. Pia kuna mtu ameshawahi kununua hii na anayo. Nilikuwa nauliza kuhusu changamoto za maintenance na ushuru wake maana TRA sioni option ya ushuru wa gari kama hiyo...
  4. English Learner

    JamiiForums Tanzania Toyota Noah/Hiace inahitajika. TZS 600,000/Mwezi

    Gari aina ya Toyota Noah au Hiace inahitajika kwa ajili ya kusambaza vinywaji vikali Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara kwa mwezi mmoja. Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida pia ni juu yangu. Budget yangu ya kumlipa mwenye gari (mmiliki/mkodishaji) ni laki sita (TZS...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua uzuri na ubaya wa Toyota Ipsum

    Hili gari kwa familia kubwa nalipenda. Naomba kujua madhaifu yake katika: - Safari ndefu Dar to Mwanza - Ulaji mafuta - Kwenye barabara ya vumbi - Bei yake yard Naombeni msaada.
  6. rasomaka

    JamiiForums Tanzania Nauza Toyota Mark X 2006

    Make: Toyota Mark X 2006 Cc: 2490 Mileage:130,000 Seat: Leather seat 5, both front electronic Airbag; 9 Sound and Radio: touch screen and subwoofer Mirror: side mirror indicator Key: push start Price: 8,200,000 Location: Mbezi Beach Tanki Bovu Tel: 0653 029400
  7. Mr. MTUI

    JamiiForums Tanzania TRD Stickers kwenye Toyota

    Hivi hizi sticker huwa zinasaidia nini hasa. Na leo nimekutana na IST ina sticker kibao mojawapo imeandikwa OFF ROAD. Nikabaki kucheka. Hivi hizi sticker huwa zinawasaidia nini hasa jamani.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mwenye Suzuki Carry Family nabadilisha na Toyota Vitz 0767333440

    Nabadilisha Toyota Vitz kwa Suzuki Carry Family. Vitz ni kali sana piga 0767 333 440.
  9. Camo97

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota raum

    Toyota raum inauzwa million tisa iko katika hali nzuri ikiwa na vibali vyote haijawahi kugongwa na ni namba D
  10. Mtekinolojia

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Voltz in mint condition for Sale

    Price: TZS 14,000,000 Toyota VOLTZ impoorted and used for only 13 Months in Tanzania for sale by the owner Facilities and specifications - Km 117,000-Imported with 110,000 KMs (Rarely driven in Tanzania) -New tyres installed Nov 2018 -Elegant music system -Smart radio that support video -Back...
Back
Top Bottom