toyota

  1. Nataka gari aina ya Toyota IST, bajeti 5 to 6m

    Nahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
  2. Car4Sale Toyota Vitz namba BV cc 990, kwa milioni 3

    .......
  3. J

    Car4Sale Toyota allion for sale

    TOYOTA ALLION NAMBA D ENGINE 1800CC IKO DAR BEI 6.4M(NEGOTIABLE) CONTACT 0762295954
  4. Car4Sale Toyota IST inauzwa Tsh. milioni 10.5

    TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004) Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin Well maintained, Full paid documents Engine Type 2nz, Engine capacity 1290 Haijarudiwa rangi, Full aircondition Bei 10.5million maongezi yapo PiGa 0621604087 WhatsApp 0621604087 Call 0621604087
  5. Car4Sale Toyota crown for sale

    Toyota Crown Year:2005 EngineCC:2500 Price 8,800,000/= Call/what's app 0626409908 dsm
  6. Car4Sale Toyota IST no DLW inauzwa kwa 8mil. Dar es salaam

    iwahi, bei haina udalali. cc 1290. imenyooka call 0713096076 nikuunganishe kwa boss mkaongee zaidi.
  7. Car4Sale Turbo Glanza for sell

    glanza turbo manual transmition 5.5m dsm 0626409908
  8. C

    Car4Sale Inauzwa/For sale: 2007 Toyota IST

    Toyota IST ya 2007, 1490 CC, 63,800 KM. Price/Bei: TSh 14.5 million Inuzwa na mmiliki (hakuna dalali). Ipo Mbweni malindi/Mbweni JKT, Dar es Salaam. Wasiliana 0759970963/ Whatsapp 0625536529 2007 Toyota IST Details Price negotiable: Yes Condition: Used Year: 2007 Make: Toyota Model: IST...
  9. N

    Gari Inauzwa Toyota Mark II Gx 100 Tzs. 2.5m

    Assalaam Wanabodi, Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote. Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
  10. C

    Toyota fielder Msaada

    Ambae ameimiliki hii gari ,utumiaji Mafuta,Spea, comfortability yake,utulivu barabarani nk, M-barikiwe saana
  11. N

    Nani anamiliki Toyota Filda humu?

    Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500. Ubarikiwe
  12. Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
  13. Hivi kuna fundi anaye weza kuubalisha mlango wa TOYOTA SIENTA wa kuburuza kuwa mlango wa kawaida kama wa Rav4, IST?

    Msaada hapo tafadhari naipenda hii gari muundo wake ila ule mlango wake tu wa kuburuza kama wa noah ndio kikwazo kwangu nataman ufunguke kama wa Rav 4 au gari zingine zenye mlango kama hizo. Kama kuna mtaalamu wa kufanya modification na ukakaa safi kabisa niunganishwe naye anihakikishie.
  14. Naitaji shockup za Toyota kluger

    Wakuu Naitaji bidhaa tajwa hapo juu mwenye nazo tafadhari naomba unipm Ni shockup za nyuma Niko dar es salaam, mwenye used na mpya wote tunaweza kuwasiliana
  15. Car4Sale Toyota IST, No D kwa Tsh. milioni 9

    IST, YOM: 2004 CC 1290 COLOUR: silver Engine iko poa Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi. karibu tumalize biashara: 0683011003 0683011003
  16. N

    Toyota Corolla fielder

    Naomba mwenye kuijua vema hii gari Anisaidie tafadhali nataka kuinunua mwezi ujao mikononi kwa mtu Namba DKL
  17. T

    Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

    Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha. Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki...
  18. Toyota Ipsum au Wish? Tumeweka maoni yetu

    TOYOTA WISH AU IPSUM?- Kama alivyouliza mdau kwenye group Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari Ipsum za zamani zimeadimika, hivyo ntaongelea ile mpya kuanzia miaka ya 2001. Toyota Ipsum inakuja na injini kubwa iitwayo 2AZ (Cc2400) yenye Vvti ambayo pia inapatikana kwenye Harrier Old na...
  19. Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

    Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability...
  20. Car4Sale Toyota Noah inauzwa

    Toyota Noah Category: Station Wagons Transmission: Automatic Colour: Gold Engine 1998cc Fuel: Petrol Mileage: 200000km Year of manufacture 2001 Condition: Used for 4year Price: Tshs.Mil.11,500,000/= Haina tatizo,njoo na fundi wako akague. Maongezi yapo Call#0652563680
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…