TotalEnergies SE is a French multinational integrated oil and gas company founded in 1924 and one of the seven "supermajor" oil companies. Its businesses cover the entire oil and gas chain, from crude oil and natural gas exploration and production to power generation, transportation, refining, petroleum product marketing, and international crude oil and product trading. TotalEnergies is also a large scale chemicals manufacturer.
TotalEnergies has its head office in the Tour Total in La Défense district in Courbevoie, west of Paris. The company is a component of the Euro Stoxx 50 stock market index. In the 2020 Forbes Global 2000, it was ranked as the 29th-largest public company in the world. Like other fossil fuel companies, TotalEnergies has a complex history of environmental and social impacts, including multiple controversies. According to the CDP Carbon Majors Report 2017 , the company was one of the top 100 companies producing carbon emissions globally, responsible for .9% of global emissions from 1998-2015.
Wanabodi,
Hii ni makala ya Jumapili ya leo.
Jumatatu ya wiki iliyopita, February 14, Watanzania tumejiunga na nchi nyingine duniani, kuadhimisha siku ya Wapendanao, yaani Valentine Day, ambayo huadhimishwa kwa watu kuonyeshana upendo na kupeana zawadi mbalimbali za kuonyesha upendo wakiwemo...
Wanabodi,
Jukwaa la Siasa:
Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi.
Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya...
Wanabodi,
Naomba nianze na facts:
1. Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la...
Serikali imeipongeza Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, kwa kuunga mkono juhudi za Tanzania kujenga Tanzania ya viwanda kwa kujenga viwanda, kutoa ajira, na kuleta teknolojia kwa Watanzania, ambapo kabla ya ujenzi wa kiwanda cha vilainishi, Tanzania ilikuwa ina aagiza lubricants kwasababu...
Wanabodi,
Haya ninayoandika ni kama utani vile lakini ndio ukweli wenyewe!,
Jee wajua ya kuwa, kuna watu wenye bahati na na wengine hawana bahati?. Wenye bahati, mambo yao yanakwenda vizuri na kusema ni bahati tuu, na wasio na bahati, mambo yao yanakwenda vibaya, na kuishia kusema ni bahati...
Wanabodi,
Kampuni ya Total, ambayo ndio kampuni kubwa ya Mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na ya 5 duniani, imebadili jina kutoka Total, na kuwa TotalEnergies.
Wewe kama mwana JF, be the first to know!.
Paskali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.