the hague

The Hague (; Dutch: Den Haag [dɛn ˈɦaːx] (listen) or 's‑Gravenhage [ˌsxraːvə(n)ˈɦaːɣə] (listen)) is a city on the western coast of the Netherlands on the North Sea and the capital of the province of South Holland. It is also the seat of government of the Netherlands and hosts the International Court of Justice, one of the most important courts in the world.
With a metropolitan population of more than 1 million, it is the third-largest city in the Netherlands, after Amsterdam and Rotterdam. The Rotterdam–The Hague metropolitan area, with a population of approximately 2.7 million, is the 13th-largest in the European Union and the most populous in the country. In the west of the Netherlands, The Hague is in the centre of the Haaglanden conurbation and lies at the southwest corner of the larger Randstad conurbation.
The Hague is the seat of the Cabinet, the States General, the Supreme Court, and the Council of State of the Netherlands, but the city is not the constitutional capital of the Netherlands, which is Amsterdam. King Willem-Alexander lives in Huis ten Bosch and works at the Noordeinde Palace in The Hague, together with Queen Máxima. Most foreign embassies in the Netherlands are located in the city. The Hague is also home to the world headquarters of Royal Dutch Shell and other Dutch companies.
The Hague is known as the home of international law and arbitration. The International Court of Justice, the main judicial arm of the United Nations, is located in the city, as well as the International Criminal Court, the Permanent Court of Arbitration, Europol, and approximately 200 other international governmental organisations.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Samia usiogope magereza ya the hague kuna milo mitatu sio kama bongo

    mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri. Hata kipindi cha break ukiwa mahakamani utapewa msosi na huku usalama wako ukiwa umehakikishiwa sio kama huku Samia kipenzi...
  2. S

    Tatizo ni kwamba, baada ya mauaji ya Oktoba 2025, hata muongee maneno mazuri kiasi gani, ICC ya The Hague inawasubiri!

    Nadhani kuna watu wanafikiri wakiongea maneno matamu matamu basi watu wa ICC kule The Hague watasahau amri za kuua walizotoa na mauaji ya kutisha ya Oktoba 2025. Hakuna kitu kama hicho. Anzeni kujipanga kwenda kwenye kesi, na hata kutangaziwa International Arrest Warrants. Ushahidi upo wa wazi...
  3. S

    Kibao kitapogeuka, Lissu atakuwa uraiani, huku mtesi wake akiwa The Hague Court

    Ni kama ambavyo yule alietaka kumtanguliza Lissu ahera, badala yake katangulia yeye huku Lissu akiwa bado yuko katika uso wa hii dunia. Tena si ajabu Lissu akaja kuwa Raisi wakati huo mtesi wake ameshahukumiwa kifungo cha maisha jela. Muda utasema.
  4. KEKO JUU

    Damu za watanganyika Haziwezi kumwagwa bure hivi: Je, Samuya Atakwenda The Hague?

    Hakuna mtu aliyetarajia hivi. Mwaka 2021 tulipompokea Samuya tulidhani tumepata Mama , aliyeahidi kufungua nafasi ya kisiasa. Leo, miaka minne tu baadaye, vijana wetu wengi wamepotezwa hawaonekani tena.Video za mochwari za Dar es Salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya ndo zinazidi kutia simanzi kubwa...
  5. Richard

    Nimeshawasilisha barua ya mashtaka dhidi ya Rais Samia kwenye mahakama ya The Hague ICC

    ICC wamenithibitishia kuwa tiyari wana barua kadhaa kutoka kwa watanzania akiwemo mzee Malisa ambae ndiye alielianzisha ambazo zalingana na barua yangu na kwamba wapo wakisubiri barua zaidi na ushahidi wa kutosha. Hizi ni barua za tuhuma na hadi hapo ICC watapofungua jalada la kesi bado...
  6. M

    Kama huyu mwalimu kaonekana katili basi walimu wa zamani wa Manyara ranch primary wangepelekwa the Hague kabisa

    Kwa wale tuliozaliwa na kukulia Arusha na Manyara lazima wengi wetu tunaijua au kuisikia shule ya msingi Manyara Ranch ilivyokuwa enzi hizo. Miaka ya 90 nikiwa mwanafunzi wa shule ya msingi hiyo shule ilikuwa kama vile shule maalum ya watoto watukutu... ikumbukwe shule ilikuwa porini makuyuni...
  7. Echolima1

    Utawala wa Trump umewawekea vikwazo majaji wanne kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu mjini The Hague

    Utawala wa Trump umewawekea vikwazo majaji wanne kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu mjini The Hague. Katika kutangaza hatua hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alisema: "Kama majaji wa ICC, watu hawa wanne wameshiriki kikamilifu katika hatua zisizo halali na zisizo na...
  8. S

    ICC inashighulika na mauaji ya kundi fulani la watu (inaweza kuwa kabila, rangi ama mrengo wa kisiasa)

    ICC inashighulika na mauaji ya kundi fulani la watu (inaweza kuwa kabila, rangi ama mrengo wa kisiasa). Ruto na Uhuru ni mfano wa watu waliopelekwa ICC kwasabb ya mauaji ya watu wa mrengo fulani wa kisiasa. Samia leo ameua mwanachadema mmoja na kuwajeruhi wengi sana. Mchuma janga hula na WA...
  9. and 998 others

    Tetesi: Gachagua kupeleka Kesi ICC The Hague

    Duru zinaeleza kuwa aliyekua Naibu Rais wa Kenya amewaelekeza wanasheria wake kufungua kesi Mahakama ya ICC The Hague ili apate haki yake ambavyo ameikosa kwenye Mahakama za Kenya.
  10. F

    Tetesi: Rais Paul Kagame kufunguliwa mashitaka The Hague kwa uhalifu nchini Congo DRC

    Habari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu. Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo. Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
  11. BARD AI

    Mfadhili Mkuu wa mauaji ya Kimbari kusomewa mashtaka The Hague Sept 29

    Felicien Kabuga mmoja kati ya watuhumiwa wakuu tafikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC, ambako ameshtakiwa kwa Mauaji ya Halaiki na Uhalifu dhidi ya Binadamu, akitajwa kufadhili uhalifu huo dhidi ya Watutsi miaka 28 iliyopita. Kabuga mwenye miaka 80 alikamatwa nchini...
  12. beth

    Balozi Caroline Kitana Chipeta ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague

    Balozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
  13. Sam Gidori

    Charles Taylor ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza

    Mahakama Maalum ya Umoja wa Mataifa inayosikiliza mashtaka dhidi ya rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor imesema kiongozi huyo wa zamani ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza, na si nchini Liberia kama alivyoomba hapo awali kutokana na kigezo cha usalama. Kiongozi huyo wa...
Back
Top Bottom