Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka sana,Chumba kimoja master chenye jiko kuanzia Elfu themanini, laki moja hadi laki na hamsini.
Chumba...