Sala
Mungu Wabariki hawa Watu,
Zibariki familia zao,
Vibariki vizazi vyao hata cha 5 na cha 6,
Bariki kazi za mikono yao.
Hawa watu wameleta Upinzani wa kweli nchini Tanzania. Upinzani usioangalia maslahi binafsi bali maslahi ya Taifa na Wananchi wote.
Upinzani wenye lengo la kuwakomboa...