tamu sana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Msimu ujao ligi iwe walau na timu 18 ili tufurahie

    Ligi kuu imekuwa tamu sana, sema mechi chache sana. At least ziwe timu 18 tupate wasaa wa kuenjoy football. TFF board do something. We already have growth in football lets improve it.
  2. konda msafi

    Dar miaka ya nyuma ilikuwa tamu sana

    Nakumbuka miaka ya 2001 kuja mpaka 2014 hivi Dar ilikuwa tamu mno. Maeneo ya Sinza na Mwenge ilikuwa maeneo matamu sana kuishi. Dah! Jamani Sinza ilikuwa tamu balaa, watoto wa Sinza walikuwa wakali balaa, hata sehemu zingine za uswazi nako watoto walikuwa wazuri balaa ila Sinza ndio ilikuwa...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Raha, Tamu na chungu ya VPN

    VPN bana 🙌🏾😂😂😂 nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea 🇰🇷!!! 📢
Back
Top Bottom