Habari ndugu na jamaa! Pole na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku.
Sio mwandishi mzuri, lakini leo nataka nikupe kisa cha kweli kuhusu taifa lako.
Mwaka 2016, nikiwa mwanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM (sitaeleza mengi kuokoa muda na usomaji pia). Nilipata habari ambayo binafsi, mwanzo...