sweden

Sweden (; Swedish: Sverige [ˈsvæ̌rjɛ] (listen)), officially the Kingdom of Sweden (Swedish: Konungariket Sverige [ˈkôːnɵŋaˌriːkɛt ˈsvæ̌rjɛ] (listen)), is a Nordic country in Northern Europe. It borders Norway to the west and north, Finland to the east, and is connected to Denmark in the southwest by a bridge-tunnel across the Öresund Strait. At 450,295 square kilometres (173,860 sq mi), Sweden is the largest country in Northern Europe, the third-largest country in the European Union, and the fifth largest country in Europe. The capital city is Stockholm. Sweden has a total population of 10.4 million; and a low population density of 25 inhabitants per square kilometre (65/sq mi). 87% of Swedes live in urban areas, which cover 1.5% of the entire land area. The highest concentration is in the central and southern half of the country.
Sweden is part of the geographical area of Fennoscandia. The climate is in general mild for its northerly latitude due to significant maritime influence. In spite of the high latitude, Sweden often has warm continental summers, being located in between the North Atlantic, the Baltic Sea, and vast Russia. The general climate and environment vary significantly from the south and north due to the vast latitudal difference, and much of Sweden has reliably cold and snowy winters. Southern Sweden is predominantly agricultural, while the north is heavily forested and includes a portion of the Scandinavian Mountains.
Germanic peoples have inhabited Sweden since prehistoric times, emerging into history as the Geats (Swedish Götar) and Swedes (Svear) and constituting the sea peoples known as the Norsemen. An independent Swedish state emerged during the early 12th century. After the Black Death in the middle of the 14th century killed about a third of the Scandinavian population, the Hanseatic League threatened Scandinavia's culture, finances and languages. This led to the forming of the Scandinavian Kalmar Union in 1397, which Sweden left in 1523. When Sweden became involved in the Thirty Years War on the Reformist side, an expansion of its territories began and eventually the Swedish Empire was formed. This became one of the great powers of Europe until the early 18th century. Swedish territories outside the Scandinavian Peninsula were gradually lost during the 18th and 19th centuries, ending with the annexation of present-day Finland by Russia in 1809. The last war in which Sweden was directly involved was in 1814 when Norway was militarily forced into a personal union, which peacefully dissolved in 1905. Since then, Sweden has been at peace, maintaining an official policy of neutrality in foreign affairs. In 2014, Sweden celebrated 200 years of peace, breaking even Switzerland's record for peace. Sweden was formally neutral through both world wars and the Cold War, albeit Sweden has since 2009 openly moved towards cooperation with NATO.
Sweden is a constitutional monarchy and a parliamentary democracy, with legislative power vested in the 349-member unicameral Riksdag. It is a unitary state, currently divided into 21 counties and 290 municipalities. Sweden maintains a Nordic social welfare system that provides universal health care and tertiary education for its citizens. It has the world's eleventh-highest per capita income and ranks very highly in quality of life, health, education, protection of civil liberties, economic competitiveness, income equality, gender equality, prosperity and human development. Sweden joined the European Union on 1 January 1995, but has rejected NATO membership, as well as Eurozone membership following a referendum. It is also a member of the United Nations, the Nordic Council, the Council of Europe, the World Trade Organization and the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD).

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Mfalme wa Sweden amuaga Balozi Matinyi

    MFALME WA SWEDEN AMUAGA BALOZI MATINYI Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden, amemuaga aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Jumba la Kifalme jijini Stockholm, leo tarehe 19 Machi, 2026. Katika mazungumzo yao mafupi, viongozi hao...
  2. Mshana Jr

    Wakati Trump wa TFF "akiahidiwa" utekaji basi.. Kaka yake Polepole anusurika kutekwa Sweden

    Baada ya siku kadhaa za kimya cha TFF, Juzi kiongozi wa kundi hilo Bwana Trump aliibuka na ujumbe wenye mashaka mengi.. Nitaweka video hapo chini Mashaka hayo yaliyojaa maswali mengi tatanishi kama si kinzani yapo mpaka kwenye taswira yake na body language yake Kwenye video hiyo anadai...
  3. H

    Balozi Matinyi afuturu na Diaspora wa Sweden na kuwaaga

    BALOZI MATINYI AFUTURU NA DIASPORA WA SWEDEN NA KUWAAGA Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akitoa nasaha zake na kuwaaga Watanzania waishio nchini Sweden wakati wa Iftar iliyoandaliwa na Ubalozi jijini Stockholm, Jumamosi, tarehe 7 Machi, 2026.
  4. Driz de Mafwele

    Sweden waislamu ni laki mbili tu lakini wamejaa magerezani

    Idadi ya wananchi Sweden ni million 11. Waislamu ni 220,000 tu lakini ndio wengi jela na magerezani kwa makosa ya kuua, kubaka, wizi, madawa na vurugu. Labda mfungo wa ramadhani utasaidia. adios amigo Jagina adriz Adiosamigo
  5. H

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi akiwasilisha mada kuhusu fursa na vivutio vya uwekezaji nchini alipokutana na wafanyabiashara

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi akiwasilisha mada kuhusu fursa na vivutio vya uwekezaji nchini alipokutana na wafanyabiashara na wawekezaji wa Sweden kwenye ofisi za ubalozi jijini Stockholm, mnamo tarehe 6 Februari, 2026 (Picha kwa hisani ya Ubalozi).
  6. H

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (kushoto), akizungumza na Makamu wa Rais wa kampuni ya Dynamis Investment Partners, Bw. Bo Löfg

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (kushoto), akizungumza na Makamu wa Rais wa kampuni ya Dynamis Investment Partners, Bw. Bo Löfgren, mara baada ya kikao na wafanyabiashara na wawekezaji wa Sweden kwenye ofisi za ubalozi jijini Stockholm, mnamo tarehe 6 Februari, 2026 (Picha...
  7. H

    Balozi Matinyi akutana na wawekezaji wa Sweden, aelezea fursa za uwekezaji

    BALOZI MATINYI AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA SWEDEN, AELEZEA FURSA ZA UWEKEZAJI Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa ubalozi na taasisi za Serikali ya Tanzania katika kikao cha kimkakati na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Chama cha...
  8. Roving Journalist

    Balozi Matinyi akutana na wawekezaji wa Sweden, aelezea fursa za uwekezaji

    Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa ubalozi na taasisi za Serikali ya Tanzania katika kikao cha kimkakati na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara wa Sweden na Afrika, kilichofanyika tarehe 6 Februari, 2026...
  9. The Mongolian Savage

    Sweden na Finland sasa hivi kuna njaa kali, msijisumbue kutamani kuja

    Maisha sasa hivi Sweden na Finland kwa wahamiaji (Foreigners) ni magumu sana kupita maelezo. Kuna njaa kali sana na hii serikali zao zinafanya maksudi kwa kubana na kukaza ili tu kuzuia wahamiaji. Kazi za kubeba box zimekuwa ngumu hata za kufagia tu zimekuwa za kugombania na siyo full time...
  10. H

    Naibu wa Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi (wa pili kushoto) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (wa pili kulia) p

    Naibu wa Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi (wa pili kushoto) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga na Elimu ya Afya wa Wizara ya Afya ya SMZ, Dkt. Salim Slim (kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya...
  11. H

    Ufadhili wa Masomo ya Shahada ya Uzamili kwa Mwaka 2026/2027 Nchini Sweden

    Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden unapenda kuutaarifu umma kuhusu fursa za ufadhili kamili wa masomo ya Shahada ya Uzamili unaotolewa na Taasisi ya Sweden (Swedish Institute – SI). Ufadhili huu unatolewa katika zaidi ya programu 400 za masomo katika nyanja za utawala...
  12. MakinikiA

    Mtanzania jiulize kwanini Sweden yenye watu wachache kuliko Tanzania lakini Serikali ya Tanzania inaomba misaada ya walipa kodi wa Sweden

    Sweden 10,656,633 Idadi ya watu Sweden GDP 619.27 USD Billion Tanzania70,545,865 Idadi ya watu Tanzania GDP 83.51 USD Billion
  13. Inside10

    Sweden kusitisha Ushirikiano wa Kimaendeleo na Tanzania ifikapo Agosti 31, 2026

    Serikali ya Sweden imetangaza kusitisha ushirikiano wake na Tanzania. Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Sweden nchini inasema Sweden itasitisha ushirikiano wa maendeleo na Tanzania kufikia tarehe 31 Agosti 2026. Kwa sasa ushirikiano utaendelea hadi wakati huo. Sweden imesema uamuzi huu...
  14. A

    Balozi za nchi za Nordic (Denmark, Sweden, Norway na Finland) zatuma ujumbe kuhusu mauaji katika uchaguzi

    Balozi za nchi za Nordic zimetuma jumbe tofauti kwenye kurasa zao za Instagram kuhusu mauaji yaliyofanyika katika uchaguzi wa tarehe 29. Ubalozi wa Finland unatoa rambirambi zake za dhati kwa wote waliopoteza wapendwa wao na kwa wale walioathiriwa na matukio ya hivi karibuni baada ya uchaguzi...
  15. Abraham Lincolnn

    GE2025 Wakati wa kuomba kura hatusikii ziara za Norway Sweden USA Je, hazina umuhimu kwa nchi wakati huu?

    Kama zile ziara za kutwa mara mbili kwa wiki kama dozi zilikuwa na umuhimu, Kwanini zisimame wakati huu? Ina maana si muhimu kwa sasa?
  16. McLaren

    Video: Waziri wa Afya wa Sweden aanguka live akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari

    Hii kitu nimewaza kama ingekuwa bongo nadhani leo kuna baa zingeuza sana pombe maana watu wangefanya sherehe Sasa hapa nimeshindwa kuelewa shida ni nini? Au alikuwa ana changamoto gani ya afya Kuna mbaba mmoja badala ya kumsaidia mgonjwa kawahi kamera yake kupiga picha
  17. Ojuolegbha

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mobhare Matinyi afanya mazungumzo na waziri wa mambo ya nje wa sweden jijini stockholm

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Balozi Mobhare Matinyi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sweden, Mhe. Maria Malmer Stenergard, katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje jijini Stockholm, leo tarehe 22 Agosti, 2025. Katika mazungumzo hayo, Mhe. Balozi Matinyi...
  18. Ojuolegbha

    Joint Webinar with the Tanzania Embassy in Sweden

    Joint Webinar with the Tanzania Embassy in Sweden Diaspora Banking Offerings by NMB Bank Plc Date & Time: Saturday, 23rd August 2025 From 16:00hrs - 18:00hrs (Sweden Time) Join the meeting via meet.google.com/ksh-vkow-kxa
  19. Ojuolegbha

    Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza la Serengeti nchini Ubelgiji

    KILIMANJARO YA SWEDEN YATWAA UBINGWA WA BONANZA LA SERENGETI NCHINI UBELGIJI Na Mwandishi Wetu, Antwerp, Ubelgiji. Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika tarehe...
  20. E

    Naomba Ushauri kuhusu kwenda Sweden

    Waungwana kwema? Naomba mtazamo na ushauri kuhusu suala la Mtanzania kwenda Sweden kucheki maisha mengine, kazi n.k Pia njia sahihi
Back
Top Bottom