stand

Stand-up comedy is a comedy performance and narrative craft whereby a comedian communicates to a live audience, speaking directly to them through a microphone. The performer is commonly known as a comic, stand-up comic, comedian, comedienne, stand-up comedian, or simply a stand-up. Stand-up comedy is a dialogic monologue, or a grouping of humorous stories, jokes, and one-liners, typically called a shtick, routine, act, or set. Stand-ups may fuse props, music, magic tricks, or ventriloquism. Stand-up comedians perform quasi-autobiographical and fictionalized extensions of their offstage selves.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Hatimae choo cha Mbezi Stand kimeanza kujengwa

    THX MANISPAA KWA KWELI ILIKUWA MWENDO WA UTI NA MENGINEYO VYOO VIMEANZA KUJENGWA NA UJENZI UNAENDA KWA KASI NAONA ZILE 300 ZETU BILA RESIT ZIMEANZA KUFANYA KAZII GODBLESS YOU ALL GODBLESS YOUNG AFRICANS SC TUKUTANE JION PALE CHINI
  2. Bongo Tech Giant

    22 Inch LED Ring Light Full Set Yenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu TSH 70,000

    Habari, Tunazo 22 Inch LED Ring Light Full Set Zenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu kwa TSH 70,000 ✅Zina Mwanga mkali na soft light 💡 inayohifadhi macho! – zinafaa kwa salon, studio, na content creation, na matumizi ya nyumbani! 📞 Whatsapp: 0687746471 Stoo ni chache...
  3. S

    Eneo la mkutano wa kampeni za CCM hapa Dodoma siku ya jana, liligeuka kuwa stand ya Daladala kutokana na wingi wa mabasi ya kusomba watu

    Huo ndio ukweli na yeyeote aliekuwepo atakuwa ushahidi wa hiki nachokisema. Daladala zinazofanya safari zake hapa mjini, tangu asubuhi ya jana zilionekana zikiwa zinasafirisha watu waliovaa sare za CCM na jioni baada ya mkutano kwisha, eneo la mkutano liligeuka stand ya Daladala na ya mabasi...
  4. M

    Kampuni ya mix by Yass heshimuni wateja haya madisco hapo makumbusho stand siyo haki kwa raia

    Hpo makumbusho stand kuna maspika Makubwa, muziki unapigwa kuanzia asubuhi mpaka Jioni, Muziki wenyewe unatangaza kampuni ya mix by Yass. Yaani wafanyabiashara wengine walioko hapo wanateseka, makelele mtindi mmoja hakuna kusikilizana. Hii siyo sawa. Pia tunauliza mamlaka za kudhibiti kelele...
  5. B

    Phone camera stand kit inauzwa!

    Habari za mda huu ndugu zangu ✅ Imara na rahisi kubeba ✅ Inafaa kwa simu ✅ Bora kwa content creators, wapiga picha na video 🎥 💰 Bei: 15,000/= tu! Nunua sasa ujiongezee ubora wa picha na video zako! 0781 493401 nicheki sasa
  6. Determinantor

    Hongera Mwana JF, hatimae Vyoo vya Stand ya Mkoa Hapa Sumbawanga vimerekebishwa.

    Moderator utanisaidia kuweka link ya ule uzi na jina la mleta uzi. Kwenye uzi ule MwanaJF alionyesha hali mbali mbaya ya choo cha stand ya Mkoa pale Katumba, Sumbawanga. Na mimi pia nilichangia. Uzi huu ni appreciation kwa Jamii africa, mleta uzi na watekelezaji. Hongera JF, Hongera Mwana JF...
  7. P

    PreGE2025 Tanzania Stand Up: Walio salama ni CCM pekee?

    Tanzania stand up, stand up Stand up for your rights Stand up for your power Stand up for your development Wasiojulikana watateka nchi nzima? Walio salama ni wana CCM tu? Wanajua kujaza form za ugombea ni CCM tu? Nani asiyeona umuhimu wa tume huru ya uchaguzi? Nani asiyeona umuhimu wa katiba...
  8. K

    Jamani naombeni msaada wenu, mke wangu katapelewi Magufuli stand

    Jamani naombeni msaada wenu, mke wangu alikuwa anaenda Songea kufika Mbezi wakamtapeli wakamkatia tiketi ya basi la kwenda Kyela lenye jina la Kyela Express. Alipoomba msaada hakuna aliyemsikiliza mpaka gari za Songea zikaondoka, jibu walilompa ni kwamba watampeleka Songea. Namba ya Hilo gari...
  9. Lyamba lya mfipa

    House4Sale Nyumba ya kisasa inauzwa Vikindu karibu na stand/ 0673294681

    Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi. Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681. Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi. Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
  10. Dr Adam Francis

    Innocent until proven guilty OR guilty until proven innocent; Where does Tanzania stand?

    Umeshawahi kujiuliza, hivi ukikamatwa na polisi, ukafunguliwa kesi, ukakaa mahabusu mwaka mzima kupisha uchunguzi ukamilike, baadaye ukaachiwa kwakuonekana hukuwa na hatia, nani anayekufidia hasara ya muda, maumivu na haiba yako inayotokana na kadhia hii? Jambo hili ndio msingi wa masharti ya...
  11. Amani Girls Organization

    Boda Boda Hero: Pius Takes a Stand for Girls' Rights

    Pius, a boda boda rider from Bwiru B – Mwanza, has shown tremendous change in protecting his community against acts of gender-based violence and exploitation. One day, while going about his business and carrying a passenger, he came across an older woman beating an adolescent girl by the...
  12. S

    Stand up comedy watanzania wanahitaji kuelimishwa watofautishe Sanaa ya uchekeshaji na uropokaji

    Hawa ni vijana wenzangu wanajitafta! Inchi imepanua sana wigo wa ajira kupitia sanaa! Serikali inatumia kila mbinu kuwainua vijana hata kwa motisha! Stand up comedy kuna vijana wachache sana tanzania wenye ubunifu wa kisanii! Wengi wao wanaropoka tu pasipo kuchuja maneno! Sijui ni bangi...
  13. Hharyson

    APPARTMENTS DESIGN STAND ALONE EACH UNIT WITH 3BEDROOMS (CHINI 1 JUU 2) PLOT SIZE 20X25M CALL US FOR DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES +255624004650

    APPARTMENTS DESIGN STAND ALONE EACH UNIT WITH 3BEDROOMS (CHINI 1 JUU 2) PLOT SIZE 20X25M CALL US FOR DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES +255624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  14. Determinantor

    Stand za Mabasi Kahama Mjini ni AIBU ya Taifa kwa niaba ya CCM

    Nina week nzima hapa Kahama, nimezunguka maeneo kadhaaa, ni AIBU kwa eneo kama hili lenye mapato makubwa kushindwa kabisa kujenga stand hata moja yenye hadhi. Inayoitwa stand kuu ni kama zizi la kitimoto, Yaani Mvua kidogo pamejaa tope, Wana Choo ni kichafu na Huduma suni, Yaani unakutana na...
  15. Mwanongwa

    Mbeya: Baada ya mgomo wa daladala kutolipa ushuru, hatimaye Stendi ya Nanenane yaanza kurekebishwa

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu na baadae kusababisha madereva kugoma kulipa ushuru , hatimaye halmashauri ya Jiji la Mbeya imeanza kurekebisha barabara za stand hiyo. Ni muda mrefu Sasa stand hiyo na Nanenane imekuwa na miundombinu mibovu ya Barabara. Halmashauri ya jiji jitahidi kufanya...
  16. Mshana Jr

    Ubunifu: stand za viatu

  17. B

    Serikali yakubaliana na mkandarasi arudi saiti kukamilisha stendi ya Ngangamfumuni

    HONGERA MBUNGE MSOMI PRISCUS TARIMO BINGWAA Baada ya mkwamo wa miaka mingi, hatimaye sasa serikali imefikia makubaliano na kampuni ya ujenzi ya CRJE @crje_zanzibar kurejea site na kukamilisha stand yetu ya kimataifa ya Ngangamfumuni.. Hii ni furaha sana kuona stand hii ikimapiziwa na Serikali...
  18. Sun Zu

    Eneo linauzwa, jirani na stand ya SGR DODOMA

    Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA. Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali. 15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo. 0719928661
  19. M

    Stand ya Gharama ya Nyamhongolo, Mwanza hata usafi wa kuondoa Buibui mmeshindwa???

    Kodi mnakusanya lakini hata usafi wa kuondoa buibui mmeshindwa??
  20. ADESIGN

    Tv stand set used inauzwa

    Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested : 0684101707 Niko tabata kinyerezi.
Back
Top Bottom