Former Cabinet Secretary for Sports, Hon. Ababu Namwamba has expressed grave concerns about the purported cost inflation in the Talanta Stadium project, which was originally estimated to be worth KSh 44.5 billion.
According to reports, the project's costs have surpassed the initial projection...
Let’s be honest.
If AFCON 2027 was not coming to the region, would Makerere University’s training grounds be getting this level of attention right now? Perhaps it would never.
The "Tear gas arena" has officially been handed over to the UPDF Engineers Brigade to begin construction of AFCON...
A public clash between Uganda' s Football president (FUFA) Engineer Moses Magogo and Sports Minister Peter Ogwang over AFCON 2027 budgeting has exposed a deeper power struggle in Uganda’s sports leadership.
Ogwang argues that FUFA acted outside the agreed government framework, insisting all...
Si shabiki wa ligi hii ya hapa nchini ila naishi na watazamaji wa hiyo ligi.
Kila ikifika mechi za timu ndogo hakuna watangazaji ila Simba ama Yanga wakiwepo hapo wapo sasa kuna maana ipi ya kurusha hizo mechi kama hamuwezi kuweka watangazaji.
Au ndio soka letu kivyetu vyetu maana hata...
Azam Sports Wamefuata Picha za Mwakinyo alizovaa nguo yenye picha ya Tundu Lissu.
Mara ya kwanza walipost hii, kabla ya kufuta picha zote zinazomuonesha Tundu Lissu
Katika Mchezo wa ngumi uliokiwa Ukirushwa Azam TV, Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo, alivaa t-shirt yenye picha ya Mwenyekiti...
Kama mtu wa kufanya research ndogondogo hii hali inatisha kwakwel sio kawaida ya watanzania kabsa toka nizaliwe watanzania wao ni mpira na ngono tu lakini hali kwasasa ni tofaut Kwenye mitandao yote sio jamii forum tu
Kote hali tete, mada za kiwaki zote hazna wachangiaji kabsa
Kweli watu...
Dar es Salaam, Tanzania
CAF Confederation Cup 2025-2026
Singida Big Stars 2 - 1 Rayon Sports
Goal scorer for Singida B. Stars
Anthony Tra Bi Tra 58'
Idriss Diomande 44'
Goal Scorer for Rayon Sports :
Tambwe
Dear FIFA Ethics Committee,
I am writing to report a potential breach of the FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club, the current premium football champion in Tanzania. On Monday, 11 August, at Mlimani City Hall in Dar es Salaam City , the club's president contributed 39,000 to the...
Klabu ya Yanga Sc leo imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Haier wenye thamani ya shilingi bilioni tatu, haier watakaa kwenye bega la kushoto jezi ya Yanga kwa misimu mitatu.
Je, unadhani thamani ya mikataba inayoingiwa na timu zetu za Tanzania inaendana na hazi na ukubwa walionao?
Kituo cha Michezo cha TFF Mnyanjani, Tanga: Kituo Kikuu cha Kukuza Vipaji vya Vijana
Serikali kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewekeza kiasi cha shilingi 4,513,000,000.00 katika ujenzi wa kituo cha kisasa cha michezo kinachojengwa eneo la Mnyanjani, Jiji la...
Ukizungumzia “Sports anchor” yaani muongoza kipindi cha michezo hakuna kama Alex Luambano wa Clouds FM.
Jamaa kwanza ni mkongwe sana kwenye Tasnia, ana utulivu mzuri, sio mropokaji.
Vilevile jamaa anajua kuanzisha mijadala motomoto ambayo huwapa nafasi wachambuzi aliokuwa nao kufunguka vizuri...
Ripoti zinaeleza kuwa klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Coton Sport, John Bosco Nchindo (23).
Mazungumzo baina ya Simba na kambi ya mchezaji yamekamilika kilichobaki ni Simba kumalizana na klabu yake (Coton Sport).
Nyota huyo raia was Cameroon alishinda tuzo ya...
Key facts
- The Buss family has agreed to sell majority ownership of the Lakers to Walter maintaining a 15% minority share for an unknown period of time according to ESPN.
- Jeanie Buss, daughter of the late Jerry Buss who has been the Lakers' governor and controlling owner since 2017, will...
Kama mpenzi wa mpira wa Miguu na mpenzi na shabiki na mwanachama kindakindaki wa timu yangu pendwa ya Simba Sports Club nimeamua bila kushurutishwa na mtu yoyote kua Scout wa kutoa ushauri ama mapendekezo ya usajili wa wachezaji mbalimbali ambao wataisaidia timu yangu ya Simba.
Ninamiini...
Nchi inayoongaza kuwa na maafisa ubashiri wengi afrika ni
1. South afrika - 83% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
2. Kenya - 79% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
3. Tanzania - 74% ya maafisa ubashiri wanapeleka moto.
4. Nigeria - 73% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
5. Uganda -...
Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo.
Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda.
Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.