Mchezaji Emmanuel Dennis (23) wa club ya club brugge (Belgium) raia wa Nigeria hapo jana alijikuta akiondolewa kikosini baada ya kupigana na mchezaji mwezie akigombea siti ya dirishani. Hali hiyo ilitokea wakati team hiyo ikisafiri kwa basi la team hiyo kwenda kukipiga huko Signal iduna park...
Kwanini Men ukiwa unasafiri mkoa mmoja kwenda mwengine na imetokea umekaa siti moja na Pisi/Manzi asilimia kubwa lazima utamtongoza either safarini au baada ya safari.
Mimi kuna Pisi moja nyembamba nilikuwa naionaga Cafteria chuoni kwa mbali kama navyowaona wengine tu alikuwa mwaka wa kwanza...
Je, ni kwanini Makondakta wa DalaDala nguvu zao nyingi za Kudai Nauli kwa Abiria wao huziweka sana kwa Abiria tu wa mbele na nyuma lakini mara nyingi mno wale Abiria wanaopenda Kukaa Siti za katikati hujikuta wakiwa wamesahaulika Kudaiwa Nauli? Na imegundulika pia kuwa Wakwepaji wengi wa Kulipa...
Rais Magufuli akijibu swali la Sojo, MNEC kutoka Songwe aliyesema kwamba ametumwa na wanasongwe kuwasemea kuwa wanasononeka pale ambapo wapinzani wanapohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kuwaacha wanachama ambao walikipigania chama kufa na kupona 2010-2015, wanavunjika moyo wanapoona...
Katika mikakati ya kupambana na ugonjwa wa Corona (Covid-19) serikali kupitia Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani linasimamia kuhakikisha kila gari ya abiria inabeba abiria kulingana na idadi ya siti zilizopo.
Mfano leo huku Wilaya ya Kigamboni ikitokea daladala imejaza zaidi ya...
Habari wana jamvi,
SUMATRA ni chombo kinachohusika kusimamia viwango katika huduma ya usafiri wa nchi kavu na majini. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa kila nikipanda daladala au mabasi ya mikoani mara unakuta nafasi kati ya siti moja hadi nyingine (mbele na nyuma) inakuwa imebanwa sana kiasi kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.