simu

  1. JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuuza Followers na Kutengeneza TZS 2,000,000+ Kwa Mwezi Kwa Kutumia Simu Yako Tu

    Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu iliyoifanya biashara ya kuuza social media followers kuwa fursa halali, rahisi, na yenye faida kubwa —...
  2. JamiiForums Tanzania Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute

    Mimi nimekulia kwenye simu zile za kukoroga kama unapiga hendeli Hizi simu za smart sizijui sana. Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute Nikiangalia unakuta junk zinakuwa na ukubwa wa 900MB hata na zaidi kufikia GB naomba msaada ni wapi nimekosea Ni mpya aina ya Galaxy M23
  3. JamiiForums Tanzania Nauza simu OnePlus 9RT

    OnePlus 9RT 256 STORAGE 8 RAM 350,000/= 0769681330 Dar Es Salaam
  4. JamiiForums Tanzania Spika Tulia awaka Wabunge kuongea na Wajumbe kwa Simu Bungeni, atishia Kamera kuwamlika

    Spika Dkt. Tulia alivyowataka Wabunge kupunguza sauti na kuepuka kuongea na Simu na Wajumbe Bungeni; "Mnaanza kidogo kidogo, halafu zinapanda" "Waheshimiwa Wabunge mnajadiliana mambo ya msingi sana lakini punguzeni sauti, wale mnaoongea na simu mnaanza kuongea kidogo kidogo lakini baadaye...
  5. JamiiForums Tanzania Muhimu: Aina 5 Za Simu Zinazopendwa na Vijana hasa Wanachuo Tanzania

    #mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina 5 ambazo vijana wengi wa Tanzania hupenda zaidi kutumia hasa kwa wanachuo wengi kwa sababu tofauti ...
  6. W

    JamiiForums Tanzania USB cable zipi za kuchajia simu ni nzuri kwenye maduka ya mtaani ?

    nahitaji kwenda kununua usb type c cable ya kuchaji simu, naombeni ushauri wenu
  7. A

    JamiiForums Tanzania Simu ya zamani Samsung galaxy grand prime + Inasumbua

    Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore. Baada ya kuipeleka kwa fundi aliniuliza kama naweza kukumbuka email na password za google akaunti yangu...
  8. JamiiForums Tanzania Hivi kuna ukweli kuwa simu ya mama ni ya familia ila simu ya baba inabaki kuwa ni ya baba tu

    Wakuu haya si maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa mtu wangu mmoja ninayemwamini sana kwa kunipa uzoefu na nasaa juu ya mambo mbalimbali ya kimaisha.
  9. JamiiForums Tanzania Fundi simu hapa uliza chochote

    Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo Ulizq chochote notakujibu kwenye comment Whatsapp 0757937196
  10. JamiiForums Tanzania Nauza simu yangu

    Infinix hot 30 play 6000 battery Used 150,000 Nipo Dar
  11. C

    JamiiForums Tanzania Tume 'huru' ya Uchaguzi pokeeni simu, niwape makavu!

    Mara kadhaa nimejaribu kuwapigia kwa simu mlizoandika kwenye website yenu. Ila hapokei simu, why? Pokeeni mle za uso
  12. JamiiForums Tanzania Tanzania kuzalisha battery ambazo zitajaa kwa mda wa dakika 5 lengo ni kuokoa muda unaotumika kuchaji

    Nikiwa Rais wa Tanzania moja ya mambo tutakayofanya kama nchi ni kuzalisha battery zitakazotumia dakika 5 kujaa na hii itakuwa sio tu battery za simu, bali itajumuisha battery za ndege, helicopter na rockets Fahamu battery ya ndege inatakiwa baada ya km 2000 ndo liishe na lijazwe kwa dakika 5...
  13. U

    JamiiForums Tanzania IRGC inasema Israel inatumia teknolojia ya kufuatilia simu za mkononi kutekeleza mauaji ndani ya Iran, ikiwa ni pamoja na wanasayansi wa nyuklia

    Wadau hamjamboni nyote. Shirika la Habari la Fars linaloshirikiana na IRGC liliripoti Jumatatu. "Israel inatumia ufuatiliaji wa simu kuwaua watu nchini Iran. Hapo awali ilimuua Ismail Haniyeh kwa njia hiyo hiyo huko Tehran," chombo hicho kilisema. Fars aliongeza kuwa hata kuzima simu za rununu...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Si ruhusa kuchoma moto simu yako, tv yako au vifaa vya kielektroniki hata kama vipo ndani mwako umevichoka au kuharibika

    Katika shughuli yangu ya ufundi umeme napenda kushiriki nanyi mambo machache kuhusu vifaa vya kieletroniki Hurusiwi kabisa kuchoma moto vifaa kama simu, tv, ving'amuzi, luku mbovu (meter & Sub meter) au kifaa chochote cha kietroniki kama takataka hata kama kitakuwa kimebenjuka na kubaki vipande...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Simu bora

    Mnaojua simu kampuni ya Sonny zina weakness gani? Nahofia kuingia mkenge maana pesa zenyewe za kutafuta kwa tochi
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio hekima Kwa mzazi kupiga simu mara Kwa mara Kwa mwanae aliyeoa au kuolewa

    Kuna wazazi viherehere, hasa wamama kupigia mabinti simu za mara Kwa mara, tena kuongelea hadi faragha za wanaenda hao Binti akifikia umri wa kuolewa na kuamua kuolewa, heshimu uamuzi wake huo, kupiga simu asubuhi na jioni kiherehere Kijana amelala na Binti yake aliyemuoa alfajiri anapata...
  17. JamiiForums Tanzania Khayatollah ampigia simu Trump kumtaka awatulize vichaa Israel

    Katika hali ambayo inashangaza sana na kukasirisha. Ni kitendo cha Khayatollah kumpigia simu Trump kuwa awaambie watu wake Mayahudi kuwa sasa wamerudishiana angalau yaishe. Trump anasema atajaribu kuongea na Netanyau ola shida Netanyau ni mjeuri sana. Khayatollah anasema wameingia sana hasara...
  18. JamiiForums Tanzania Nadhani kiongozi wa serikali aliyepiga simu kuzuia geti ni Mwana FA

    Kwa dhati kabisa naomba Rais Samia muondoe huyu naibu waziri kwenye hii nafasi anaitumia vibaya mno Kwa maslahi, mapenzi na ushabiki wake. Hii wizara wamepita mawaziri wengi ila ila huyu naibu waziri amekuwa kiongozi wa kutengeneza migogoro pale TFF Huyu naibu waziri ametoa matamko ya kutia...
  19. JamiiForums Tanzania Simu zitakua zinatengenezwa hapa Tanzania, kwenye huu uzi ntaelezea namna ya ku-manufacture hio simu ya kipekee

    Simu hizo zitakuwa na sifa zifuatazo Zitakuwa zinatumia natural satellite kufacilitate mawasiliano Kwa mtu aliyeko duniani atakuwa na uwezo wa kuwasiliana na mtu ambaye yupo sayari ya mars au Pluto instantly Battery yake itakuwa na uwezo wa kujaa kwa mda wa dakika 5 na zisizozidi dakika 10 Kwa...
  20. JamiiForums Tanzania Huduma za matengenezo ya simu kutoka davao service center

    🔧 HUDUMA ZETU ZINAHUSISHA: ✅ Matengenezo ya simu aina zote (Android & iPhone) ✅ Kurekebisha simu zilizoharibika au kuzimika ghafla ✅ Kuflash simu ili kurekebisha matatizo ya mfumo (software) ✅ Kuondoa iCloud kwenye iPhone kwa usalama ✅ Kurekebisha na kubadilisha skrini zilizopasuka ✅...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…