Simba sc msimwage damu kuelekea hii mechi, toeni sadaka safi, hakika Mungu atakisia kilio chenu, washirikisheni viongizi wa dini kama mlivyifanya robo fainal.
Nyota ya mchezo ipo upande wenu, msije mkafanya makosa, nasisitiza msimwage damu.
Turudi kwenye mada, wakuu siyo mara ya kwanza rs...