Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.
Simba wameongezewa muda na CAF. Sisi Yanga hatupendwi kila sehemu. Huu ni uonevu. Hata sisi tupo Shirikisho na tumeingia robo fainali tunastahili kuongezewa muda. Waache uhuni hawa CAF.
Nimemwangalia huyu dogo kwenye youtube, huyu anajua boli kuliko Mashaka Valentino, anajua boli kumshinda Mukwala, anajua boli kumshinda Prince Dube, hata yule Seleman Mwalimu wa Fountain Gate hamfikii, dogo ana kasi, ana chenga za maudhi, ana control, nimeona clip zake, kama kweli ni mtanzania...
Match Day
Leo, Mnyama Simba SC atakuwa dimba la KMC Complex akicheza na Kilimanjaro Wonders, mechi raundi ya tatu CRDB Bank Federation Cup.
Mnyama amesema mechi hii ni ya kuwapongeza wachezaji wao kwa kutinga robo fainali ya CAF CC.
Hiki hapa kikosi cha Simba SC
Kikosi cha Kilimanjaro...
Leo tunaambiana ukweli.
Mlipoanza kutamba kuwa mnaenda kuipiku Simba kwenye rank za CAF mlituingiza kwenye kiwewe si mchezo. Hata kama mngeipiku tu kwa muda mfupi bado kelele zenu tunazijua.
Mnacheza nyumbani, mnashindwaje kupata goli 1 tu la kuwavusha? Embu acheni utani. Unashindwaje kupata...
Leo Yanga tumemfunga Capco goli 5
Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga
Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5
Mechi ijayo tutawafunga 10
Baada ya wachezaji wanne wa Klabu ya Singida Black Stars kupatiwa uraia wa Tanzania, Klabu ya Simba nayo imetuma maombi rasmi ya kuomba uraia wa wachezaji wake 9 wa kigeni ili wapatiwe uraia wa Tanzania.
Klabu ya Simba imedai wachezaji hao wana manufaa kwa nchi hii kwani bado ni vijana...
Wapinzani wa Simba wamekua wakiumia sana Kwa mafanikio yenu katika michuano ya Kimataifa.
Wameumia sana kutolewa hatua ya makundi.
Wameumia sana Kwa Simba kufuzu kuingia robo fainali.
Wapo kati Yao wanaomini kua Simba ndio waliohujumu ili wao wasifuzu.
Wanaona wivu kua huenda Simba ikaingia...
Umetoka Uwanjani na kama kawaida Waandishi wa Habari wanakufuata Kukuhoji unawatisha kwa Kuwaangalia kwa Macho makali huku Unazuga unakunywa Maji wakati hata Kiu chenyewe ulikuwa huna. Na kuonyesha Jeuri hukutaka Kuzungumza na ukaingia haraka Garini na Kundoka. Sijawahi kumuona Kiongozi yoyote...
Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu (IFFHS) limetoa takwimu ya vilabu bora 24 Barani Afrika kuanzia Tarehe 1 Januari mpaka 31 disemba mwaka 2024.
Katika Takwimu hizo Klabu ya Yanga ipo nafasi ya 9 ikiwa juu ya Kalbu ya Simba ambao wapo nafasi ya 15.
Orodha hiyo Klabu kutoka...
Nitafurahi sana kwani kwa Kipindi hiki huo Wimbo unavutia sana Kuuimba hasa ukizingatia anayeona Wivu baada ya Wiki Moja na Nusu ijayo atakuwa Mkoani NBC Premier League halafu yule Mkali wa International Games and Competitions akiwa zake ama Afrika Kusini au Ivory Coast akiwa busy Kuwatafutia...
Kuna muda GENTAMYCINE japo najulikana na sifichi kuwa Mimi ni mwana Simba SC kwa 100% huwa naweka pembeni Utani wangu kwa Yanga FC na kuwa Mkweli na Mwanamichezo ila wana Yanga FC Walioanza Kufuatilia Mpira kipindi cha Kocha Jose Mourinho alipokuwa na Chelsea yenye Mafanikio huwa ama hawanielewi...
Chama bado Ana uwezo na kipaji kikubwa tu, Simba ilimleta nchini akiwa mchezaji wa kawaida sana, ufundi wake uwanjani ukaipa sana heshima timu yetu, Chama alikaa mioyoni mwetu sana wana Simba, uwezo wake ulitufanya tumnunue tena toka Berkane na kumrudisha nchini.
Heshima aliyojitengenezea akiwa...
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi
Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya...
Wenzetu wamepigana pini wao kwa wao, uwanja wameshauchafua kwa mipango yao ya nje, naomba mtupe kazi kesho asubuhi tubebe mafagio na dawa zetu tunazozijua wenyewe tukausafisha uwanja ule ili aibu iliyowakuta wenzetu kesho isitukute.
Tafadhalini sana viongozi, mechi tulizocheza uwanja wa Taifa...
Katika hali ya kushangaza sana nimeona hata baadhi ya wachambuzi wa mpira wanaongea kwa uchungu sana baada ya kuona mashabiki wa Simba wameamua kuchangia timu yao baada ya kuadhibiwa na CAF.
Mmoja wao anayejiita chuma cha mjerumani anasema eti mashabiki kuchangia wanadhihirisha wao ni...
I salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Wakuu Baada ya kuona makolo wanalia Lia kuwa Kuna muamko mdogo wa michango kutoka mkwa makolo wavunja viti .....
Kulingana na kupenda soka nimeona nichangie kiasi kidogo Cha laki Saba 700,000 Kwa makolo Ili kuwapa comfort
NB: Je umechangia makolo Tsh? Share muamala wako tuone
Cc : Kalpana
Kuna Timu moja nina uhakika wangekumbana na hili Rungu la CAF kama Wangesema wachangishane ili wakalipe Faini huko CAF kwa Mashabiki wao walivyo Masikini na Wabahili (Malugume) nina uhakika hadi hivi sasa wangekuwa na ama Shilingi Mia Tano (Jero) ya Sarafu au Elfu Moja (Buku) ya Karatasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.