Duh, juzi ilikua kwamba hairuhusiwi kucheka sana kwenye uislamu, kumbe hata muziki ni haram, unapaswa mnuniane tu maisha yaende.
Hawa hapa masheikh, sio maneno yangu....
https://www.tiktok.com/@thestrangersstudio/video/7398064026569231633
https://www.facebook.com/reel/640280608424626...