Watu wengi wakipata nafasi, wanaangalia zaidi namna ya kuinua familia / ndugu zao, si kwa maslahi ya taifa au jamii kwa ujumla.
Mradi mtu na familia / ndugu wake wako vizuri, basi huhisi nchi haina shida hata kama jirani anaumia, hata kama mfumo mzima unaporomoka, wao hayawahusu.
Hiki ndio...