Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa.
Mahali: Tabata Segerea, Dar es salaam.
Sifa za Nyumba:
•Iko mita chache kutoka barabara ya segerea.
•Ina master bedroom, Choo cha ndani, jiko, Sebule na sehemu ya chakula.
•Iko ndani ya uzio yenye sehemu kubwa ya kuegesha magari.
•Ina bustani ndogo...