Haya makanisa kwanza yapo kibiashara zaidi.
Nikweli makanisa yote yapi kibiashara lakini ya kilokole yapo kibiashara nje nje bila kufichwa utaambiwa live.
Hii ni mifano michache tu
•Kumuona mchungaji,Mtume au nabii Hela.
•Kuombewa hela
•Utauziwa maji,sabuni,mchanga,vitambaa, mafuta nk...