Wewe kataa kwenda Ubalozi.
Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).
Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.
Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.
Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi...