samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    GE2025 Fact: Samia ndiye Rais wa JMT!, Uwe ulimchagua, hukumchagua, hukupiga Kura, uko Tanzania au Ughaibuni, unamtambua, humtambui, SSH ndiye Rais wako!

    Wanabodi Utangulizi Kuna kitu kinaitwa facts na kuna fallacies. Kuna msemo wa kizungu usemao, "facts are stubborn things", yaani fact ni kitu ambacho kipo, kina exist in reality, you can't deny facts. huwezi kusema hukitambui, unaweza usikikubali lakini kipo, unaweza usikipende lakini kipo...
  2. figganigga

    GE2025 Dodoma: Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania awamu ya Sita

    Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Saba wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shwrehe za kuapishwa kwake zimefanyia Dodoma hii leo 03/Nov/2025
  3. figganigga

    GE2025 Samia Suluhu Hassan won the election by 98%, no rigging, wow! Women!🤣🤣

    She won the election by 98%, no rigging, wow! Women! If it was 57% we can understand, so only 2% were on the street or....? https://vm.tiktok.com/ZMAGHLk8m/
  4. figganigga

    Tabia na Matendo ya Samia Suluhu Hassan ndo Kielelezo na asili ya matendo ya Wanawake?

    Matendo ya Samia Suluhu Hassan ndo asili ya matendo ya Wanawake? Uzuri, matamshi ya maneno, ukarimu, uchapakazi macho na mdomo, ni mwanamke wa kiafrika kabisa hata huruma na matamanio. Matendo ya Samia ni kielelezo tosha. Wanawake wote waliojikomboa kiuchumi na wote walio hudhuria mkutano wa...
  5. B

    GE2025 MaRais watuma salaam za pongezi kwa Samia Suluhu Hassan Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2025

    01 November 2025 Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2025: maRais watuma salaam za pongezi kwa Samia Suluhu Hassan Orodha ya marais wanaotuma pongezi kwa Samia Hassan : "Kwa niaba ya Watu, Serikali ya yangu na Mimi mwenyewe nampongeza ndugu yangu, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ushindi mnono wa...
  6. M

    GE2025 Samia Suluhu Hassan akabidhiwa Hati ya Ushindi na INEC

    Aliyekuwa Mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan akipokea Hati ya Ushindi wa Kiti cha Urais kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Jacobs Mwambegele mara baada ya kutangazwa mshindi wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu...
  7. Richard

    GE2025 Usiku wa terehe 29/10/25 ni usiku mzito (Dark Night) kuwahi kutokea hata kama Samia Suluhu Hassan atatangazwa mshindi na kuapishwa rasmi

    Maandamano yemeendelea kusambaa katika baadhi ya miji mbalimbali ya Tanzania Da-es-Salaam ukiwa ni mji wa kwanza kushuhudia maandamano ambayo yamejumuisha uharibufu mkubwa wa mali na majengo. Miji mingine kama Arusha, Mwanza, Morogoro na Mbeya nako kumetokea matukio mbalimbali ya uvunjaji wa...
  8. PAYE

    GE2025 Samia: Waangalizi wa Uchaguzi wapongeza usalama wa Nchi

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Samia Suluhu kwenye kilele cha kampeni za CCM, Mwanza leo Oktoba 28, 2025 amesema; "Nimekutana na makundi ya waangalizi wa uchaguzi waliokuja kuangalia tunavyofanya na yanayotokea katika uchaguzi wetu. Jambo waliloliona kubwa zaidi ya yote ni kuwa nchi...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Nape: Utu wa Rais Samia ndiyo nguzo ya amani ya Taifa

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amemsifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uongozi wake uliojengwa katika misingi ya utu, usikivu na maridhiano. Akizungumza na wananchi wa Jimbo la Mtama wataka Waufungaji Wa...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Rais Samia aidhinisha Oktoba 29, 2025 kuwa siku ya mapumziko

    TAARIFA KWA UMMA Kama inavyofahamika, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza siku ya Jumatano tarehe 29 Oktoba, 2025 kuwa siku ya kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025. Aidha, kwa madhumuni ya kuwawezesha wananchi wenye sifa stahiki wakiwemo...
  11. PAYE

    GE2025 Samia: Nilikerwa kuona makundi ya watu wanasubiri usafiri usiku

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu amesema alikasirishwa kuona makundi ya watu wakisubiri usafiri usiku kwenye vituo vya daladala, ambapo ameeleza kuwa changamoto hiyo itamalizwa karibuni.
  12. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea urais CCM Samia Suluhu Hassan awatoa hofu wananchi, "tuko salama wakati wowote"

    Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania Kwa kusema kuwa vyombo vya Ulinzi na usalama vimejipanga vyema wakati wote iwe kwenye uchaguzi na hata baada ya uchaguzi Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Oct 22,2025 Kinyerezi Wilayani...
  13. Waufukweni

    GE2025 Mwigulu: Samia hapendi Sifa, anataka kazi yake ionekane, kiu yake siyo picha kuwekwa katika Noti

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza sababu ya kushindwa kuweka picha ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika fedha aina ya Noti Kwa sababu Dkt. Samia hapendi sifa yeye anataka kazi ndio ionekane na sio picha yake katika fedha...
  14. Waufukweni

    GE2025 Samia: Mahakama, Polisi na vyombo vya Sheria vinasomana, Haki za Watanzania sasa hazipotei, hazichelewi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya haki nchini Tanzania imeimarika katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya sita, akisema kuundwa kwa Tume mbalimbali za marekebisho...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mpina: Tumeomba Uchaguzi wa urais usifanyike, hadi shauri lilipo mahakamani likamilike

    Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi. Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu...
  16. Waufukweni

    GE2025 Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura. "Niwahakikishie tarehe 29...
  17. DodomaTZ

    Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya CCM

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dar es Salaam, leo Jumanne tarehe 21 , Okt 2025.
  18. Kiranga

    GE2025 Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura?

    Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura? Tuna siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025. Uchaguzi huu umegubikwa lindi la kukosa uhalali pengine kuliko uchaguzi mwingine wowote Tanzania. Hata mgombea wa CCM ameshutumiwa na mpaka kufunguliwa kesi kuwa kajipitisha bila...
  19. Its Tesha

    GE2025 Mwigulu: Serikali ya Samia imevunja rekodi ya kuajiri vijana wengi zaidi

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Mkoani Singida kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali ya Awamu ya Sita imeweka rekodi ya...
  20. L

    GE2025 Rais Samia: Tupeni kazi tukawaheshimishe

    Ndugu zangu Watanzania, Hayo ni Maneno ya upendo yaliyotamkwa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na...
Back
Top Bottom