samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msafara wa kumpokea Samia Arusha

    Leo oktoba 01, 2025 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasili katika Mkoa wa Arusha Katika Jimbo la Arusha Mjini kuanza Mikutano yake ya Kuomba Kampeni kuomba Kura kwa Wananchi. Kupitia Ujio huo Wadau mbali mbali wa...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tujitokeze kwa wingi Oktoba 29 tuwazibe midomo

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kila mwananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kukichagua CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akiahidi kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kusogeza huduma za...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Bandari ya Tanga kuwa bohari ya mafuta na gesi, hatua ambayo inatarajiwa kuzalisha ajira mpya 2,100

    Wakuu! Namuonea sana huruma Samia na hizi ahaadi zake! Naona anavyoendelea kujichimbia shimo refu sana kwa wananchi. Na sioni kama atafanikiwa kutekeleza hata kwa asilimia 20. Mimi nipo siti ya mbele nasubiri kuona :cool: ================== Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape: Hatukukurupuka kumpitisha Samia kuwa mgombea urais

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kuwa katika vikao vyake CCM haikukurupuka kumpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali walijiridhisha kuwa mgombea huyo anatosha...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi Pangani wasafisha barabara kumshukuru Samia kwa mradi kutekelezwa

    Wakuu Huko Pangani Wananchi wamesafisha barabara kumshukuru Samia kwa mradi kutekelezwa wakisema Oktoba ''Tunatiki'' na Mgombea hana deni kwao
  6. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wafugaji waahidi kumchagua Samia Oktoba 29, 2025

    Wafugaji waliojitokeza kusikiliza mkutano wa Kampeni za mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan wamesema watamchagua kwa kuwa amelisaidia kundi hilo kwa kuwapatia ruzuku bure ya dawa na utekelezaji wa mpango wa kujenga majosho katika vijiji vyote vilivyo na wafugaji.
  7. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutajenga uwanja mkubwa wa michezo Msoga kumuenzi Kikwete

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali yake itajenga uwanja mkubwa wa michezo katika eneo la Msoga, Chalinze, mkoani Pwani iwapo atapata ridhaa ya wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Hakutakuwa na tishio lolote la kiusalama siku ya Uchaguzi

    Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi. ================= "Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29 mwezi wa 10, Mwenyezimungu tumuombe atuamshe salama, ukitoka kuelekea kituo cha kura, tunasema twende...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Usanifu wa barabara njia 6 ya Maili moja- Chalinze unaendelea

    Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa usanifu wa upanuzi wa Barabara ya Njia sita kutoka maili moja Hadi Chalinze lakini pia Kutakuwa na ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka kutoka Kibaha Hadi Chalinze itakayojengwa Kwa ubia...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bwege: Rais Samia ajibu tuhuma za ukosefu wa Uhuru na Haki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kikosi kinachoteka watu kinaitwa 'Task Force'

    Seleman Bungara maarufu "Bwege" amemtaka Rais Samia kutoa majibu kuhusu tuhuma zinazohusu kutekwa kwa baadhi ya watu, Bwege amesisitiza kuwa kukaa kimya katika tuhuma hizo ni sawa na kuthibitisha ukweli wake. Amesema kuwa kama Rais atatoa majibu, wananchi wataweza kuyapima maneno yake dhidi ya...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasira: Vituo vya afya vilivyojengwa chini Rais Samia ni kama hospitali

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa kwa miaka minne ya uongozi wake, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amefanikisha mambo makubwa, hivyo Watanzania wanapaswa kumrudisha madarakani ili aendelee kuleta maendeleo. Wasira amesema hayo leo, Septemba 27, 2025...
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gerson Msigwa: Rais anawapa Milioni 10. Anataka Yanga icheze fainali ya CAFCL

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anahitaji klabu ya Yanga ijitahidi na kufika fainali ya kombe la mabingwa barani Afrika. Ameyazungumza hayo akiwa...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afika Unguja kuifariji familia ya Mwinyi

    Rais Samia Suluhu amefika nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Tanzania, Mjini Unguja, Zanzibar kwa ajili ya kuifariji familia hiyo kufuatia kifo cha Abbas Ali Mwinyi. Abbas alifariki dunia Septemba 25 mwaka huu katika Hospitali ya Lumumba, Unguja alipokuwa akipatiwa matibabu. Pia Soma: TANZIA - Abbas...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Karimu Chipola: Rais Samia ameboresha maisha yetu

    "Namshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan na Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM kwa kazi kubwa aliyoifanya hasa kugusa maisha ya wakulima na kutukwamua kiuchumi. Ni Rais pekee ndani ya kipindi cha miaka minne na Nusu ameweza kutugusa sisi kwa kuboresha maisha yetu. Aliweza kufanya uthubutu...
  15. H

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Samia anaahidi vitu vidogo vinavyoweza kufanywa na mkuu wa wilaya

    Kwenye press aliyofanya aliyowahi kuwa balozi wa Tanzania kutoka Cuba anayejulikana Kama Humphrey Pole pole amesema ameshangazwa na sera anazoahidi mgombea wa uraisi wa CCM Rais Samia kuwa ni sera ambazo hazikutakiwa kuahidiwa na Taasisi kubwa Kama ya uraisi. Huwezi kuahidi wananchi kuwa...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kazi ya miaka 4 ya Rais Samia ni sawa na miaka 40

    Wakizungumza leo Septemba 25, 2025 wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan zilizofanyika mjini Lindi, baadhi ya wanawake wakazi wa Mkoa huo wamesema maendeleo yaliyopatikana katik kipindi cha Miaka minne (04) ya uongozi wa Dkt. Samia yangeweza...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Rais Samia, wananchi hawakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM

    Polepole: Wananchi awakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM na wahanga ni Tanzania nzima Nikusihi usirudie tena kuwatisha waTanzania kwa dhamana waliyokupa.
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Hakuna Chama kitakachoweza kwa sasa hivi kulinda na kuinua Utu wa Mtanzania kama siyo CCM

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna chama chochote cha siasa nchini kinachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama CCM. Akihutubia wananchi wa Mchinga mkoani Lindi katika mkutano wa kampeni...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Upinzani wanaiga sera za CCM

    Mgombea Urais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema wapinzani wanaiga sera za Chama Cha Mapinduzi ambazo tayari imefanya.
  20. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutatoa ruzuku ya Pembejeo bure na kutafuta masoko ya korosho ili kuongeza tija kwa wakulima

    Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo atapata ridhaa ya wananchi, serikali yake itaendelea kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima ili kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Dkt. Samia ametoa ahadi hiyo leo Septemba 25, 2025 wakati akinadi sera...
Back
Top Bottom