ruto

Ruto, or Rutto, is a surname of Kenyan origin that may refer to:

Evans Rutto (born 1978), Kenyan marathon runner and two-time winner of the Chicago Marathon
Isaac Ruto, Kenyan politician for the United Republican Party
Paul Ruto (born 1960), Kenyan middle-distance runner and 1993 world champion
Ronald Kipchumba Rutto (born 1987), Kenyan steeplechase and marathon runner
William Ruto (born 1966), Kenyan politician and Deputy President of Kenya

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Kwa hiyo kolabo ya wanasiasa wa upinzani naona Kasongo na Soprono watapelekwa nyumbani asubuhi mapema. Mmoja Sugoi mwingine Tharaka. Labda washindwe kuwa na umoja mpaka mwisho ila kwa Wakenya na imani nao kidogo fofauti na wanasiasa wa upinzani hapa kwetu.
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Aongoza Sherehe Ya 46 Ya Kupitisha Kikosi Cha Kdf Eldoret

    Rais William Ruto amewaongoza viongozi wa serikali, makamanda wa usalama, familia na wananchi katika sherehe ya 46 ya KDF Pass-Out Parade iliyofanyika katika Defence Forces Recruit Training School, Kamagut, Uasin Gishu. Sherehe hiyo imeashiria kukamilika kwa mafunzo ya kijeshi kwa muda wa miezi...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Methu Aitaka Serikali Ya Ruto Kuweka Wazi “Scorecard” Ya Miaka Minne

    Seneta wa Nyandarua John Methu ameisukuma serikali ya Rais William Ruto kutoa hesabu kamili ya utendaji wake tangu ilipoingia madarakani mwaka 2022. Methu amesema serikali haipaswi kupuuza ukosoaji kutoka kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa kumkumbusha tu kuwa aliwahi kuwa sehemu ya...
  4. O

    JamiiForums Tanzania FALSE FACT CHECK: Did Ruto Really Say Kenyans Shouldn’t Be Consulted?

    A viral graphic circulating on social media claims President William Ruto said Kenya needs a new Constitution that would not require the government to consult the people. The quote, presented alongside Ruto’s image, reads: “We need a new Constitution that does not require us to consult the...
  5. JamiiForums Tanzania Picha ya wakati Isaya Yunge akimvalisha pete binti wa Ruto

    Nataka kuona Yunge anamvalisha Charlene pete nani alipiga magoti? Au wote walikuwa kama kambale?
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Awakaribisha Wakenya 5,000 Katika Majadiliano Ya Vision 2060

    Rais William Ruto anatarajiwa kuwa mwenyeji wa zaidi ya Wakenya 5,000 kutoka kaunti zote 47 katika mkutano wa kitaifa unaofanyika leo, Jumatano, Agosti 12, 2026, katika KICC, Nairobi, kujadili mwelekeo wa Kenya kuelekea Vision 2060. Mkutano huo unaashiria mwanzo wa ushirikishwaji wa umma katika...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Atangaza Muungano Wa Kenya Kwanza Na Odm Kuelekea Uchaguzi Wa 2027

    Rais William Ruto ametangaza kuwa Kenya Kwanza na ODM zimekubaliana kuunda muungano wa kisiasa utakaochuana pamoja katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ruto alitoa tangazo hilo Jumatatu, Agosti 10, 2026, baada ya mkutano wa viongozi wa Broad-Based Government mjini Naivasha. Alisema uamuzi huo...
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kalonzo: Opposition will defeat Ruto by more than 70% in 2027

    Wiper Patriotic Front leader Kalonzo Musyoka has expressed confidence that the opposition will decisively defeat President William Ruto in the 2027 General Election, predicting a victory margin of more than 70 per cent. Kalonzo said Kenyans are increasingly dissatisfied with the Ruto...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Wakenya na ujanja wao wameshindwa kuona mabinti wa Ruto!!!

    Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria. Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje mabinti wa rais wanaolewa nje? Vijana wa kiume wa Kenya mnashindwa wapi au ni kwa sababu ya one...
  10. O

    JamiiForums Kenya Charlene Ruto Afanya Sherehe ya Koito na Mchumba Wake Mtanzania Isaya Yunge

    Binti wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amefanya sherehe ya jadi ya Koito na mchumba wake, Isaya Yunge, mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika Jumamosi, Agosti 8, 2026, katika Intonna Heritage Farm, Kilgoris, Narok County, huku familia za Charlene na Yunge...
  11. JamiiForums Tanzania SI KWELI Isaiah Yunge, ametoa shilling billion 7 za kenya ili kufanikisha ndoa yake charlene Ruto

    Kumekuwa na machapisho kadhaa yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya na Tanzania, yakidai kuwa kijana Mtanzania, Isaiah Yunge, ametoa zaidi ya shilling billion 7 za Kenya ili kufanikisha ndoa yake na bintiye William ruto huko nchini Kenya Miongoni mwa machapisho hayo kuna ujumbe...
  12. JamiiForums Tanzania Watoto wa Ruto hawaolewi Kenya

    Wakenya mnachekesha sana,kelele ni nyingi kwakuwa mtoto wa Ruto kaolewa Tanzani,hivi hamjui kuwa June Ruto kaolewa Nigeria na Dr Alexander Ezenagu?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge, Kijana kutoka Mwanza, anamuoa binti wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, Hii hapa Cv Yake

    Leo Agosti 8, nchini Kenya tukio kubwa ni engagement ya Charlene Ruto ambaye ni binti wa Rais Ruto. Katika tukio hilo, ametambulisha mumewe mtarajiwa ambaye ni Mtanzania Isaya Yunge. Historia yake si kubwa sana mtandaoni ila nimepata hints hizi. Kwanza jamaa kasoma IFM Bachelor of Science Degree...
  14. JamiiForums Tanzania MTANZANIA kumuoa mtoto wa rais Ruto wa Kenya

    Kijana wa kitanzania issaya yunge, ametambulishwa rasmi kama mchumba wake na Charlene ruto, mtoto wa muheshimiwa William ruto, rais wa kenya. Za chini chini inasemekana kijana huyu, ni mhitimi WA CHUO cha IFM, ni mjasiriamali, na ndio miliki wa soma app. Naendelea kufatilia wadhifa wake na...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Kijana wa Kitanzania na mwanzilishi wa application ya SomaApp aitwaye Isaiah Yunk(g)e anatarajia kumvisha pete ya uchumba Charlene Ruto katika sherehe ya kimila( Koito ak chaik) itakayofanyika leo Jumamosi huko Narok, Kenya. Miongoni mwa wageni wanaotarajiwa kuhudhuria ni pamoja na wazazi wa...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto, Uhuru na Walinzi: Je, Historia Inajirudia?

    Rais William Ruto jana, Agosti 6, 2026, aliwakutana na maafisa wa usalama binafsi zaidi ya 5,000 State House, ambapo aliahidi kubadilisha matumizi ya majina “watchman” na “guard” na kuwatambua rasmi kama Private Security Officers (PSOs). Ruto pia alizungumzia kuboresha mishahara, heshima na...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Habari kwenu. Raisi wa Kenya William Ruto amewapa salamu wale wasioamini uwepo wa Mungu kwamba hawana utofauti na Wanyama. Najua hili linawagusa sana hasa wale wanaoishi nga'mbo au ugaibuni kwani wao baada ya kufika huko wengi wao wamempa Mungu Kisogo na ndio maana wengi wao wanishi kwa msongo...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Hata Mkininyima Kura Malaika Wataniongezea, lazima nitashinda Urais

    Harafu unakutana wale wapumbavu huko mtaani wanajazwa upepo na Wapinzani Hadi wanapoteza maisha,wanakuwa vilema nk kisa vurugu za kuwapigania Wanasiasa Kwa ahadi kwamba Katiba Mpya itawapa maisha. Haya kiko wapi? Kinachoitwa Katiba Mpya ni scam ya kuwa fool wajinga na wapumbavu Kwa maslahi ya...
  19. E

    JamiiForums Tanzania Edwin Sifuna: Kutoka kuwa mtetezi wa ODM Sasa tishio jipya kwa Ruto 2027

    Kwa miaka kadhaa, jina la Edwin Watenya Sifuna limekuwa miongoni mwa yanayotajwa zaidi katika siasa za Kenya. Wakati wengi walimfahamu kama Katibu Mkuu wa Orange Democratic Movement (ODM) na mmoja wa watetezi wakubwa wa Raila Odinga, leo anatajwa kama mwanasiasa anayejaribu kujijenga kuwa...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Macharia Njeru adai Rais Ruto aliitisha viongozi wa IPOA na kutoa vitisho

    Aliyekuwa mwenyekiti wa kwanza wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA), Macharia Njeru, amedai kuwa Rais William Ruto aliwaita viongozi wa IPOA katika Ikulu na kutoa matamshi yaliyolenga kuwashinikiza kuhusu utendaji wao. Kwa mujibu wa Njeru, hatua hiyo inaweza kutafsiriwa kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…