rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Police given green light Kula Rushwa?

    Nilitegemea asema ukiona polisi anakula rushwa mpige picha rusha tumshughulikie. Sasa anasema msirushe hizo clip. Means wale rushwa lakini msiwaumbue ie msiwaripoti Sasa maovu utayafichua vipi?
  2. JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Yeye kwake Kosa sio Jeshi la Polisi Kuchukua Rushwa .....ilo aaahhhhhh. Kosa ni 'Clip za Rushwa kuwekewa mitandaoni'. Yaan kwa Mfano, Umeoa, umefunga zako CCTV ndani, umesafiri, Mkeo kaleta Mchepuko ndani, unamfuma na kumwonyesha hizo Video. MKE Anaanza kukulaumu akijitahidi kuonyesha kua...
  3. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Rushwa Million 5 Hadi 7 Uhamisho kwenda Kituo Kingine Wizara Ya Afya-port Health, Maombi Kupitia Ess Hayazingatiwi, Wanaomba Rushwa Kujinufaisha

    Rushwa Rushwa Rushwa!! Maafisa Rasilimali Watu, Makatibu wa Afya na viongozi waandamizi Ofisi ya Katibu Mkuu na Porthealth wanachukua Rushwa (Million 5 hadi 7) kuhamisha watu vituo, ilihali ukiomba kupitia mfumo maombi hayapitishwi kwa wakati na wanayapuuzia, ila wanakujengea mazingira ya kutoa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Rushwa na Uonevu Bandari ya Kemondo

    Bandari ya Kemondo(Kagera) kumekuwa na matukio yasiyofaa ambapo walinzi katika eneo ilo wamekuwa wakitumia kigezo cha kutokuwa na vitambulisho kuomba rushwa. Lakini pia idara ya ulinzi ya eneo ilo wamegeuka miungo watu wasumbua sana wasafiri kwa kutaka kunyenyekewa na pale inaponekana mtu...
  5. B

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video: Polisi Uganda wamekamata gauni la kifahari aliyekuwa spika wa nchi hiyo kufuaia tuhuma za rushwa zinazomkabili

    Police in Uganda have arrested a dress belonging to Parliament Speaker Anita Among. The designer outfit, which she wore during President Museveni's recent swearing-in, was reportedly purchased for Ksh. 1.1 million. Among is facing corruption allegations.
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za WANGIWASA zinanuka RUSHWA

    Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Wanging'ombe(WANGIWASA) Waliopo kijiji cha Luduga kata ya Luduga Wamekuwa ni miungu watu kijijini hapa. Hawawajibiki kabisa kwenye majukumu tao yaani wao muda wote wanatuomba rushwa na bila kuwapatia rushwa hawafanyi kazi yeyote ile kwako, badala yake watakuwa...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Rushwa na utapeli wa baadhi ya wafanyakazi wa Ardhi Halmashauri ya Bagamoyo

    Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila mfanyakazi wa halmashauri ili akufanyie kitu flani ni anahitaji umlipe. Nilikaa siku mbili nafatilia...
  8. M

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU NAONA NI BORA IWEKWE CHINI YA JESHI YA WANANCHI (JWTZ)

    Rushwa ni adui wa TAIFA Kwa ufupi naomba nikuonyeshe why nasema Rushwa ni adui wa TAIFA. 1. Rushwa inawanyima wanyonge haki zao. Mnyonge hasikilizwi popote labda awe na rupia ndo atavunja uzia. 2. Rushwa ni chanzo cha maovu yanayotokea kwenye TAIFA. Mfano:- (a) mtoto kabakwa, baba wa mtoto...
  9. JamiiForums Tanzania BASATA mfumo wenu wa AMIS haufunguki karibu wiki ya pili sasa na watu wanashindwa kulipia leseni au mmeminya makusudi kuna rushwa hukoo!

    Nchi hì hata kama utakuwa na moyo wa kulipa kodi na mapato kwa hiyari bado utakumbana na changamoto tu za kukufanya uachane na mpango huo, ukitaka kulipia leseni za sanaa na saloon unalazimika kuwa na namba kutoka BASATA ambazo itazipata kwenye mfumo wao wa AMIS ,lakini cha ajabu mfumo wao huo...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

    Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni bora kujenga kiwanda Mombasa kuliko Tanzania. Vilevile anajua watawala wakina kikwete na Samia ni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kijeshi China yahukumu mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi adhabu ya kifo

    Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali. Taarifa za Xinhua News Agency zinasema kuwa hukumu hiyo...
  12. JamiiForums Tanzania DOKEZO UDSM kunanuka rushwa kwenye Ajira

    wasaalam tarehe 02/05/2026 pale UDSM yombo 4 kulikuwa na zoezi la kufanya written interview kwenye kada mbalimbali lakini cha ajabu mpaka leo tarehe 06/05/2026 hawajatoa majibu ya usaili huo kama wanafovofanya taasisi zingine ambapo majibu hutoka na kutaganzwa kupitia tovoyi rasimi ya...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO UDSM kutotoa matokea ya written interview ya 02/05/2026 kuna dalili za rushwa

    Kiukweli nimesikitika sana UDSM kuficha matokeo ya wrriten interview iliyofanyika tarehe 02/05/2026 pale yombo 4 mapaka sasa matokeo hayajawekwa kwenye website rasmi ya Secretariat ya ajira huku waajiri wengine wakitoa matokea wazi Sasa naanza kuamini ili upate kazi UDSM ni mpaka utoe rushwa au...
  14. JamiiForums Tanzania Katavi: Askari Polisi ashtakiwa kwa kuomba na kupokea Rushwa ili awaachie waliokutwa na gunia 10 za bangi

    Mei 04, 2026: Imefunguliwa kesi ya Jinai Namba CC. 9474/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Mlele mbele ya Mhe. Kibona. F, Jamhuri dhidi ya RABIEL ROBERT KAAYA, askari wa Jeshi la Polisi mwenye Namba za Kijeshi H. 3083 mkazi wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi. Hati ya Mashtaka imesomwa na...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma adaiwa kupokea rushwa ya milioni 320/- kwa mwezi

    OFISA mmoja wa serikali anadaiwa kujipatia kiasi kinachokadiriwa kufikia shilingi bilioni 4, kwa njia ya rushwa. Anayepewa tuhuma hizo ni Ofisa Uvuvi Msaidizi Mkuu, anayesimamia Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara, Masanja Kadashi. Tuhuma dhidi yake zinadaiwa kuanza muda mrefu ambapo Machi 31, mwaka...
  16. JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani. Yaani kumbuka sasa hivi...
  17. JamiiForums Tanzania Wananchi wasisitizwa Malezi Bora Kupata viongozi wanaochukia rushwa

    Wananchi wa kata ya kisangura Wilaya Serengeti Mkoa wa Mara wamesisitizwa kuendelea kutoa malezi bora kwa watoto ili kupata jamii yenye hofu ya Mungu na yenye kuchukia uhalifu na vitendo vya Rushwa. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi kata ya Kisangura Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi wa...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Ni kweli hakuna hotuba ya Rais Samia akikemea rushwa na ufisadi au wanamsingizia? Kama unayo tuwekee hapa

    Baada ya Nchimbi kuongea jinsi Nyerere alivyochukia na kukemea rushwa na kukataa kabisa kutumia nafasi yake ya uraisi kuwanufaisha watoto wake, ndugu zake na jamaa wengine wa karibu, kumekuwa na maneno mengi mitaani kwamba Makamu wa Raisi alikuwa akimpiga dongo Raisi Samia. Watu wameenda mbali...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Nchi ya Rushwa hii, Nchi ya kitu kidogo hii, hata Hormuz ikifunguliwa mafuta yaka flow kawaida bei ya Mafuta hapa Tz haitashuka

    Mtakuja kuniambia. Time will tell! Nchi hii ya kijambazi, majizi , wala Rushwa hata Hormuz ikifunguliwa to 100 % functional to let tankers sail through, na bei ya dunia ikashukakuwa kama mwanzo, HAPA BEI YA MAFUTA HAITASHUKA. Akina Msoga and Co. Ltd, ndipo sasa wanakuwa trillionaires!
  20. JamiiForums Tanzania DOKEZO Mahakama chunguzeni rushwa mahakama ya mwanzo Arusha(Maromboso)

    Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama (sito taja jina) Huyu bwana hata kama haki iko upande wako, usipo toa rushwa hakuna jinsi utashinda...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…