Kwa upande wa Kimungu tunasema tumebarikiwa kwa upande mwengine tumenona nchi inarasilimali kila Kona,kwa vitu tulivyonavyo ni aibu kutuletea vichwa vya mitumba!.
Kwa staili hii lazima tuwashike mashati na lazima tuhisi tunanyonywa tu!.
Ifike hatua muone aibu viongozi wetu,nashangaa usomi wenu...