Na Elly Maduhu Nkonya
Afrika ni bara lenye utajiri wa rasilimali za asili, ikiwa na dhahabu, almasi, mafuta, gesi asilia, cobalt, madini adimu, ardhi yenye rutuba, na rasilimali watu yenye nguvu kazi kubwa. Hata hivyo, licha ya utajiri huu wa asili, bara hili limeendelea kuwa maskini kiuchumi...