rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. McLaren

    Rais Samia kwa mwakilishi wa Urusi kwenye mkutano mkuu wa CCM: "You're grown up but still handsome"

    Wakuu, Huko Dodoma mambo yameendelea kuwa moto.
  2. McLaren

    PreGE2025 CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025. Yaweka Katiba Mpya kama mojawapo ya agenda watakazozitekeleza!

    Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. Soma hapa Ilani > Ilani ya CCM 2025-2030 https://www.youtube.com/watch?v=yXnzuEg-DLk...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mama Samia Support tupo tayari kumpigania rais Samia kushinda katika uchaguzi mkuu 2025

    Taasisi ya Mama Samia Support, inazidi Kusongesha Gurudumu la Rais Samia Kwa Kauli Mbiu ya ’Kazi Na Utu, Tunasonga Mbele’ Taasisi Hii Leo May 29, 2025 wamefanya Maandamano ya amani yenye Lengo la Kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania yampongeza Rais Samia kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa

    Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa, huku ikimuomba kwa heshima asamehe kauli za matusi na udhalilishaji zinazotolewa na baadhi ya vijana kutoka nchini Kenya kupitia mitandao ya...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Ole Sendeka: Natamani Tundu Lissu atoke gerezani aje ashindane na Rais Samia

    “Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile” Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  6. CM 1774858

    Rais Samia: CCM inawachama milioni 13 yoyote anayefikiria kukipasua chama hiki ajifikirie mara mbili mbili

    === Chama Cha Mapinduzi CCM Tanzania sasa rasmi kina wanachama 13,000,670, Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amewashukuru Watanzania Kwa kuendelea kuiamini na kuiunga mkono CCM. Akiongea katika Mkutano mkuu maalum wa CCM Jijini Dodoma ulioitishwa ukiwa na agenda kuu tatu...
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Rais Samia aahidi kumsaidia mwalimu Yusuph ambaye hana mguu mmoja

    Rais wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameiona Video ya Mwalimu Yusuph ambaye hana mguu mmoja lakini amekuwa akifanya kazi kubwa na yenye ubunifu katika kufundisha Watoto na kuwafanya mapende masomo, ambapo Mhe. Rais ameahidi kumsaidia Mwalimu huyo. Rais Samia Suluhu amejibu kupitia...
  8. P

    PreGE2025 Rais Samia akigeuza gia angani na kukemea kuhusu utekaji utaona vile kenge watavyogeuka kuwa wakemeaji! Uchawa uliokomaa!

    Ukitaka kujua tunawakilishwa na wachumia tumbo waliojaa unga kichwani, subiri Rais Samia akiamka vizuri na kukemea vitendo vya utekaji na kuagiza vyombo vya usalama vinawakamata wanaotekeleza vitendo hivyo uone jinsi sinema itakavyobadilika. Kila mbunge, waziri, kiongozi wa CCM, na chawa...
  9. Roving Journalist

    PreGE2025 Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi Makao Makuu ya CCM Dodoma Mei 28, 2025

    Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi Makao Makuu ya CCM Dodoma Mei 28, 2025. https://www.youtube.com/live/IocFOWt2uqY?si=7h0fUD6dBWpUH3Nc
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Meya wa Manispaa ya Temeke: Nampa Rais Samia alama A+ kwa anavyoendesha nchi

    Meya wa Manispaa ya Temeke Abdallah Mtinika amesema Rais Samia amefanya kazi nzuri kwenye kiwango cha kustahili alama “A+” katika kipindi cha uongozi wake. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  11. Pascal Mayalla

    Dr . Ayub Rioba na Hoja 20 za Uzalendo kwa Bara Letu, Africa na kwa Nchi Yetu Tanzania!. Msimamo wa Rais Samia "Tanzania Kutoingiliwa" Uuungwe na Wote

    Wanabodi, Makala yangu, Gazeti la Nipashe, wiki hii. Hali ya siasa za ndani za nchi yetu, na jirani zetu wa Kenya na Uganda, kuingilia mambo yetu ya ndani, vibaraka wao walipojipenyeza, idara yetu ya uhamiaji, ikawarudishia uwanja wa ndege, kurejea walikotoka, na waliofanikiwa kupenya...
  12. Eboo

    Kwanini Dkt Rhimo Simeon Nyansaho anaaminiwa sana na Rais Samia? Kunanini nyuma ya pazia

    Wakuu habari? Kumekuwa na minong’ono mingi mitaani na vijiweni kuhusu jina linaloendelea kuonekana kwenye teuzi mbalimbali za serikali – Dkt. Nyansaho. Wengi wanajiuliza: Ni nani huyu Dkt. anayemvutia Rais Samia mara kwa mara? Kwanini kila nafasi nyeti ya kimkakati anakuwemo? Baadhi ya...
  13. B

    PreGE2025 CCM na Serikali majibu yenu yako wapi kwenye orodha ya Watanzania waliotekwa iliyotolewa na TLS?

    Serikali na CCM mmepaparuka huko na kusema taarifa ya Gwajima ina walakini, inalenga kuleta chuki kwa serikali, kwamba inabidi serikali iseme upande wake. Orodha ya Gwajima ndio hiyo orodha ya TLS iliyokuwa na watu 80 waliotekwa/kupotea toka mwaka 2016 mpaka Agosti 2024, kama angechukua na watu...
  14. Roving Journalist

    Basilla amwambia Rais Samia “Kuvujisha Siri ni utovu mkubwa wa maadili ila kufanya yanayovujishwa ni ukosefu mkubwa zaidi”

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi na Miss Tanzania wa Mwaka 1998 amezungumzia mambo kadhaa kuhusu kauli za WanaCCM wenzake, msome hapa… Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa heshima na taadhima na upendo mkuu kwako ❤🇹🇿 Kuvujisha Siri ni utovu mkubwa wa maadili,na...
  15. L

    PreGE2025 Kuna uwezekano Askofu Gwajima anamchafua Rais Samia kuelekea Uchaguzi na akitumika na wale watu waliotaka asiwe Rais

    Ndugu zangu Watanzania, Ningependa Kuwaambieni na kuwakumbusheni Ya Kuwa Pamoja na Katiba yetu kuwa wazi na kunyooka kabisa juu ya nini kinapaswa kufanyika pale Rais aliyepo madarakani anapofariki Dunia, Yaani Makamu wa Rais Kuapishwa na kuchukua Madaraka ya Urais kuongoza Nchi. Lakini ni...
  16. M

    Rais Samia amepoteza kanda ya ziwa- Gwajima apigilia msumari

    Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa. 1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa. Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu...
  17. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima umevua nafasi ya Ubunge, ushindane na Rais. Hata kama Rais wetu ni wa hovyo kiasi gani, ni lazima tumtii

    Wakuu, "Tunajua Rais naye kuna saa anahemewa. Lakini mzee, sisi tuko kwa ajili ya kumlinda Rais wetu. Hebu kaa sawasawa. Sitaki kukujibu kwa sababu nitakukosea adabu. Naogopa kushindana na wewe, najua mashindano yako. Najua unapenda mashindano. Najua umeshahindana na watu wengi huko ulipotoka...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dkt. Biteko: Milango ya Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana

    "Niwahakikishie kuwa milango ya Mhe. Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana ili kuifikisha nchi mbele kimaendeleo,” amesema Dkt. Biteko Ametaja jitihada za Rais Samia kwaajili ya kuleta amani, umoja na ushirikiano nchini kuwa ni pamoja na mikutano yake...
  19. G Sam

    Rais Samia hahujumiwi. Angekuwa anahujumiwa angekuwa mstari wa mbeli kukemea maovu na utekaji hadharani

    Rais wala hahujumiwi kuhusu utekaji na maovu. Haya matendo anayalea na upo uwezekano kuwa watu wake wa karibi wanaguswa kwenye matukio. Rais Samia angekuwa anatoka hadharani kukemea mambo haya na kuchukua hatua vilivyo basi tungesema anahujumiwa. Lakini hasemi wala hakemei na watu wanafanyiwa...
  20. Criss

    Wazee wetu wa CCM tunaomba mumfuate na kumsihi rais atoe kauli ya kukabidhi kijiti kwa mwingine ili taifa lipone

    Tunampenda ila itoshe kusema ahsante . Kuwa kiongozi nikuwa sauti ya Mungu , naona sauti ya umungu kwake nikama imekaushwa na vilio vya kila pembe ya Tanzania. Sisi kama wanaccm kunawakati huwa tunajilazimisha tu tuwe na vichwa ngumu pale tunapowaona wapinzani wakilia ,ila ukweli hata nasi...
Back
Top Bottom