rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. GE2025 Bashiru: Samia amezishinda siasa uzalendo uchwara

    "Umadhubuti wa Chama chetu na hasa umadhubuti wa uongozi wako Dkt. Samia Suluhu Hassan katika vipindi ambavyo dunia imetikiswa, si Tanzania peke yake, tumepigwa na korona, kuna mabadiliko ya tabia nchi, kuna vita ambavyo vinatikisa uchumi wa dunia lakini pia kumezuka siasa za kujitambulisha kwa...
  2. L

    PICHA: Rais Samia akiweka Shada la maua kwenye kaburi la Hayati Dkt Magufuli

    Ndugu zangu Watanzania, Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ameweka shada la Maua...
  3. GE2025 Serukamba: Dkt. Nchimbi atakuwa msaidizi sahihi wa Rais Samia

    Mgombea ubunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Serukamba amesema, Rais Samia Suluhu Hassan alifanya uamuzi sahihi kumteua Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea wake mwenza wa urais. Serukamba amesema Dk Nchimbi atakuwa msaidizi sahihi wa Rais Samia mara baada ya uchaguzi...
  4. R

    GE2025 Prof. Kitila: Rais Samia ameonyesha uimara wa kutosha katika kuongoza nchi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo, amewasihi watanzania kumpigia kura Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa Mgombea huyo anasifa zote za Kiongozi mkuu wa Nchi, ikiwemo uimara ‎ ‎Ameeleza hayo leo Oktoba 12, 2025 alipokuwa katika...
  5. W

    POTOSHI Salome Makamba asema waliotaka kushindana na Rais Samia wameishia kutekwa

    Wakuu nimekutana na hii video lakini ni kama kilichoandikwa ni tofauti na kinachozungumzwa.
  6. GE2025 Mwambien Rais Samia Vijana aloamuru Washughulikiwe pale Serengeti, wameumizwa na kuvunjwa, Mmoja yuko ICU

    Ndugu yangu unaweza jiuliza, huyu ni Mama na aliwahi kulea ??. Lile suala analodai Vijana wanawasukuma wenzao mbele , lilikua ni Suala la kusema "Wasaidieni waweze kusimama vizuri Kwa Utulivu ". Ila kwakua anajua HAPENDWI . kwakua anajua wamekuja Mkutanoni baada ya KULIPWA PESA hawezi kua nao...
  7. GE2025 Lazaro Nyalandu: Tumuombee Rais Samia. Watu watoke kupiga kura bila uoga, wasiwasi na sintofahamu

    Wakuu Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Lazaro Nyarandu amewataka wananchi kujitokeza kusikiliza sera za wagombea katika nafasi mbali mbali huku akiwaomba wananchi kumuombea mgombea urais wa CCM Samia Suluhu
  8. M

    GE2025 Chato: Viongozi wa CCM wanahaha kutafuta usafiri wa kubeba watu toka vijijini ili kumridhisha Rais Samia

    Nimedokezwa kuwa Viongozi wa CCM akiwemo Dc wa Chato na jopo lake wanaomba msaada kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri ili watu kutoka vijiji mbalimbali wahudhurie mkutano wa Kampeni tarehe 13/10/2025. Nimedokezwa hii yote inafanyika ili kumridhisha mkuu wa nchi kuwa anakubalika. Wananchi...
  9. GE2025 Rais Samia aweka shada la maua kwenye kaburi la Mwalimu Nyerere

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wanafamilia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipozuru katika Kijiji cha Mwitongo Butiama Mkoani Mara...
  10. L

    GE2025 Uchaguzi utafanyika kwa Amani na Rais Samia atashinda na kuapishwa na ataongoza Taifa letu katika Hali ya Amani na utulivu kabisa hadi 2030

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaambieni ya Kuwa Uchaguzi utafanyika katika mazingira ya amani ,utulivu na usalama wa kutosha kabisa pasipo bughudha wala vurugu ya aina yoyote ile kutokea. Lakini pia Mama yetu Mpendwa ndiye atakaye shinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima...
  11. GE2025 Sophia Simwa apiga magoti Kageye kuomba Kura za Rais Samia, Kija Limbu na Roza Mussa

    Mjumbe wa kamati ya utekelezaji UWT Mkoa Geita, Sophia Simwa amelazimika kupiga magoti mbele ya Wananchi wa Kijiji Cha Kageye Katika kata ya Nyachiluluma kuwaombea kura Dkt Samia Suluhu Hassan, Mhandisi Kija Limbu Ntemi na Roza Mussa ili wawe viongozi watakaopeleka maendeleo kijijini hapo...
  12. R

    GE2025 Kiongozi wa Rastafarians: Tuilinde amani ya Tanzania, vita ikitokea hatuna nchi ya kukimbilia, Tunamuunga mkono Rais Samia

    Hapa ni njaa ndo imezidi na hili joto la Daslam, nilikuwa nawaheshimu sana hawa jamaa nimeamini njaa ni mbaya sana :AYOO: ----------------- Umoja wa Rastafarians Tanzanian wamefanya matembezi ya amani ndani ya jiji la Mwanza kama njia ya kuenzi na kuhimiza mila, desturi, amani na upendo vigezo...
  13. GE2025 Samia: Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo

    Akizungumza leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, katika Wilaya ya Sengerema, jijini Mwanza, Dkt. Samia amesema: “Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo, vurugu au zogo. Tutaheshimisha nchi yetu tukizingatia sheria zetu, tukitafuta haki na kila mtu akapata haki yake.”
  14. Siku Polepole alipokagua gwaride la heshima kama Rais na sasa Rais kamsaliti!

    Kweli dunia tambara bovu na siasa ni mchezo mchafu sana. Nani alijua Polepole angeishia alipoishia. Huyu kamaliza bado Gwajima. Mwaka huu MaCCM mtamalizana. Halo halo, vita ya kunguru neema ya panzi wahenga walisema. Nadhani Tundu Lissu na familia za wahanga wa MaCCM hawana cha kuonea huruma...
  15. Samia tofauti na Magufuli alikuwa na nafasi nyingi za kurekebisha mambo lakini hakuzichukua, sasa it's too late!

    Kabla ya mtu kuhukumiwa hupata nafasi nafasi za kurekebisha alipoteleza na kurudisha vitu kwenye kwenye mstari. Baadhi huelewa haraka, akipata onyo mara moja ajirudi haraka, wengine ni mpaka ashtuliwe mara tatu nne, na kuna wale sikio la kufa ambao hushupaza shingo mpaka mwisho na kuanguka. Kwa...
  16. Taifa liko kwenye Tension kubwa, Lakini mkuu wa Nchi amekaa kimya

    Inawezekana vipi katika hali kama hii ya sasa, mkuu wa nchi upo kimya na unaendelea na majukumu yako kama kawaida kana kwamba hakuna kinachoendelea, Ilhali nchi ipo kwenye tension kubwa, malalamiko ni mengi kila kona, makundi tofauti tofauti yanakupinga kwa namna unavyoongoza nchi, ila umekaa...
  17. L

    GE2025 Mapokezi ya Rais Samia Jijini Mwanza kuweka rekodi hapo kesho. Maelfu Wajiandaa kumpokea kishujaa

    Ndugu zangu Watanzania, Kanda ya Ziwa inakwenda kusimama,kanda ya ziwa inakwenda kuweka rekodi ,kanda ya ziwa inakwenda Kulipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo katika Mapokezi mazito ,ya kihistoria na yatakayo weka rekodi hapa Nchini katika Wingi wa watu wanaotarajiwa kumiminika na kufurika...
  18. POTOSHI John Heche amesema CCM ya Rais Samia ndiyo yenye unafuu zaidi

  19. R

    GE2025 Mwenyekiti UVCCM Geita: Vijana Geita wana imani na Rais Samia, Kuna baadhi ya wahuni wanataka kuandamana Oktoba 29

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo,amewahimiza wananchi kupiga kura, Oktoba 29 Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Bukoli, Magambo amesema vijana wa Mkoa wa Geita wamejipanga kwa ajili ya kwenda kupiga kura kwa amani...
  20. GE2025 CCM: Watu milioni 14 wamejitokeza kwenye kampeni, milioni 31 wametazama kupitia vyombo vya habari

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea wake Samia Suluhu Hassan tayari zaidi ya wananchi milioni 45 wameshiriki kikamilifu kwa kufuatilia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…