putin

Vladimir Vladimirovich Putin (; Russian: Владимир Владимирович Путин, romanized: Vladimir Vladimirovič Putin, Russian pronunciation: [vɫɐˈdʲimʲɪr vɫɐˈdʲimʲɪrəvʲɪtɕ ˈputʲɪn]; born 7 October 1952) is the president of Russia since 2012, previously holding the position from 2000 until 2008. In between his presidential terms, he was also the prime minister of Russia under President Dmitry Medvedev.
Putin was born in Leningrad and studied law at Leningrad State University, graduating in 1975. Putin was a KGB foreign intelligence officer for 16 years, rising to the rank of Lieutenant Colonel before resigning in 1991 to enter politics in Saint Petersburg. He moved to Moscow in 1996 and joined president Boris Yeltsin's administration where he served as director of the FSB, the KGB's successor agency, and then as prime minister. He became acting president on 31 December 1999, when Yeltsin resigned.
During his first presidency, the Russian economy grew for eight straight years, and GDP measured in purchasing power increased by 72%. The growth was a result of the 2000s commodities boom, recovery from the post-Communist depression and financial crises, and prudent economic and fiscal policies. In September 2011, Putin announced he would seek a third term as president. He won the March 2012 presidential election with 64% of the vote. Falling oil prices coupled with international sanctions imposed at the beginning of 2014 after Russia's annexation of Crimea and military intervention in Eastern Ukraine led to GDP shrinking by 3.7% in 2015, though the Russian economy rebounded in 2016 with 0.3% GDP growth and the recession officially ended. Putin gained 76% of the March 2018 presidential vote and was re-elected for a six-year term that will end in 2024.Under Putin's leadership, Russia has experienced democratic backsliding. Experts do not generally consider Russia to be a democracy, citing purges and jailing of political opponents, curtailed press freedom, and the lack of free and fair elections. Russia has scored poorly in Transparency International's Corruption Perceptions Index, Economist Intelligence Unit's Democracy Index and Freedom House's Freedom in the World index (including a record low 20/100 rating in the 2017 Freedom in the World report, a rating not given since the time of the Soviet Union). Human rights organizations and activists have accused Putin of persecuting political critics and activists, as well as ordering them tortured or assassinated; he has rejected accusations of human rights abuses. Officials of the United States government have accused him of leading an interference program against Hillary Clinton in support of Donald Trump during the U.S. presidential election in 2016, an allegation which both Trump and Putin have frequently denied and criticized.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Putin achukizwa na Ugaidi. Atangaza kuisaidia Afrika dhidi ya Magaidi

    Rais wa Urusi, Vladmir Putin ameahidi kuzisaidia Nchi Washirika wake Barani Afrika katika Sekta mbalimbali za kuleta maendeleo na amesema ataisaidia pia Afrika kupambana na ugaidi. Rais Putin ameahidi kutoa msaada kamili kwa Bara la Afrika ahadi ambayo ameitoa leo Jumapili katika mkutano kati...
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Putin anakumbusha NATO kuwa wasimsaidie Ukraine silaha. Ama sivyo wataona cha moto

    Sasa hapa nachanganyikiwa. Sisi huku tunasema Ukraine anasaidiwa na NATO. Putin anasema bado ila wakijaribu atawapasua. Sasa lipi ni lipi? 1. Je Ukraine anasaidiwa na NATO? 2. Je Onyo ambalo alitoa Putin kuwa wakisaidiwa atasambaza kipigo kwa msaidizi halifanyi kazi...
  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Putin amechoka na Vita na Ukraine. Apongeza wazo la kumaliza vita yake na Ukraine

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani baada ya uchaguzi wa rais wa Marekani utategemea mtazamo wa nchi hiyo, huku akiyapongeza maoni ya Donald Trump kuhusu nia yake ya kuumaliza mzozo wa Urusi na Ukraine. Putin ameyasema hayo wakati mzozo kati ya nchi yake...
  4. The Loyalty King

    JamiiForums Tanzania Putin ni cancer Kwa USA na washirika, Brics Yazidi kuchanua Mabawa

    Wakuu Habari Nilikuwa huko Twitter (X) na katika kupita pita kwangu nikakutana na hii habari ya Iran kuungana rasmi na umoja wa mataifa yaliyopo katika muungano wa Brics , kubwa zaidi lilo nivutia sio Iran Tu kuwa mwanachama wa Brics kumbe kuna mataifa kibao ambayo na yenyewe yapo katika...
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Putin aomba msaada wa Wanajeshi Korea Kaskazini

    Naona mkakati wa NATO unafanikiwa sana. Kumdhoofisha Putin. Sasa imenyesha paananza kuonekana panapovuja.
  6. Ritz

    JamiiForums Tanzania Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

    Wanaukumbi. Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!! kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa...
  7. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

    Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo. Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Video: Trump alikuwa ni mwiba kwa Putin Ndio maana Putin anaombea Kamala achaguliwe

    Trump alikuwa ni mwiba mchungu sana kwa Putin Video hiyo inamuonyesha Trump akiwakaripia ujerumani kwenye mkutano wa NATO (umoja wa majeshi ya Marekani na Ulaya) waliposaini mkataba wa mabilioni ya dola kila mwaka kunuanua gesi inayotoka Urusi wakati ni adui wa Nato, Kilichomuudhi ni kwamba...
  9. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Putin, ameanza kuona gharama za ya Vita. Mara ya kwanza alikuwa anasoma sana Threads za JF akapotoshwa?

    Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine. Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya...
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

    Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia. Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Soon Putin anakamatwa tu. Kama Ukraine wameweza kuingia Urusi na kuteka watu basi Putin atakuwa mikononi soon

    Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin analia kama mtoto. Usicheze na nchi zenye demokrasia Nchi za kidictator zinakuwa na poles nyingi za...
  12. Ritz

    JamiiForums Tanzania VOA; Mshirika wa Putin afanya mazungumzo nchini Iran huku Mashariki ya Kati ikielekea ukingoni mwa vita vikubwa

    Wanaukumbi. MOSCOW - Mshirika mkuu wa Rais Vladmir Putin aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatatu kwa mazungumzo na viongozi wa Iran akiwemo rais na maafisa wa ngazi za juu wa usalama huku Jamhuri ya Kiislamu ikitathmini majibu yake kwa mauaji ya kiongozi wa Hamas. Urusi imelaani mauaji ya...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye Picha ya Marais Biden au Putin au Kagame au Waziri Mkuu wa Uingereza wakijipiga 'Selfies' katika Shughuli za Kikazi aniwekee hapa

    Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate...
  14. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Putin: Tutamjaza Iran kama US inavyompa silaha Ukraine

    || RUSSIA 🇷🇺 || USA 🇺🇲 || 🔴President Putin to Joe Biden: "We will arm your enemies just like you arm the enemies of Russia.”•
  15. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

    She is a woman! She is black! She comes from poorest country! She is from Africa! What does she think she is, to talk to me? Does she know any thing about war? ...................... Ongezea na wewe ....
  16. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Dkt. Tulia Ackson akutana na Rais Putin kujadiliana namna bora ya kuimarisha amani duniani

    Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu...
  17. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Kweli Biden kazeeka, amwita Zelensky President Putin!

    Mzee Biden aachie ngazitu. Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO. Mzee Putin waachie vijana ursis.
  18. ward41

    JamiiForums Tanzania Putin hawezi kushida hii vita, anamalizwa mdogo mdogo

    Utawala wa USA ndo wamwisho. Baada ya huo kuna utawala wa URUMI (European Union + NATO+ USA) Huu utawala maandalizi yake tayari ktk ulimwengu wa Siri. Hizi bases za USA anazoweka kila pembe ya dunia ni maandalizi ya huo utawala. Lengo ni kumpa nguvu za kijeshi mtawala ajayo ma kuvunjavunja...
  19. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Jibu la Putin baada ya Korea kusini kupeleka silaha Ukraine

    Korea kusini ilianza kuahidi kutoa silaha na ushirikiano na Ukraine Juzi Rais Putin kaenda Korea Kaskazoni nakuahidi ushirikiano wa Kijeshi baina yao yaani Nchi moja ikishambuliwa nyingine inaingilia. Korea kusini ambayo ndio ilianza imetoa mlio wa uchungu na wivu na kulaani maafikiano hayo ya...
  20. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Marekani imelaumu Vietnam kumpokea Putin na kusaini ushirikiano

    Marekani siku za hivi karibuni imekua kama mbwa koko kwa kulia lia kila mahala huku asiamini kinachoendelea baada kuzoea kutawala Dunia bila upinzani kwa miongo kadhaa, sasa ivi anaendeshwa kama gari bovu hana uwezo wa kutoa amri tena zaidi ya kubwekea bandani.. 😅😅 US condemns Vietnam for...
Back
Top Bottom