psssf

  1. R

    PSSSF tafuteni njia ya kuweza kuhakiki kitumia simu za wateja weni ( wastaafu)

    Tufuteni APP yenu ambayo mstaafi anaweza kuhakiki kutumia smart phone. Ni usumbufu usio kifani kukaa ofisini masaa 3 au zaidi uko kwenye foleni eti unahakiki Lifikirie hilo
  2. Uteuzi: Fortunatus Makore ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF, Plasduce Mkeli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:- (i) Bw. Fortunatus Makore Magambo ameteuliwa...
  3. R

    PSSSF kulikoni mwezi huu?

    Au makali ya uchaguzi ndiyo yanaanza. Kulikoni?
  4. PSSSF: Kwa TEHAMA yetu ofisi zetu nchini pote zinaweza kumhudumia mteja bila kulazimika kwenda Makao Makuu

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutoa ushauri kwa Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kufuatilia utendaji wa baadhi ya Watendaji wake wa Tawi la Dodoma akidai hawana huduma nzuri na wamekuwa wakimzungusha muda mrefu anapofuatilia stahiki zake, ufafanuzi...
  5. M

    PSSSF Sio mfuko rafiki kwa watumishi. Wanufaika wanahangaika

    Habarini za wakati huu wanajukwaa. Marakadhaa PSSSF wamekua wakilalamikiwa kama huduma zao ni mbovu Ukipiga simu kwa mhudumu A atakupa majibu tofauti na mhudumu B. Mfano mhudumu A atakuambia taarifa zako zinafanyiwa kazi piga wiki ijayo na wiki ijayo ukipiga simu anatokea mpuuzi mmoja sijui...
  6. M

    PSSSF kulipa fao la wategemezi kwa warithi walio chini ya miaka 18 ni dhuluma kubwa

    Inasemekana kuwa kuna kanuni mpya za kulipa fao la wategemezi ambazo zimeanza kutumika mwaka huu 2025. Hapo awali mstaafu ambae alikuwa mtumishi akifariki ilikuwa warithi wanalipwa miezi 36 ya mafao ya marehemu . Ila sasa kanuni zinabagua kwamba watalipwa warithi amaboa wana umri chini ya...
  7. R

    Mfuko wa Hifadhi ya jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) yasajili Askari wapya 4,800

    Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesajili Askari Polisi watarajiwa 4,800 wanaokaribia kumaliza mafunzo yao katika Shule ya Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro. Kabla ya zoezi la usajili, maafisa wa PSSSF wakiongozwa na Meneja wa Kanda ya Kati Dodoma, Michael Bujiba walitoa...
  8. R

    Ndugu Rhimo Simeon Nyansaho Mkurugenzi mpya PSSSF mtazame vizuri huyo mhasibu hapo ofisini

    Kwanza kabisa nikupongeze kwa kuamininiwa na mh. Rais kuisimamia taasisi hiyo nyeti inayohusika na maslahi ya watu wanaotaabika kwa miaka kibao. Kumekiepo na malalamiko dhidi ya mtangulizi wako kwani alishindwa aidha nguvu na hao watumishi wa ofisi au ilikua ni maelekezo yake. Mambo yalikua...
  9. M

    Kongole Rais kwa kumuondoa Abdu -Razak Badru pale PSSSF

    Nikienda kwenye mada mojakwa Moja. Nichukue fursa hii kumshukuru sana Mh. Rais Kwa kuondoa huyo mzee mzembe,kiburi,asiyejali maslahi ya wenzake. Watu wamekua wakimlalamikia muda mrefu sana lakini hajali. Huduma mbovu sana, wale watu wake wanaopokea simu wanajibu wanavyotaka,mtu anafuatilia...
  10. N

    Naomba ufafanuzi wa michango ya PSSSF

    Hivi hii michango ya watumishi wa umma ya PSSSF huwa ina riba au ulichochangia ndicho utakuja kupewa ukistaafu? Kuna mshikaji amechangia Mil.99 na atastaafu miaka miwili ijayo, sasa yuko stressed kwamba watampa kiinua mgongo cha mil 33 kwa mkupuo mmoja na pensheni ya mil 1.5 kwa mwezi kwa...
  11. PSSSF hizi Pesa za pole kwa wafiwa zinaendaga wapi?

    Mkurugenzi Polen na KAZI Bwana Yesu asifiwe na asllam alyekum KUNA MSIBA umetutokea. Marehemu n member WENU Wakati WA MSIBA akatokea NDUGU MMOJA na kusema Pssf wanatoa pole kwa marehemu mkirudi dar mwende kuulizia Mzee akafika ofisini kwenu. Wana siku kama 43 tu. Akaambiwa zile pesa zote...
  12. Hivi PSSSF kwa nini usimamizi wenu unalega lega ?

    Inakuaje unafanya kazi na kila mwezi unapokea pesa na makato yako ya hifadhi hayawekwi ? PSSSF shida ni nini ?
  13. N

    Leo nawapa maua yao PSSSF

    PSSSF (Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma PSSSF) unatekeleza huduma bora kwa wastaafu kwa kuhakikisha wanapata mafao yao kwa wakati na kwa urahisi. Huduma hii inaboresha maisha ya wastaafu kwa kuwapa uhakika wa kipato, hivyo kuwasaidia kupanga maisha yao ya kila siku bila wasiwasi...
  14. PreGE2025 PSSSF na AICC kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KMICC) kati ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma...
  15. R

    Mkurugenzi PSSSF acha dharau na mazoea kwenye haki za watumishi

    Wanajukwaa habari za wakati huu. Ninatamani weekend inaenda kuanza vyema na wale wenye changamoto Mungu awafanyie wepesi Nitakuja jukwaani tena kuujulisha umma kwamba huyu mkurugenzi wa PSSSF anadharau juu ya haki za watumishi wenzake ambao wanadai haki zao. Ajue na kuelewa maana ya haki. Hapo...
  16. Mfuko wa hifadhi ya jamii PSSSF ni mfuko dhalimu! Naulaani milele! Umenidhulumu haki yangu niliyoidai miaka 14!

    H
  17. M

    PSSSF yazindua Baraza la Wafanyakazi Kidijitali Lengo ni kupunguza gharama

    Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umezindua Baraza la Wafanyakazi linaloendeshwa kidijitali kwa lengo la kupunguza gharama za uendeshaji na kusaidia jitihada za kulinda mazingira. Uzinduzi huo uliofanyika jana Februari 06, 2025 Mkoani Singida, uliongozwa na Mwenyekiti wa...
  18. PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi. Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni...
  19. M

    KERO Responded PSSSF Dodoma tofautisheni msaada na Haki ya Mtu

    Wanajukwaa habari za muda huu. Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF . Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na hata ukishakamilisha wanafanya malipo wanavyotaka. Hivi inakuwaje mtu anajaza taarifa zinachukua...
  20. R

    KERO PSSSF fanyeni malipo acheni urasimu

    Habari ya muda huu wanajukwaa. Nimelazimika kuandika hapa jukwaani kuhusu taasisi tajwa hapo juu. Tangia mwezi oktoba nilijaza fomu za kuomba fao. Nilijibiwa kama taarifa zimepokelewa na mwajiri na pia ofisi za PSSSF Isitoshe nimewapigia simu wakasema watalipa mwezi September. Hawajalipwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…