polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mtu yeyote kama yuko CCM siwezi kumwamini. Polepole na Gwajima wanapigania matumbo yao

    Issue ya Polepole kutaja kuwa walikuwa wanaiba kura au kupindisha matokeo ya uchaguzi ni hatua ya mwisho baada ya kufanya mbinu zake arudi kwenye uenezi kugonga mwamba. Yaani maana yake ni kwamba kama angerudi kwenye nafasi ya ulaji ya uenezi au kupewa uwaziri angeendelea kuwaibia kura...
  2. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Poleni sana Tume ya Taifa ya Uchaguzi: Polepole amekuja kututhibitishia tu kwa nini Viongozi wa CCM wamekuwa na kiburi cha Uchaguzi

    Ramadhani Kailima Polee sana Imeandikwa hadi kwenye vitabu vitakatifu kuwa kweli itatuweka huru. Utetezi uliotoa Kailima hauwezi kubadilisha chochote, zaidi unazidi kuongeza hasira zetu Wananchi dhidi yenu nyie Madhalimu na Wahuni mnaohujumu maamuzi ya Wananchi. Kwa muda mrefu tulikuwa...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure: Kwa tuhuma nzito hizi za Polepole kukuhusisha wewe, mstaafu Kikwette, staafu siasa, sasa na hadharani!

    Umekuwa huku, umekuwa kule: Umekuwa ni mstaafu asiyestaafu? Kwamba chaguzi zimekuwa zikiibiwa chini ya uangalizi wenu! Kwa hakika wewe na CCM kwa ujumla wenu mmetukosea sana. Angalia ya stadium Mkapa na Morocco, yanakupa furaha gani wewe? Nyerere alikuwa huyu: Mheshimiwa, kumbe wewe...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA mnatoa Waraka Rasmi kuungana na RC kwenye Mfungo, lakini Hamtoi Waraka Rasimi kupigilia Msumari Hoja ya Polepole kuhusu Mifumo ya uchaguzi

    Ninawaambia, kama mtashindwa kuitumia zawadi hii ambayo mh polepole ameamua kuwapa—zawadi ambayo kwa namna yoyote ile imewapa kibali wahuni kumwua mh Polepole... Zawadi ambayo mh Polepole ameitoa maisha yake yote, akabaki mtupu kama alivyozaliwa; zawadi iliyomfanya abaki na nguo zake tu...
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iteni Press Conference, Alikeni Mabalozi na Watanzania ,Muelezee zaidi Hoja ya Polepole kuhusu Mifumo ,na kwanini NRNE!! Msiishie Mitandaoni

    LICHUKUENI SUALA HILI KI OFFICIAL ZAIDI ,NI SUALA ZITO, SIO SUALA LA KUISHIA MITANDAONI , CHADEMA BADILIKENI. CHADEMA kuweni Serious , na muache kufanya kazi kupitia Mitandao tu!! Suala la Polepole kuhusu Mifumo ni suala Zito na Kubwa linalogusa USALAMA WA NCHI MOJA KWA MOJA. Mh Polepole...
  6. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Anachokifanya polepole ni kuvivua nguo vyombo vya ulinzi na usalama TZ siyo CÇM hata Raisi hayupo salama chini ya wanamtandao.

    GT Ukifuatilia kwa umakini madai ya polepole tatizo utagundua ni wanausalama wetu siyo CCM. Vyombo vyetu vipo corrupted na wanasiasa kiasi kwamba hawaoni mambo yenye kuhatarisha usalama na maendeleo ya nchi. Tujiulize. 1. Mpaka mkataba wa Bandari unasainiwa kinyemela walikuwa wapi. 2. Mtu...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa: Madai ya Humphrey Polepole ya kuhujumiwa kwa mifumo ya uchaguzi ni tishio la usalama wa nchi na taifa moja kwa moja. Huu ndio uhaini uhalisi!

    https://youtu.be/Zuf0AQbofZs?si=WeqZpejCIpZYoDR2 IN BRIEF: 1. Dr Wilbroad Peter Slaa ameanza kwa kumshukuru Humphrey Polepole kwa ukiri wake wa kushiriki kuandaa hujuma hizi. Ameomba msamaha kwa taifa na Watanzania wote, nasi tunamsamehe kwa kama ambavyo nasi Mungu wa mbinguni hutusamehe kila...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Polepole anafahamu mengi ndani ya CCM tumsikilize kwa makini

    Polepole anaendelea kulifungua Taifa polepole. Polepole ni kada wa juu wa CCM na anafahamu mambo mengi sana ya ndani kuhusu CCM. Ni vyema tukampa nafasi apate kutufahamisha mengi tusiyoyajua kuhusu uhuni wa CCM katika nchi hii. Karibu ndugu Polepole tunakusikiliza kwa makini.
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania Polepole ashitakiwe kwa uhalifu huu, kama anachosema ni kweli

    Polepole amesema mwenyewe kuwa yeye na wenzake aliowataja walitengeneza mfumo pale CCM na tume ya uchaguzi unaounganisha tume, CCM na NIDA ili kumsadia Magufuli kushinda uchaguzi 2020 kwa njia nyepesi, na mfumo huo ungetumika pia kama mgombea wake ndiye angeteuliwa kuwania Urais. Kama kweli...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kampeni ya nishati safi kwa wote na anayosema Polepole kuhusu vitmbulisho vya NIDA

    Ni jambo jema kutumia nishati isiyochafua mazingira na kuumiza watumiaji. Tatizo la wanasiasa wetu kila wanachokipigia debe nyuma yake wanasukumwa na faida binafsi. Watu wanahoji yafuatayo: 1. Kwanini nishati safi suala la matumizi ya gesi linasisitizwa zaidi huku umeme ukiachwa? 2. Kwanini...
  11. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama Gwajima na Polepole wana hoja, wajitoe CCM

    Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Lissu aachiliwe aende zake nyumbani

    Wakina ndugu Lissu aachiliwe aende zake nyumbani baada ya hapo maridhiano ya kitaifa tujadiliane na kuwa na muafaka wa pamoja, muafaka ndio inawekaga kusemana kweli na kisha tuambiane rekebisha hiki rekebisha kile na twende kwenye uchaguzi Amesema Polepole
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo. Wakuu hao...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha

    ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha na wakamka, ndivyo hivyo Chaumma ni project ilikuwa inahusu ubwabwa leo hii inamgombea Amesema Polepele
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Polepole amuache Samia naye atembelee V8. Kila mtu na wakati wake

    Sabato Njema! Polepole wakati anatembelea V8 alitamba sana tena kwa bahati mbaya kabisa alishindwa kujizuia akajirekodi na kujigamba na kuwaringishia Watanzania hawaijui V8. Sasa amuache Samia na wenzake watembelee mipira, V8. Kulia kupokezana. Kiburi sio mauungwana. Na kiburi ndioanguko leo...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Badala ya kumjibu Kuna juhudi za kuharibu ushahidi wa tuhuma alizotoa Polepole dhidi ya INEC, CCM na NiDA?

    Baada ya hapo jana Ndg Pole pole kusema aliyoyasema, Inasemekana Leo mahali fulani watu wapatao 8 kutoka sehemu zilizotajwa na HP na wengine kutoka Idara moja. wamekutana. Katika mazungumzo yao ambayo yamenaswa moja kwa moja na inzi wangu, inadaiwa kuwa wanajadiliana jinsi ya kufanya ili...
  17. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Anauliza Pole pole mbona CHAUMMA ilikuwa inazungumza ubwabwa tu mara ghafla imegeuka imekua na nguvu kubwa na uwezeshaji wa hali ya juu?

    Anahoji Polepole; Mbona CHAUMMA ilikuwa inazungumza ubwabwa tu mara ghafla imegeuka imekua na nguvu kubwa na uwezeshaji wa hali ya juu?
  18. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni kweli taarifa ya Polepole imezima tamko la Gwajima?

    Je, ni kweli upotoshaji wa polepole umefunika uropokaji wa gwajima huku Lisu akiwa amesahaulika kabisa mitandaoni, maskini dah Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa...
  19. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Mataifa ya wenzetu wanakesha wanatafuta scholarship, ajira za kimataifa, network za biashara lakini huku wanakesha wanaskiliza press za Polepole

    Mtu yyte mwenye majukum hawezi akakaa eti anaangalia press ya uongo na upotoshaji ya Polepole then what next? Badala aombe michongo huko ughaibuni au aGoogle viwanja kwenye mfumo nk lakini anakesha anaangalia TV 🚮 Kama mnasikiliza ili mpate chakuongea humu jukwaani basi your mentally lost, hii...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Ili tukubali uongo wa Polepole, CCM, INEC, NIDA jitokezeni hadharani

    Rungu la Polepole limerushwa na kuangukia CCM, NIDA na INEC. Kwamba watatu hawa ndio wapindishaji wa haki na maamuzi ya watanzania kwa viongozi wanaowataka kupitia sanduku la kura. Baada ya madai haya ya Polepole, mapema tu ukaanza mtifuano na majibizano humu. Wapo wanaopinga hoja za Polepole...
Back
Top Bottom