pikipiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro/Arusha hatujapata baiskeli za Mama au tutarajie Pikipiki?

    Mpaka sasa hatujapokea baiskeli pendwa. Pengine tutarajie bodaboda
  2. BigTall

    JamiiForums Tanzania DOKEZO GE2025 Mgombea adaiwa kugawa pikipiki kwa wajumbe Mkoani Shinyanga

    Mbunge mmoja Mkoani Shinyanga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amedaiwa kugawa pikipiki kwa baadhi ya viongozi wa kata wa chama hicho ikiwa ni kishawishi cha kumpigia kura kwenye kura za maoni za kuwania Ubunge. Kitendo hicho kimelalamikiwa vikali na watia nia wenzake katika jimbo lake wakidai...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki used mkoani Kilimanjaro

    Kijana wangu anahitaji pikipiki used (iliyoko kwenye hali nzuri) cc150 ili iweze kupanda milima ya Rombo ikiwa imepakia mzigo (Isiwe Boxer) IWE NA UMILIKI HALALI.....Offer yake ni shs 1mil cash japo anakaribisha maongezi kulingana na ubora wa Chombo
  4. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapinduzi ya korosho Tunduru-maafisa ugani 50 wapatiwa pikipiki kuinua kilimo

    Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na tija kwa wakulima, Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imepokea jumla ya pikipiki 50 zilizotolewa kwa maafisa ugani wa BBT Korosho. Mkuu wa Wilaya hiyo, Denis Masanja, ameeleza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya awamu ya sita wa...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nilidhani haya Mauaji ya kutumia Pikipiki na Muuaji kujificha Uso yalishaisha Kitambo tangia alipouwawa Yule Mtu wao Uwanja wa Ndege miaka iliyopita!

    Nimetoka kutizama Video Clip ya East Africa TV na kuona kuwa Jana maeneo ya Kinondoni Makaburini Mtanzania mwenye Asili ya Uturuki kauwawa kwa Kupigwa Risasi na Mtu aliyepanda Pikipiki mida ya Mchana kabisa huku Watu wakiona kisha alipokamilisha huo Uuaji wake akaangalia kushoto na kulia kisha...
  6. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Holder ya simu, Pikipiki na Baiskeli kwa bei poa

    📢 TANGAZO MAALUM! 📢 HOLDER YA SIMU IMARA kwa PIKIPIKI na BAISKELI 🔧 Imetengenezwa kwa vifaa bora na imara 📱 Inafaa kwa simu nyingi – kubwa na ndogo 🛣️ Inashikilia simu vizuri hata kwenye barabara mbovu 🔒 Inakaa salama – hakuna kudondoka wala kutikisika 💰 BEI: TSH 30,000/= 📍 Mahali: Arusha 📞...
  7. saimasebo

    JamiiForums Tanzania Bei ya injini ya mpya pikipiki fekon, kinglion au sanlg

    Jamani naomba kuuliza Bei ya injini mpya ya pikipiki fekon, kinglion au sanlg
  8. M

    JamiiForums Tanzania Usajili wa pikipiki

    Wakubwa kwema ,, naombeni mnisaidie namna ya kusajili pikipiki maana mwezi uliopita nilinunua pikipiki aina ya kinglion kama tatu hivi nikawapa vijana sasa sikupewa kadi kwa maana ya kwamba saiz mfumo wa kusajili kwa jina la kampuni hawafanyi saiz , hivyo mteja ndiyo anatakiwa anaacha Tin number...
  9. moe junior

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki /frame ya pikipiki Honda trail 110

    Salaam wakuu!! Nina shida ya pikipiki au frame ya pikipiki Honda Trail 110 katika hali yoyote mahala popote ili mradi iwe na kadi na kuwe na usafiri wa kufika DSM
  10. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pikipiki ya kuchaji used

    Wakuu habari, nahitaji pikipiki ya kuchaji used weka Bei na waqasiliano na pcha ya pkipki
  11. P

    JamiiForums Tanzania DEREVA PIKIPIKI

    Anaitajika Dereva pikipiki (1) 1. Awe na leseni 2. Awe anaishi banana , majumba sita, kitunda , kibeberu, kivule, mwanagati. 3. Malipo ya mwezi: 200,000 4. Ela ya chakula 2,500 5. Awe analielewa na kulijua Jiji la Dar es salaam vizuri. Mawasilino: mazingirapacha@gmail.com AU...
  12. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mavunde Azindua SACCOS ya Waendesha Pikipiki na Bajaji Dodoma

    MAVUNDE AZINDUA SACCOS YA WAENDESHA PIKIPIKI NA BAJAJ DODOMA. ▪️Atoa rai SACCOS kuwainua Vijana kupitia mkopo wa Asilimia 10 ▪️Ataka Vijana wamiliki vyombo vyao vya usafiri ▪️Wampongeza Rais Samia kwa ujenzi wa ofisi ya Waendesha Pikipiki na Bajaj Dodoma(UMAPIDO) Dodoma Mbunge wa Jimbo la...
  13. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Pikipiki aina ya boxes inauwza, laki saba

    Wakuu kwa anayehitaji usafiri boda inauzwa, laki saba inahija matengenezo kidogo document zote zipo. Karibuni ipo temeke, buza.
  14. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Njoo uchukue BOXER X 125 "DRD"

    Pikipiki makini ya kupiga kazi hii hapa. BOXER X 125 "DRD" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,880,000/= Tu Napatikana Mbezi Beach, Dar es Salaam na kama uko mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. CALL/WHATSAPP 0683535699
  15. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki - TVS STAR 125 "EHD" 🔥🔥🔥

    Karibu ujipatie pikipiki hii new condition TVS STAR 125 "EHD" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,850,000/= Tu Napatikana Mbezi Beach, DAR. CALL/WHATSAPP 0683535699
  16. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video hii ikimuonesha mwanamke akiendesha pikipiki kwenye barabara ya zege isiyokauka ni halisi

    Mdau shiriki kuthibitisha Video inayomuonesha mwanamke anayeendesha pikipiki katika barabara inayoendelea kujengwa kwa zege kama ni halisi au imetengenezwa.
  17. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Ukipita karibu na kituo cha bodaboda ukiwatazama tu wanawasha pikipiki

    Baadhi ya Bodaboda wa Bongo ni miyeyusho sana. Ukiwa katika pitapita zako karibu na kituo chao,ukiinua kichwa kutazama upande wao, bam! ,Wamewasha pikipiki zao zote,chapu kukufuata, kabla hata hujawaita ,ukiwaambia nipo around sihitaji usafiri,tena chapu kwa haraka pikipiki zao zinarudishwa...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Geita Gold Mining Limited watoa msaada wa pikipiki 15 kwa jeshi la polisi kuimarisha usalama

    Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi kwa lengo la kusaidia shughuli za doria na operesheni mbalimbali zinazolenga kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Akipokea Pikipiki hizo kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wachina wamegundua pikipiki inayotumia pombe kali badala ya mafuta

    Tukisema afrika bado tunaitaji No reform No election mnaleta matamasha ya raisi.Haya waziri wajafo,mchengerwa na mwiguru uchumi mtauweza. https://www.youtube.com/shorts/zorydKgciQY?app=desktop
  20. P

    JamiiForums Tanzania DEREVA PIKIPIKI

    Anaitajika Dereva pikipiki (1) 1. Awe na leseni 2. Awe anaishi banana , majumba sita, kitunda , kibeberu, kivule, mwanagati. 3. Malipo ya mwezi:150,000 4. Ela ya chakula 2,500 5. Awe analielewa na kulijua Jiji la Dar es salaam vizuri. Mawasilino: mazingirapacha@gmail.com AU...
Back
Top Bottom