paris

Paris (French pronunciation: [paʁi] (listen)) is the capital and most populous city of France, with an estimated population of 2,175,601 residents as of 2018, in an area of more than 105 square kilometres (41 square miles). Since the 17th century, Paris has been one of Europe's major centres of finance, diplomacy, commerce, fashion, gastronomy, science and arts. The City of Paris is the centre and seat of government of the region and province of Île-de-France, or Paris Region, which has an estimated population of 12,174,880, or about 18 percent of the population of France as of 2017. The Paris Region had a GDP of €709 billion ($808 billion) in 2017. According to the Economist Intelligence Unit Worldwide Cost of Living Survey in 2018, Paris was the second most expensive city in the world, after Singapore and ahead of Zürich, Hong Kong, Oslo and Geneva. Another source ranked Paris as most expensive, on a par with Singapore and Hong Kong, in 2018.Paris is a major railway, highway and air-transport hub served by two international airports: Paris–Charles de Gaulle (the second busiest airport in Europe) and Paris–Orly. Opened in 1900, the city's subway system, the Paris Métro, serves 5.23 million passengers daily; it is the second busiest metro system in Europe after the Moscow Metro. Gare du Nord is the 24th busiest railway station in the world, but the first located outside Japan, with 262 million passengers in 2015. Paris is especially known for its museums and architectural landmarks: the Louvre was the most visited art museum in the world in 2019, with 9.6 million visitors, and remained the most-visited art museum in 2020 when the number of visitors dropped to 2.7 million due to the COVID-19 pandemic. The Musée d'Orsay, Musée Marmottan Monet and Musée de l'Orangerie are noted for their collections of French Impressionist art. The Pompidou Centre Musée National d'Art Moderne has the largest collection of modern and contemporary art in Europe. The Musée Rodin and Musée Picasso exhibit the works of two noted Parisians. The historical district along the Seine in the city centre is classified as a UNESCO World Heritage Site; popular landmarks there included the Cathedral of Notre Dame de Paris on the Île de la Cité, now closed for renovation after the 15 April 2019 fire. Other popular tourist sites include the Gothic royal chapel of Sainte-Chapelle, also on the Île de la Cité; the Eiffel Tower, constructed for the Paris Universal Exposition of 1889; the Grand Palais and Petit Palais, built for the Paris Universal Exposition of 1900; the Arc de Triomphe on the Champs-Élysées, as well as the hill of Montmartre with its artistic history and its Basilica of Sacré-Coeur.
Paris received 38 million visitors in 2019, measured by hotel stays, with the largest numbers of foreign visitors coming from the United States, the United Kingdom, Germany and China. It was ranked as the second most visited travel destination in the world in 2019, after Bangkok and just ahead of London.The football club Paris Saint-Germain and the rugby union club Stade Français are based in Paris. The 80,000-seat Stade de France, built for the 1998 FIFA World Cup, is located just north of Paris in the neighbouring commune of Saint-Denis. Paris hosts the annual French Open Grand Slam tennis tournament on the red clay of Roland Garros. The city hosted the Olympic Games in 1900, 1924 and will host the 2024 Summer Olympics. The 1938 and 1998 FIFA World Cups, the 2007 Rugby World Cup, as well as the 1960, 1984 and 2016 UEFA European Championships were also held in the city. Every July, the Tour de France bicycle race finishes on the Avenue des Champs-Élysées in Paris.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Wayahudi Waliohifadhiwa Msikiti Mkuu wa Paris Vita Kuu Vya Pili Vya Dunia Wasiuliwe na Hitler

    https://youtu.be/Z1r0OuKrUN8
  2. Mohamed Said

    Wayahudi Waliohifadhiwa Ndani ya Msikiti Mkuu wa Paris Vita Kuu Vya Pili

    https://youtu.be/Z1r0OuKrUN8?si=vmE4Ph5dSZivJ_JO
  3. R

    Rufaa ya aliyekuwa dereva wa wanamgambo wa Kihutu Mauaji ya kimbari Rwanda kuendeshwa Paris

    Kesi ya rufaa ya raia wa ufaransa mwenye asili ya Rwanda anayekabiliwa na tuhuma za mauaji ya kimbari imefunguliwa Jumanne katika Mahakama ya Assize ya Paris. Claude Muhayimana alipatikana na hatia mwaka 2021 kwa kosa la kushiriki katika mauaji ya kimbari na uhalifu dhidi ya binadamu, na...
  4. Scared

    Dili la kuwa mkimbizi Ufaransa limetiki, muda huu nipo Paris

    Niliwaambiwa wazee nafanya mchakato wa kupata njia kuikimbia hii nchi na kuweza kufika ufaransa na kuwa mkimbizi wa machafuko aisee huku kumbe Kuna watu weusi kibao ni wakimbizi kutoka Mali burkinafaso Gambia Senegal na nyingine nyingi Afrika Magharibi. Na Mimi nimefikia kwenye sehemu maalumu...
  5. B

    Ufaransa: Balozi ajitupa kutoka Ghorofa ya 22 ktk Hoteli jijini Paris, na Kupoteza Maisha

    Cape Town, South Africa Mheshimiwa Balozi Nathi Mthethwa alipatikana amefariki nje ya Hoteli ya Paris mnamo Jumanne, 30 Septemba. (Picha: Picha za Gallo / Foto24 / Craig Nieuwenhuizen) Wenzake na marafiki wa Balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nathi Mthethwa, wanaomboleza baada ya waziri...
  6. Mafyangula

    Mamlaka ya Paris yachunguza kifo cha Balozi wa Afrika Kusini Nchini Ufaransa

    Mamlaka ya Paris yanafanya uchunguzi juu ya kifo cha balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nkosinathi Emmanuel Mthethwa, ambaye alipatikana nje ya hoteli ya ghorofa nyingi siku ya Jumanne, Septemba 30, 2025. Diplomasia huyo mwenye umri wa miaka 58 alikuwa ameripotiwa kupotea na mke wake...
  7. kiwatengu

    FT: Chelsea FC 3-0 Paris Saint-Germain | FIFA Club World Cup | Final Match | MetLife Stadium | July 13, 2025.

    Mambo vipi wadau! Leo ni siku ya kipekee kwani tunasubiri fainali ya FIFA Club World Cup 2025 kati ya Chelsea na Paris Saint-Germain (PSG) itakayochezwa saa nne usiku (10:00pm EAT) kwenye dimba la MetLife Stadium, New Jersey. Hii ni mechi ya kihistoria, kwani ni fainali ya kwanza kati ya timu...
  8. Melubo Letema

    Kamati ya Olimpiki (TOC) wamuita Alphonce Simbu MUASI, kisa Mavazi ya mbio za Olimpiki Paris, Ufaransa

    Wakati Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa mstari wa mbele kuhamasisha na kukuza Michezo Tanzania ukiwemo wa riadha , ila kuna Vizee vilivyopo kwenye Kamati ya Olimpiki Tanzania (Tanzania Olimpic Committee ~ TOC) vinaendekeza hila na uzandiki wa kufikia kumuita mwanariadha wa kimataifa...
  9. ELI COHEN

    Unaweza kudhania hapa ni mmoja wa mtaa uliopo Rangi tatu ila hapa ni Paris

    Open borders my foot😏
  10. Waufukweni

    Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr

    Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna...
  11. Waufukweni

    Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu

    Mchezaji nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr, hatasafiri kwenda Paris kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d’Or baada ya kujua hatashinda tuzo hiyo mwaka huu. Uongozi wa klabu hiyo umeamua kwamba hakuna mwakilishi yeyote wa Real Madrid atakayehudhuria hafla hiyo ya kifahari. Soma Pia...
  12. ESCORT 1

    Paris, Ufaransa: Hafla ya Ugawaji wa Tuzo ya Ballon d’Or - 2024

    Usiku wa leo, kuna hafla ya ugawaji wa tuzo za Ballon dor Kwa mara ya kwanza tuzo hizo hazitakuwa na majina ya Lionel Messi au Cristiano Ronaldo. Vinicius Junior wa Real Madrid anatajwa kama mshindi atakayetangazwa hapo baadae. Sambamba na kutangazwa kwa Mchezaji bora wa Dunia, pia...
  13. Mad Max

    Updates za Paris Motor Show 2024 (Tarehe 14 - 20 October)

    Paris Motor Show ni moja ya maonyesho makongwe ya magari (tokea mwaka 1898) yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, ambapo makampuni mbalimbali ya magari yanaonesha magari yao mapya, concepts, teknolojia na vitu vingine vinavyohusiana na magari. Kwa mwaka 2024, zaidi ya makampuni ya magari...
  14. Nkobe

    Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

    Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na...
  15. K

    Felix Simbu: Nilikuwa siijui Njia vizuri kwenye Olympic Paris 2024

    Nimemskia mwanariadha wetu Felix Simbu Clouds Fm akisema alikuwa haijui njia vizuri alikuwa anakimbia tu kuwafuata wengine na akafanikiwa kumaliza nafasi ya 17 kwenye Marathon. Huyu jamaa siyo mara ya kwanza kuleta vimbweka C.c GENTAMYCINE Serikali imkamate na kumuhoji Felix Simbu kwa...
  16. Mkalukungone Mwamba

    Wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki

    Wakati sherehe za kufunga michezo ya Olimpiki zikifanyika mjini Paris, wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili hii, siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilishiriki katika matukio manne (Judo, kuogelea, riadha na ndondi) nchi hiyo...
  17. o_2

    Tanzania tunakwama wapi kutengeneza wakina Beatrice Chebet kama ilivyo Kenya?

    Kushinda aje? Baada ya mizunguko yangu ya leo, nimerudi magetoni nawasha Tv supersport 9 nakutana na highlights za mashindano mbalimbali ya olimpiki yanayoendelea nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Ghafla nakutana na mdada BEATRICE CHEBET kutoka Kenya. Ameshindana marathon M 5,000 na M...
  18. BLACK MOVEMENT

    Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

    Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa. Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya...
  19. USSR

    Isingekuwa tax za Paris Mzee Kipchoge alikuwa anafia huko

    Kwenye mbio za marathon kidunia huyu Eliud Kipchoge ndio GOAT anacho kila kitu anazo dhahabu,mshaba na fedha Sio Olympic, commonwealth na kadhalika kote amepita na umri umemtupa mkono , kitendo cha kukomalia lazima akimbie mbele ya damu changa kimemtia aibu baada ya kuonekana hakuwa hata na...
  20. Valencia_UPV

    Bombardier ipeleke Medali za Tanzanite Paris

    Katika kuwaenzi na kuwapongeza wanamichezo wetu huko Olimpiki NI wakat sasa Bombardier ipeleke Medali za Tanzanite Paris bila kukosa.
Back
Top Bottom