ole sendeka

Christopher Olonyokie Ole-Sendeka (born 1 January 1964) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Simanjiro constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    GE2025 Ole Sendeka: Rais Samia hata ukimuangalia usoni kwa moyo wa upendo alionao hawezi kuhusika na Utekaji, ni kiongozi mwenye upendo wa dhati kwa nchi

    Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu Akizungumza...
  2. R

    GE2025 Ole sendeka: Kuna watu ndani ya CCM wamenuna na wanaendelea kufadhili kampeni na Propaganda kubomoa heshima ya Mgombea Urais CCM

    Mbunge wa zamani wa Jimbo la Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewaonya vikali wanaCCM wanaoshiriki kubomoa heshima ya Nchi na heshima ya Mgombea Urais wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan kwasababu ya kutokuteuliwa na Chama kugombea nafasi mbalimbali za uongozi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi

    Mwanasiasa mkongwe na mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amesema kuwa chama cha mapinduzi hakiungi mkono mwenendo wa matukio ya utekaji yanayoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini. Sendeka ameyasema hayo wakati akizunguma katika mkutano na waandishi wa habari...
  4. Mafyangula

    GE2025 Ole Sendeka: Wafanyabiashara waliokosa zabuni Serikalini ndio wanaofadhili vijana na Vyombo vya Habari kuichafua Serikali

    Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaoeneza propaganda dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, akidai kuwa wengi wao ni wafanyabiashara waliokosa zabuni za Serikali. Akizungumza na waandishi wa...
  5. Mafyangula

    GE2025 Ole Sendeka: Vyama vya upinzani havina mipango madhubuti ya kisiasa, na ukosefu wa ukomavu wa kisiasa

    Kiongozi na mwanasiasa mkongwe nchini, Christopher Ole Sendeka, amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vimeshindwa kujijenga kisera na kiitikadi tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992. "Katika uchaguzi wa mwaka 2020, vyama vya upinzani ulikosa kura ulipata ushindi mdogo mno...
  6. Mafyangula

    GE2025 Ole Sendeka: Wanasiasa acheni kutumia vibaya mitandao ya Kijamii, tumieni kulinda misingi na umoja

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Mbunge Wa Simanjiro mkoani Manyara Bw. Christophar Ole Sendeka amewataka wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa ambao hawakupata nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi za Urais ubunge na udiwani kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarahe 29...
  7. E

    Tetesi: GE2025 Ole Sendeka na Mrisho Gambo wafyekwa kwenye mbio za Ubunge

    Wakati vikao vya ndani vya wilaya na mikoa vya CCM vinavyochuja wagombea vikiisha mkoani Arusha, taarifa zinadai kuwa aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka na aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo wamefyekwa. Vikao hivyo vilivyoendeshwa kwa usiri mkubwa vimetaja watia...
  8. Dr Akili

    Hivi alichofanya Ole Sendeka si kuingilia kesi iliyoko mahakamani?

    Kesi hii ni nzito. Serikali ya JMT kuamua kumshitaki mtu huyu mahakamani haiwezi kuwa ilikurupuka. Na kesi yo yote ikishakuwa mahakamani huwa ni marufuku kuingilia kwa njia yo yote. Sheria huwa inaachiwa ifuate mkondo wake. Haya aliyoyasema Ole Sendeka si kuingilia kweli kesi iliyoko...
  9. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Ole Sendeka: Natamani Tundu Lissu atoke gerezani aje ashindane na Rais Samia

    “Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile” Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  10. 888I

    PreGE2025 James Millya atarudi jimbo la Simanjiro ama tutaendelea na Christopher Ole Sendeka?

    Uchaguzi mkuu unakaribia na katika jimbo la Simanjiro wanatajwa wengi kuwania nafasi ya ubunge , Tunahitaji angalau wawakilishi wenye kiwango kikubwa cha Elimu ,si elimu itasaidia lakini angalau itawafanya wabunge kuwa waadilifu. Huenda isifanye wawe waadilifu lakini basi itawafanya waweze...
  11. Heparin

    Halmashauri ya Longido yaipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit kwa miaka 15

    Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka. Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris. Marejeo na...
  12. Mpekuzi Tanzania

    Yupo wapi comrade Christopher Ole Sendeka?

    Toka akoswe risasi Kawa kimya na Bunge linaendelea Dodoma. Yupo wapi huyu mzalendo
  13. Determinantor

    Nani ameona picha ya Gari ya Ole Sendeka iliyochakazwa kwa risasi?

    Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona? Naomba picha nilione na mie Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
  14. Erythrocyte

    Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

    Hebu msome hapa halafu Tafakari Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini? --- Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan...
  15. Mganguzi

    Msifananishe Shambulio la Ole Sendeka na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu

    Nimeona wengi wanajaribu kulifananisha Shambulio la Ole Sendeka na lile la Tundu lissu, haya matukio ni tofauti kabisa wengine wamedhulumiana ama pesa ama ardhi au ni wizi wa kawaida. Shambulio la Lissu lilikuwa spesho kwa ajili ya kuondoa uhai wake na lilikuwa haswaa Linahusu siasa! Tundu...
  16. Dr. Wansegamila

    PreGE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro. Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake. Taarifa zaidi zitakujia baadae. Hakuna alie salama..!! --- Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara...
  17. F

    CCM imuadhibu Ole Sendeka kwa kuvamia mashamba na kuharibu amani

    Katika hali ya kuishiwa na akili za uongozi, Ole Sendeka ameendelea kusababisha vurugu na kushawishi wananchi kuvamia mashamba ya wawekezaji halali. Baada ya vikao anavyodai vya siri na baadhi ya wanachi ,Jana tarehe 11/12/2023 na leo 12/12/2023 wananchi wa Naberera walienda kuvamia shamba la...
  18. F

    Yupo wapi Mbunge Christopher Ole Sendeka?

    Kwa Bunge hili wamekuwepo wabunge wa CCM waliojaribu kuongea ukweli ktk Bunge lisilo na upinzani. Baadhi yao ni Mipina, Gwajima, Sendeka nk. Mbunge Christopher Ole Sendeka haonekani Bungeni kwa muda sasa. Yupo wapi?
  19. S

    Anna Kilango, Ole Sendeka mmeonyesha njia msirudi nyuma

    Wabunge Anna Kilango na Christopher Ole Sendeka wamejipambanua dhahiri kwamba wataongoza wabunge kuishinikiza Serikali kuwachukulia hatua wote waliotajwa ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 iliyowasilishwa bungeni wiki hii. Tunatambua uwezo wa Kilango na Sendeka hasa rekodi mziweka kwenye Bunge la...
  20. J

    Ole Sendeka amtetea bungeni Rais kutohusika na Ufisadi uliotajwa na CAG

    Mbunge wa Simanjiro,. Ole Sendeka leo bungeni amemtetea RAIS Samia Suluhu Hassan kuwa hahusiki na ufisadi wa ripoti ya CAG akipiga kauli ya Waziri Mwigulu aliyejaribu kumhusisha rais na wizi huo kwamba etii Rais ndio anaidhinisha fedha kutoka.
Back
Top Bottom