Wabunge Anna Kilango na Christopher Ole Sendeka wamejipambanua dhahiri kwamba wataongoza wabunge kuishinikiza Serikali kuwachukulia hatua wote waliotajwa ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 iliyowasilishwa bungeni wiki hii.
Tunatambua uwezo wa Kilango na Sendeka hasa rekodi mziweka kwenye Bunge la Mzee Sitta na Mama Makinda ambapo mawaziri waliokuwa wanakumbwa na kashfa mlihakikisha wanafutwa kazi wote.
Sasa muwasaidia wabunge wapya akina Sanga, Tabasamu, Babu Tale, Gambo, Mnyeti, Mariam Ditopile, Venant ili muunganishe nguvu Bunge hili la Bajeti muhakikishe mawaziri wote waliotajwa wanaondoka ofisini na kuwafikisha mahakamani.
Tunatambua uwezo wa Kilango na Sendeka hasa rekodi mziweka kwenye Bunge la Mzee Sitta na Mama Makinda ambapo mawaziri waliokuwa wanakumbwa na kashfa mlihakikisha wanafutwa kazi wote.
Sasa muwasaidia wabunge wapya akina Sanga, Tabasamu, Babu Tale, Gambo, Mnyeti, Mariam Ditopile, Venant ili muunganishe nguvu Bunge hili la Bajeti muhakikishe mawaziri wote waliotajwa wanaondoka ofisini na kuwafikisha mahakamani.