october 29

October 29 is the 302nd day of the year (303rd in leap years) in the Gregorian calendar; 63 days remain until the end of the year.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania wazanzibari walitumia ubovu wa katiba kulipa kisasi Cha miaka mingi October 29!

    Ukweli mchungu huu! Sikumbuki ni uchaguzi upi uliwahi kufanyija Zanzibar kwa amani bila damu kumwagika zaidi ya uke wa mwaka jana pekee!! Kwa miaka mingi damu za wazanzibari zimemwagwa sana kipindi cha uchaguzi ,na Baraza la maaskofu liliishia TU kulaani na kukaa kimya kisa aliekuwepo alikua...
  2. Etwege

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kifo kwa Rais wa Syria inatuma ujumbe gani kwa wahusika wa October 29?

    #HABARI: Wakazi wa mji wa Idlib nchini Syria wamekusanyika kusherehekea baada ya mahakama kumhukumu kifo Rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al Assad. Mahakama moja nchini Syria imemhukumu kifo kwa kutokuwepo rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al-Assad, kwa makosa yanayohusiana na uhalifu...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Hakuna Kuridhiana na Magaidi Yalioua Ndugu Zetu October 29 "NEVER EVER"

    Unawezaje kuridhiana na gaidi katili asiye na huruma aliyeamuru maelfu ya watu kuuawa? Hilo halipo. Kwakifupi HAKUNA KURIDHIANA NA MAGAIDI. Nilazimamagaidi yote yapate haki yao ili nchi iwe salama. Samia na wenzako hakuna namna mnaweza kutufanya tukubalikuridhiana na WAOVU, NEVER EVER. NI BORA...
  4. M

    JamiiForums Tanzania October 29, siku ambayo nakiri nilikuwa nimejifungia ndani lakini milio ya mitutu ya vitani na kelele za misiba vilinifanya nijihisi nipo Iraq

    October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya . lakini jinsi moyo wangu ulivyokuwa ukidunda, nilijihisi kama nipo Iraq. Ta! Ta! Ta! Ta! Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Utasemaje tupo vizuri kisiasa wakati hujawajibika kwa mauaji ya October 29

    Hii ni kufuru na dhihaka kwa wahanga wa October 29. Watu wameuawa kinyama, hakuna hata mtu mmoja aliyewajibika au kuwajibishwa kwa hayo mauaji ya kikatiri halafu unasema tupo vizuri kisiasa. Hili hitimisho unalipata wapi la kusema tupo vizuri? Sisi watanganyika mliotuulia ndugu zetu hatupo...
  6. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Mimi sio Chawa wa Mama,wala sipo miongoni mwa watu wanaolipwa ili kumsafisha Katika familia yapo mambo ambayo kiongozi wa familia anawajibika nayo kama mzazi na mengine ni ya wana familia wenyewe ( Watoto) Kutoa Uhai wa mtu sio jambo jepesi kwakuwa linagusa dhamiri ya mtu,lina mgusa Mungu...
  7. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili kwamba ana boss wake kama sijakosea ilikua kwa Mwamposa uzinduzi wa kanisa lake...
  8. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili kwamba ana boss wake kama sijakosea ilikua kwa Mwamposa uzinduzi wa kanisa lake...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nisamehe sana John Pombe Magufuli mwema wa Africa

    Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe hayati John Kwenye pita pita zangu Kuna vitu vingi nimekuja kuvigundua jinsi viongozi wa serikali...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Rais na Waziri Mkuu mnaposema Oktoba 29 wananchi walikuwa na silaha za moto mbona Msigwa hajawahi kutolea ufafanuzi? Ila la BBC

    Msemaji wa Serikali analalamika kuwa documentary iliyotolewa na BBC imesikiliza upande mmoja. Sasa najiuliza je Serikali yake inayotoa matamko kuwa wanaharakati magaidi, wataka haki ni wachochea uvunjifu wa amani na porojo zengine mbona msigwa ajawahi kusema haya. Soma pia Serikali: Makala ya...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Oktoba 29 2025; Kuna kijana mpaka leo sijui kama yupo hai

    Yale machafuko ndio maana wanatumia nguvu kubwa kufunika sana ili waonekane wema. Kuna kijana alipigwa risasi ila hakufa basi jitihada za kumkimbiza hospital zikafanikiwa na kupata huduma ya dharura. Ilipofika usiku wa saa 5 zilikuja gari zile nyeusi wanazopenda kutumia wakawachukua watu...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Huyu anayemfatilia Heche na ndiye aliyehusika October 29.

    Teknolojia ni kali.Saa yake na kofia .
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania October 29 Ilichangiwa na Kauli Mbofu Mbofu za Viongozi Kinyume cha Maadiili!, Je Media Tuwaripoti Bila Uoga ili Secretarieti ya Maadili Iwakemee au?

    Wanabodi, Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
  14. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Tusijidanganye hata wao ni waoga kwa sasa maana suala la October 29 liliwashtua sana hii 7/7 ndo kabisa lazima vichwa viwaume

    Suala la October 29 mnaweza kusema wananchi ndo wameingia uoga baada ya kushudia mauaji ya ndugu zao, wapendwa wao lakini naweza kusema wananchi ilo tukio limewafanya kua imara zaidi hao waliopoteza ndugu zao kwa sasa naweza kusema wana ujasili wa ali ya juu sana hawana chakupoteza...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kilichotokea Oct 29, Pamoja na Media ya TZ Kutotimiza Wajibu Wetu Kikamilifu, Bado Tuna Wajibu! Kwanini Hatutimizi Wajibu Wetu Baada ya Tukio?

    Wanabodi, Hii ni mada ya kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu kilichotokea Oct. 29, media ya Tanzania, hatukutimiza wajibu wetu kikamilifu kwasababu anuwai!, ila pamoja na kutotimiza wajibu wetu kikamilifu, kabla ya tukio na wakati wa tukio, lakini bado tuna wajibu wa kutimiza wajibu wetu kikamilifu...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania October 29 mkitaka kujua vifo na ukatili .Video za waliopata kurekodi angalia hapa.

    Huu mtandao mpaka vpn na unashambuliwa hatari na wamekodiwa vijana wanachukua pesa zenu wakiwadanganya ni IT wakubwa ila wameshindwa . Sababu server zake labda wawe na uwezo kuwa google. Tumia vpn ndio unafunguka.Ila idadi ya vifo na majina na video hapa ndio utajua ukatili wa utawala wa CCM.
  17. Criss

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko . Nimuumininsana wa kuziishi kanuni . Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza kuliingiza Taifa kwenye machafuko yasiyo na ulazima. Wakuu tusitiane moyo , watanzania wamekata...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania October 29 sio mwisho .Kumbukeni CCM mna majirani mfano historia ya rwanda ijaanza mwaka 1994

    CCM kwa sasa uwelekeo wenu baada kukipa chama jeshi la polisi na jeshi la nchi. Ila na wakumbusha rwanda mpaka ilipofikia 94 ndio ikatazamwa dunia nzima. Sio hapo ila CCM bado mjajifunza naijeria,libya,sudani,somaria,yogosilavia,Korea kutengana,vitenam na nchi ambazo mwisho wa siku ni ukweli...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Yaliyotokea Rwanda na Oktoba 29 Tanzania unaweza shangaa wahusika wanakuja kuelezwa wakiwa wazee kabisa

    Mchuzi wa mbwa kunywa wa moto. Leo tumeona Congo suala Patrice Lumumba na wahusika wake wa mwisho kafa mzee kabisa. Tuje upande wa Rwanda napo ni vile vile. Wakubwa wa hayo matukio wanapatikana wakiwa wazee sasa. Na hapa Tanzania usije shangaa kaomba msamahaa kwenye kitabu kabla ya kufa.
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Serikali ya wizi CCM kuna vyeo mpaka sasa vimekosa heshima.Na kutajwa kwao mpaka usikie upinzani ukijadili ya October 29

    1.Mstaafu raisi Jakaya. Huyu uzee 2.Spika wa bunge.Hapa kama bunge hakuna ndio maana hakuna nguvu ya kuwa na kumbu kumbu. 3.Mkuu wa majeshi Mkunda.Huyu naona hata jeshi heshima imeshuka siku akistaafu hata kumbuka kama ya Kigwangara au yule wa uganada IGP. 4 .Usalama wa taifa kuanzia idara...
Back
Top Bottom