Ukweli mchungu huu!
Sikumbuki ni uchaguzi upi uliwahi kufanyija Zanzibar kwa amani bila damu kumwagika zaidi ya uke wa mwaka jana pekee!!
Kwa miaka mingi damu za wazanzibari zimemwagwa sana kipindi cha uchaguzi ,na Baraza la maaskofu liliishia TU kulaani na kukaa kimya kisa aliekuwepo alikua...
#HABARI: Wakazi wa mji wa Idlib nchini Syria wamekusanyika kusherehekea baada ya mahakama kumhukumu kifo Rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al Assad.
Mahakama moja nchini Syria imemhukumu kifo kwa kutokuwepo rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al-Assad, kwa makosa yanayohusiana na uhalifu...
Unawezaje kuridhiana na gaidi katili asiye na huruma aliyeamuru maelfu ya watu kuuawa? Hilo halipo. Kwakifupi HAKUNA KURIDHIANA NA MAGAIDI. Nilazimamagaidi yote yapate haki yao ili nchi iwe salama.
Samia na wenzako hakuna namna mnaweza kutufanya tukubalikuridhiana na WAOVU, NEVER EVER. NI BORA...
October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya .
lakini jinsi moyo wangu ulivyokuwa ukidunda, nilijihisi kama nipo Iraq.
Ta! Ta! Ta! Ta! Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia...
Hii ni kufuru na dhihaka kwa wahanga wa October 29. Watu wameuawa kinyama, hakuna hata mtu mmoja aliyewajibika au kuwajibishwa kwa hayo mauaji ya kikatiri halafu unasema tupo vizuri kisiasa. Hili hitimisho unalipata wapi la kusema tupo vizuri? Sisi watanganyika mliotuulia ndugu zetu hatupo...
Mimi sio Chawa wa Mama,wala sipo miongoni mwa watu wanaolipwa ili kumsafisha
Katika familia yapo mambo ambayo kiongozi wa familia anawajibika nayo kama mzazi na mengine ni ya wana familia wenyewe ( Watoto)
Kutoa Uhai wa mtu sio jambo jepesi kwakuwa linagusa dhamiri ya mtu,lina mgusa Mungu...
Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili kwamba ana boss wake kama sijakosea ilikua kwa Mwamposa uzinduzi wa kanisa lake...
Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili kwamba ana boss wake kama sijakosea ilikua kwa Mwamposa uzinduzi wa kanisa lake...
Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe hayati John
Kwenye pita pita zangu Kuna vitu vingi nimekuja kuvigundua jinsi viongozi wa serikali...
Msemaji wa Serikali analalamika kuwa documentary iliyotolewa na BBC imesikiliza upande mmoja.
Sasa najiuliza je Serikali yake inayotoa matamko kuwa wanaharakati magaidi, wataka haki ni wachochea uvunjifu wa amani na porojo zengine mbona msigwa ajawahi kusema haya.
Soma pia Serikali: Makala ya...
Yale machafuko ndio maana wanatumia nguvu kubwa kufunika sana ili waonekane wema.
Kuna kijana alipigwa risasi ila hakufa basi jitihada za kumkimbiza hospital zikafanikiwa na kupata huduma ya dharura.
Ilipofika usiku wa saa 5 zilikuja gari zile nyeusi wanazopenda kutumia wakawachukua watu...
Wanabodi,
Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
Suala la October 29 mnaweza kusema wananchi ndo wameingia uoga baada ya kushudia mauaji ya ndugu zao, wapendwa wao lakini naweza kusema wananchi ilo tukio limewafanya kua imara zaidi hao waliopoteza ndugu zao kwa sasa naweza kusema wana ujasili wa ali ya juu sana hawana chakupoteza...
Wanabodi,
Hii ni mada ya kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu kilichotokea Oct. 29, media ya Tanzania, hatukutimiza wajibu wetu kikamilifu kwasababu anuwai!, ila pamoja na kutotimiza wajibu wetu kikamilifu, kabla ya tukio na wakati wa tukio, lakini bado tuna wajibu wa kutimiza wajibu wetu kikamilifu...
Huu mtandao mpaka vpn na unashambuliwa hatari na wamekodiwa vijana wanachukua pesa zenu wakiwadanganya ni IT wakubwa ila wameshindwa .
Sababu server zake labda wawe na uwezo kuwa google.
Tumia vpn ndio unafunguka.Ila idadi ya vifo na majina na video hapa ndio utajua ukatili wa utawala wa CCM.
Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko .
Nimuumininsana wa kuziishi kanuni .
Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza kuliingiza Taifa kwenye machafuko yasiyo na ulazima.
Wakuu tusitiane moyo , watanzania wamekata...
CCM kwa sasa uwelekeo wenu baada kukipa chama jeshi la polisi na jeshi la nchi.
Ila na wakumbusha rwanda mpaka ilipofikia 94 ndio ikatazamwa dunia nzima.
Sio hapo ila CCM bado mjajifunza naijeria,libya,sudani,somaria,yogosilavia,Korea kutengana,vitenam na nchi ambazo mwisho wa siku ni ukweli...
Mchuzi wa mbwa kunywa wa moto. Leo tumeona Congo suala Patrice Lumumba na wahusika wake wa mwisho kafa mzee kabisa.
Tuje upande wa Rwanda napo ni vile vile. Wakubwa wa hayo matukio wanapatikana wakiwa wazee sasa.
Na hapa Tanzania usije shangaa kaomba msamahaa kwenye kitabu kabla ya kufa.
1.Mstaafu raisi Jakaya. Huyu uzee
2.Spika wa bunge.Hapa kama bunge hakuna ndio maana hakuna nguvu ya kuwa na kumbu kumbu.
3.Mkuu wa majeshi Mkunda.Huyu naona hata jeshi heshima imeshuka siku akistaafu hata kumbuka kama ya Kigwangara au yule wa uganada IGP.
4 .Usalama wa taifa kuanzia idara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.