Wauaji sasa wanatepatepa wenyewe na sasa wameshia na hakuna mtu anajua nani sasa anaongoza nchi
Nchi hii inaongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi. Kama hujui au huamini hilo fanya "nywi" au "nywinywinywi" uone!!!Wauaji sasa wanatepatepa wenyewe na sasa wameshia na hakuna mtu anajua nani sasa anaongoza nchi
Ipo siku utajutia.Nchi hii inaongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi. Kama hujui au huamini hilo fanya "nywi" au "nywinywinywi" uone!!!
Nikienda kinyume na Sheria, kanuni na taratibu na nikashughulikiwa, SITAJUTA!!Ipo siku utajutia.